Friday, October 20

PROF. KABUDI ATOA UFAFANUZI KUHUSU MAKUBALIANO KATI YA TANZANIA NA KAMPUNI YA MADINI YA BARRICK

Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi ambaye ni Kiongozi wa Timu ya Tanzania katika majadiliano kati ya Serikali na Kampuni ya Barrick kuhusu biashara ya madini ya Dhahabu nchini, atoa ufafanuzi zaidi kuhusu yale yaliyofikiwa baada ya kuwepo sintofahamu kwa baadhi ya watu kuhusu muafaka wa ripoti iliyotolewa jana tarehe 19 Oct 2017, kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

No comments:

Post a Comment