Tuesday, September 19

Suu Kyi: Myanmar haiogopi kuchunguzwa kutokana na mzozo wa Rohingya

Myanmar's State Counsellor Aung San Suu Kyi speaks during a joint a press conference with Sweden's Prime minister at the Rosenbad government office on 12 June 2017 in Stockholm, Sweden.Haki miliki ya pichaAFP/GETTY IMAGES
Image captionMs Suu Kyi, a Nobel Peace Prize laureate, has been criticised for inaction
Kiongozi wa Myanmar Aung San Suu Kyi amesema kuwa serikali yake haina hofu ya kuchunguzwa kuhusu njia inashughulikia suala la watu wa Rohingya.
Ilikuwa hotuba yake ya kwanza kwa nchi kuhusu ghasia katika jimbo la Rakhine ambazo zimesababisha zaidi ya watu 400,000 wa jamii ya Rohingya kuvuka mpaka na kuingia nchini Bangladesh.
Bi Suu Kyi amelaumiwa vikali kuhusu jinsi alishughulikia suala hilo.
Rohingya refugees walk to a Border Guard Bangladesh (BGB) post after crossing the Bangladesh-Myanmar border by boat through the Bay of Bengal in Shah Porir Dwip, Bangladesh, 10 September 2017Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionA new wave of Rohingya Muslims has been pouring into Bangladesh since 25 August
Lakini amesema kuwa waisilamu wengi hawajakimbia jimbo hilo na kwamba hali imetumia
Kwenye hotuba yake kwa bunge la Mynammar, Aung San Suu Kyi alisema amuhusuniswa na kuendelea kutaabika kwa watu wote katika mzozo huo na kwamba Myanma imejitolea kutatua suala hilo kwa jamii zote nchini humo.
A small village in the distance, over a verdant green field, burns fiercely under a column of thick black smoke
Image captionBBC reporters witnessed burning Muslim villages in Myanmar
Bi Suu Kyi ambaye ameamua kutohudhuria mkutano wa baraza la Umoja wa Mataifa mjini News York badaye wiki hii, alisema kuwa alikuwa anataka jamii ya kimataifa kufahamu kile kilichokuwa kikifanywa na serikali yake.

No comments:

Post a Comment