Thursday, November 16

Aliyejisalimisha Takukuru afikishwa mahakamani


Dar es Salaam. Aliyekuwa mhasibu mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na  Kupambana na Rushwa (Takukuru), Godfrey Gugai na wenzake watatu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Gugai na wenzake watatu wamefikishwa mahakamani hapo leo Alhamisi wakikabiliwa na mashtaka 43  ikiwemo utakatishaji fedha, kughushi, pamoja na kumiliki mali wasiyoweza kuielezea.
Hatua hiyo imekuja baada ya jana kujisalimisha Takukuru siku moja baada ya kutangazwa dau la Sh 10  milioni kwa atakayetoa taarifa alipo.

No comments:

Post a Comment