Saturday, October 14

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AKUTANA NA UJUMBE WA SHIRIKA LA UNAIDS


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji  wa Shirika la UNAIDS na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw.Michel Sidibe alipofika Ikulu Mjini Zanzibar na Ujumbe wake.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji  wa Shirika la UNAIDS na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw.Michel Sidibe alipofika Ikulu Mjini Zanzibar na Ujumbe wake.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji  wa Shirika la UNAIDS na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw.Michel Sidibe alipofika Ikulu Mjini Zanzibar na Ujumbe wake(hawapo pichani)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji  wa Shirika la UNAIDS na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw.Michel Sidibe (wa pili kulia) alipofika Ikulu Mjini Zanzibar na Ujumbe wake (Picha na Ikulu) 

No comments:

Post a Comment