Tuesday, July 25

TANZANIA NA MSUMBIJI ZAPANIA KUENDELEA KUDUMISHA MAHUSIANO


Mkuu wa mkoa wa Mtwara HALIMA DENDEGO Kwa kushirikana na mkuu wa mkoa wa RUVUMA DKT BILINITH MAHENGE wamesema watahakikisha wanaboresha mahusiano mema kati ya TANZANIA na pamoja na MAJIMBO YA NIASSA,na CABO DELGADO nchini MSUMBIJI hususani katika kuboresha miundombinu ili kuweza kutoa fursa wa wananchi katika pande hizo mbili hayo yamesemwa wakati wa kuitimisha mkutano wa ujirani mwema katika ya majimbo hayo kutoka MSUMBIJI na mikoa ya ruvvuma na mtwara. 

No comments:

Post a Comment