Friday, July 28

Ya Wasira na Bulaya kufahamika leo Mahakama ya Rufaa


Rufaa iliyokatwa na aliyekuwa Mbunge wa Bunga  Stephen Wasira ya kupinga ubunge wa Mbunge wa Easter Bulaya.

Wasira amekata Rufaa baada ya kushindwa kwenye Mahakama kuu Kanda ya Tabora.

No comments:

Post a Comment