Tuesday, March 13

Kipi kiwango cha uungwaji mkono wa Magufuli Tanzania kukiwa na uvumi wa maandamano

Serikali ya Tanzania imetoa kauli za kuyazuia maandamano yanayohamasishwa kupitia mitandao ya kijamii yaliyopangwa kufanyika Aprili 26 kufuatia kuwepo na ukosoaji mkubwa wa utawala wa rais John Pombe Magufuli. DW imezungumza na Dr. Onesmo Kyauke wakili wa kujitegemea Tanzania na mchambuzi wa masuala ya kisiasa, kutaka kujua kiwango cha uungwaji mkono wa Rais Magufuli tokea aingie madarakani.

 
Sikiliza sauti02:43

No comments:

Post a Comment