Christopher Wray 
Nafasi hiyo ilikuwa wazi tangu James Comey alipoondolewa kwenye wadhifa huo na  na Rais Donald Trump  Mei.
Aliondolewa baada ya  uchunguzi aliokuwa akiufanya kuhusu Urusi kuingilia uchaguzi wa nchi hiyo uliompa ushindi   Trump.
Christopher Wray ni mmoja wa maofisa wa ngazi za juu wa mahakama ya nchi hiyo ambaye amefanya kazi chini ya Rais George Bush.

No comments:
Post a Comment