Sunday, September 10

Miili iliyohifadhiwa kwenye kaburi karne ya 16 yagunduliwa Misri

An Egyptian antiquities worker works on a coffin in the recently discovered tomb of Amenemhat, a goldsmith from the New Kingdom, at the Draa Abu-el Naga necropolis near the Nile city of LuxorHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMiili iliyohifadhiwa kaburini karne ya 16 yagunduliwa Misri
Wana akiolojia wamegundua kaburi lenye miili ya mwanmke na watoto wake waliokuwa wamehifadhiwa karne kadhaa zilizopita.
Kaburi hilo linaloaminika kuwa la karne ya 16 hadi 11 BC lilipatikana karibu na mji wa Luxor kilomita 70 kutoka Cairo.
Kati ya vifaa vilivyo patikana ndani ya kaburi hilo ni sanamu ya mfua viuma Amenemhat akiketi kando na mke wake.
Egyptian archaeologists work on mummies at a recently discovered tomb in the Draa Abul Nagaa necropolis, Luxor's West Bank, 700km south of Cairo, Egypt, 9 September 2017Haki miliki ya pichaEPA
Image captionKaburi lilipatikana eneo la Draa Abul Naga
Kulingana na wana akiolojia mama alifariki akiwa na miaka 50, na uchunguzi ulionyesha kuwa alifariki kutoka na ugonjwa wa mifupa.
Watoto wawili wa kiume walikuwa na umri wa kati ya miaka 20 na 30 na walikuwa wamehifadhiwa katika hali nzuri,
Skulls and hands are seen next to coffin in the recently discovered tomb of Amenemhat, a goldsmith from the New Kingdom, at the Draa Abu-el Naga necropolisHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMiili hiyo ilitajwa kuwa katika hali nzuri
A carved sandstone statue depicting the tomb's owner Amenemhat sitting on a high back chair beside his wife at a recently discovered tomb in the Draa Abul Nagaa necropolis, Luxor's West Bank, 700km south of Cairo,Haki miliki ya pichaEPA
Image captionKati ya vifaa vilivyo patikana ndani ya kaburi hilo ni sanamu ya mfua viuma Amenemhat akiketi kando na mke wake.
Egyptian antiquities worker brushes a coffin in a recently discovered tomb of Amenemhat, a goldsmith from the New Kingdom at the Draa Abu-el NagaHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMiili iliyohifadhiwa kaburini karne ya 16 yagunduliwa Misri

No comments:

Post a Comment