Friday, October 20

SHEIKH SHARIFF MAJINI KUFANYA KONGAMANO KUBWA IRINGA JUMAMOSI NA JUMAPILI HII

Sheikh Shariff Majini kutoka katika kituo cha Dua na Maombi Mabibo Mwisho jijini Dar es salaam, mwishoni mwa Mwezi Oktoba Jumamosi tarehe 28 na Jumapili tarehe 29 anataraji kufanya Kongamano kubwa pamoja na Dua katika Mkoa wa Iringa.
Kongamano linatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa OLUFEA uliopo KITANZINI Manispaa ya Iringa Mjini. Kongamano litafanyika kuanzia saa saba mchana mpaka saa kumi naa mbili jioni.
Sheikh amelazimika kufanya kongamano Iringa kufuatia kila siku kupigiwa simu na waumini wa Iringa ili afike kwa ajili ya kuwasikiliza shida zao mbalimbali.

No comments:

Post a Comment