Friday, September 1

SWALA YA EID EL HAJJ KATIKA MSIKITI WA KIGOGO JIJINI DAR ES SALAAM LEO


 Sehemu ya waumini wa dini ya Kiislam wakiwa kwenye ibada ya swala ya Eid el Hajj iliyoswaliwa katika Uwanja wa Msikiti wa Kigogo, Jijini Dar es salaam leo. Sikukuu ya  Eid el Hajj husherehekewa na waislam duniani, ambapo Waislamu huisherekea sikukuu ya hii kwa kuchinja mnyama ikiwa ni kuheshimu kitendo alichokifanya Nabii Ibrahim (vitabu vya dini vimeeleza).
 Ibada ya Eid el Hajj iliyoswaliwa katika Uwanja wa Msikiti wa Kigogo, Jijini Dar es salaam ikiendelea.
 Waumini wakisikiliza mawaidha.
Kama ilivyo kawaida ya siku hii, hapa ni baadhi ya waumini wakinunua mbuzi kwa ajili ya kuchinja.

No comments:

Post a Comment