Saturday, September 30

VIWANDA MOROGORO VYA PONGEZWA KWA KUNUSURU UHARIBIFU WA MAZINGIRA


 Katikati Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na mazingira Mhe. Luhaga Mpina, Mbele yake ni Bw. George Mratibu wa Kiwanda cha Ngozi Morogoro , cha ACE LATHER TANZANIA LTD, wakiwa katika ukaguzi wa mtambo wa kisasa wa kutibu majitaka kiwandani hapo ambapo Mpina yupo Mkoani Morogoro katika ziara ya ukaguzi wa utekelezaji wa Sheria ya Mazingira na kanuni zake, kufuatia maagizo aliyoatoa awali katika ziara ya viwanda hivyo.

 Kushoto kaimu mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na maji Taka mjini Mororgoro, inginia Halima Mbiru, akimuonyesha Naibu Waziri Mpina Mpaka wa mabwawa ya maji taka mali ya mamlaka hiyo, hayapo katika picha. Mhe. Mpina alifanya ziara ya ukaguzi wa mabwawa hayo mapema leo.
 Katika picha ni washiriki katika ziara ya Naibu Waziri Mpina alipokagua Mabwawa ya majitaka kama yanavyoonekana katika picha.
Kushoto, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Mpina kulia ni Mwenyeji wake  Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt Kebwe Steven Kebwe katika kikao kabla ya kuanza ziara ya ukaguzi wa viwanda Mkoani hum oleo. (Picha na Evelyn Mkokoi)

No comments:

Post a Comment