Thursday, July 27

Nilichosema Kupitia Sauti Ya America Kuhusu Sakata La Acacia Na Serikali Ya Tanzania

Image may contain: mountain, sky, outdoor and nature

Mbali ya mambo mengine..
- Acacia kwa namna yeyote hawawezi kulipa deni hilo. Itachukua karne nyingi.
- Acacia watapenda kulimaliza jambo hili haraka kwa mazungumzo kwa kutambua kuna makosa wameyafanya.
- Kiasi hicho kimekokotolewa na TRA kwa kufuata ripoti zile mbili na kinaipa nafasi Serikali kuingia kwenye meza ya majadiliano na nguvu ya kushinikiza kupata ( Si kiasi kilichokokotolewa) bali kipande kikubwa zaidi cha keki kwa maslahi ya Watanzania.
- Tutakachokiona hivi karibuni ni kuongezeka kwa spidi ya mazungumzo kati ya Acacia na Serikali.

No comments:

Post a Comment