Sunday, October 1

OJ Simpson aachiliwa kutoka gerezani huko Nevada, Marekani

image of OJ being released from Nevada prison, wearing all denim signing a document on a tableHaki miliki ya pichaNEVADA DEPARTMENT OF CORRECTIONS
Image captionOJ Simpson aachiliwa kutoka gerezani huko Nevada, Marekani
Aliyekuwa nyota wa kandanda na muigizaji nchini Marekani OJ ameachiliwa kutoka gerezani kwa msamaha baada ya kutumikia kifungo cha mika 9 kwenye gereza la Nevada.
Amekuwa gerezani kwa makosa ya wizi wa mabavu kwa kutumia silaha hatari na mashtaka mengine 10 ya mwaka 2o17 kwenye hoteli moja huko Vegas.
Mwaka 1995 aliondolewa mashtaka ya kumuua aliyekuwa mke wake Nocole Brown Simpson na rafiki wake Ron Goodman
Video zilizochapishwa kwenye mtandao wa Facebook zilionyeha akisaini stakabadhi na akiondoka kituo cha Lovelock Correctional Center mapema Jumapili.

No comments:

Post a Comment