Friday, March 16

Mtoto aliyezuia kuuzwa shamba ataka ualimu

Mwanafunzi wa darasa la kwanza aliyemzuia baba yake kuuza shamba kwa kumtishia kumpeleka polisi, amesema ndoto yake ni kuwa mwalimu.
Mwanafunzi huyo, Anthony Petro (10) anayesoma katika Shule ya Msingi Ngunduzi wilayani Ngara Mkoa wa Kagera, amesema akiwa mwalimu atawasaidia watoto wengi kuelimika.
Anthony amesema kutokana na ndoto yake hiyo ameamua kusoma kwa bidii kwa kuwa anajiamini ana uwezo wa kufanya vizuri.

No comments:

Post a Comment