Thursday, March 8

Mbunge wa CCM ataka mauaji yachunguzwe

Mbunge huyo wa Nzega Mjini Hussein Bashe amefikisha hoja binafsi kwa katibu wa Bunge la Tanzania ili baadae iingizwe bungeni na bunge liunde tume itakayochunguza kwa uhuru na haki kukithiri ukiukaji wa haki za binadamu.

 
Sikiliza sauti03:11

Mahojiano na mbunge Hussein Bashe

Miongoni mwa vitendo hivyo vya ukiukaji wa haki za binadamu ni vile vya utekwaji, upoteaji na mauaji yanayotokea humo. DW imezungumza na mbunge Bashe na kwanza ilimuuliza amefikia hatua gani katika azma yake hiyo?

No comments:

Post a Comment