Thursday, October 12

Saratani ya matiti na vifo vya wanawake duniani

Dkt Riaz Kasman
Saratani ya matiti inaelezwa kuwa ni moja ya saratani zinazoongoza kwa vifo vingi vya wanawake duniani.
Saratani ya matiti inaelezwa kuwa ni moja ya saratani zinazoongoza kwa vifo vingi vya wanawake duniani. Daktari Riaz Kasman kutoka Kenya anasema wanawake wengi hawafanyi uchunguzi wa mara kwa mara kujua kama wako salama dhidi ya saratani ya matiti.
Saratani ya matiti inaelezwa kuwa ni moja ya saratani zinazoongoza kwa vifo vingi vya wanawake duniani. Daktari kutoka Kenya anasema wanawake wengi hawafanyi uchunguzi wa mara kwa mara kujua kama wako salama dhidi ya saratani ya matiti.

No comments:

Post a Comment