Tuesday, September 5

Polisi 95 waugua Kipindupindu Kenya


Jumla ya Polisi 95 waliokuwa wamepelekwa kuimarisha usalama kuhusu kufutwa kwa uchaguzi wameugua ghafla Kipindupindu.
Mlipuko huo wa Kipindupindu umesababisha polisi hao kulazwa kwenye vituo mbalimbali vya Afya.
Ofisa Utawala wa Hospitali ya Sinai ,Paulo Dullo alidhibitisha kulazwa maofisa 30 huku wengine wakisambazwa kwenye hospitali nyingine.
Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Afya Kaunti ya Nairobi,Bernard Muia alisema kwamba jumla ya polisi 95 wamesambazwa kwenye vituo hivyo vilivyopo nchini humo.
Awali ilielezwa kwamba Polisi hao ni miongoni mwa walioongezwa Ijumaa iliyopita,kufuatia hukumu ya Mahakama Kuu ambayo ilitengua matokeo ya Uchaguzi uliofanyika Agosti 8 na kumpa ushindi Uhuru Kenyatta.

The number of police officers who have contracted Cholera in Nairobi has risen by more than 30.
The city county’s Health Chief Executive Bernard Muia on Monday said 95 officers, from 59 on Sunday, had been affected by the disease after eating suspected contaminated food at the Nairobi area Police Canteen.
CANTEEN
The officers from various parts of the country were part of the team deployed to maintain security ahead of Supreme Court judgment on Raila Odinga’s election petition on Friday.
Consequently, the city county has temporarily closed the Nairobi area police canteen.
Speaking at Sinai Hospital where 50 patients are admitted, Dr Muia said they suspected the canteen could have been the source of the outbrea

No comments:

Post a Comment