Saturday, August 26

Wake wa wanajeshi walalamika kuhusu hali ya waume zao Ufaransa

Wake wa wanajeshi walalamika kuhusu hali ya waume zao UfaransaHaki miliki ya pichaAFP/GETTY IMAGES
Image captionWake wa wanajeshi walalamika kuhusu hali ya waume zao Ufaransa
Mamia ya wake wa wanajeshi wa Ufaransa, wanafanya maandamano mjini Paris, kupinga hali ya maisha wanamoishi waume zao, wakaiwa katika zamu za kupambana na ugaidi.
Mercedes Crepin, ambaye alisaidia kuunda kundi la "wake wa jeshi wenye hamaki"; amesema , baadhi ya wanajeshi wamewekwa katika mabanda ya maji na yaliyojaa mende na kunguni.
Baada ya wapiganaji wa Kiislamu kushambulia ofisi ya gazeti la Charlie Hebdo, Januari mwaka wa 2015, serikali ya Ufaransa iliweka wanajeshi zaidi ya elfu saba kulinda mahala na matukio muhimu.

No comments:

Post a Comment