Monday, October 30

Watu 60 watengwa kutokana na homa ya tumbili Nigeria

Watu 60 watengwa kutokana na homa ya tumbili NigeriaHaki miliki ya pichaALAMY
Image captionWatu 60 watengwa kutokana na homa ya tumbili Nigeria
Watu 60 wametengwa katika jimbo lililo kaskazini mwa Nigeria la Kano, baada ya kukaribiana na watu wanakosiwa kuugua homa ya tumbili au monkeypox.
Kamishia wa afya katika jimbo la Kano, Kabul Gesto, alisema kwau moja ya dalili za ugonjwa huo iligunduliwa kwenye mgongwa lakini akasema kuwa ugonjwa huo huenda ukawa homa ya ndege.
"Hadi pale matokeo ya sampuni za damu yaliyotumwa kwenda mji mkuu Abuja yatakaporudishwa, hiki kitakuwa kisa cha kushukiwa," alisema wakati wa mahajIano na BBC.
Dr Getso anasema kuwa wagonjwa 11 katika majimbo 36 nchini Nigeria wameathirika na homa ya tumbuli.
Mamlaka za afya nchini Nigeria zimekuwa zikionya dhdi ya ulaji wa tumbili na nyama ya msituni wiki chache zilizopita.
Waziri wa afya Isaac Adewole anasema katika taarifa ya hivi punde kuwa licha ya tiba ya ugonjw ahuo kutujulikana hakuma wasi wasi kwa sababu homa hiyo siyo hatari.
Hata hivyo amewashauri watu kuchukua tahadhari ikiwemo kujiepusha na maeneo yenye misongamano.

No comments:

Post a Comment