Tuesday, August 29

Trump aizungumzia Texas

Mafuriko TexasHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMafuriko Texas
Rais Donald Trump ameahidi kuliunga mkono jimbo la Texas katika kipindi hiki ambacho kimbunga Harvey kinaendelea kuharibu eneo hilo.
Wakati akijiandaa kwenda katika jimbo hilo leo, amesema kuyalinda maisha ya watu kutakuwa ni kipaumbelke cha kwanza kwake.
Amesema mchakato wa kulijenga tena eneo hilo utakuwa ni kazi ya muda mrefu na ngumu.
Mamilioni ya dola za Kimarekani zinahitajika, huku bunge la nchi hiyo la Congress likihitajika kuidhinisha fedha hizo.

No comments:

Post a Comment