Monday, November 6

Rais Robert Mugabe amemfuta kazi Makamu wa Rais

Emmerson MnangagwaHaki miliki ya pichaAFP
Image captionEmmerson Mnangagwa
Makamu wa raia nchini Zimabawe Emmerson Mnangagwa amefutwa kazi, kwa mujbu wa wizara ya habari nchini humo.
Bw. Mnangagwa, 75, alionyesha tabia za kukosa uzalendo, waziri Simon Kahaya Moyo alisema.
Kufutwa kwake ni ishara kuwa mke wa rais Robert Muabe, Grace, atafuata nyayo za mumeme za kuwa rais wa Zimbabwe
Mapema Grace alitoa witi wa kutaka mumewe amfute kazi Mnangawa.
Bwana Mnangagwa, ambaye ni mkuu wa zamani wa idara ya ujasusi amekuwa kwenye mstari wa mbele kumrithi Rais Mugabe.

No comments:

Post a Comment