Wakazi wa Tabata Segerea Wilaya ya Ilala wakiwa wanashangaa gari aina ya Land Cluser Prado ambayo imecha barabara na kuvamia Vigingi Vilivyopo kwenye barabara ya kukatisha kwenda Kimara Bonyokwa
Gari aina ya toyota Land Cluser Ikiwa ipo juu ya mawe mara baada ya kuruka na kuacha njia katika eneo la tabata Segerea njia panda ya kwenda Bonyokwa, gari hiyo imepanda mawe hayo katika harakati za kumkwepa mtu aliyekuwa anakuja mbele yake kwa speed kali hata hivyo katika ajali hiyo Hakuna majeruhi wala mtu aliyefariki wote walitoka Salama
Gari aina ya toyota Land Cluser Ikiwa ipo juu ya mawe mara baada ya kuruka na kuacha njia katika eneo la tabata Segerea njia panda ya kwenda Bonyokwa, gari hiyo imepanda mawe hayo katika harakati za kumkwepa mtu aliyekuwa anakuja mbele yake kwa speed kali hata hivyo katika ajali hiyo Hakuna majeruhi wala mtu aliyefariki wote walitoka Salama
Gari aina ya toyota Land Cluser Ikiwa ipo juu ya mawe mara baada ya kuruka na kuacha njia katika eneo la tabata Segerea njia panda ya kwenda Bonyokwa, gari hiyo imepanda mawe hayo katika harakati za kumkwepa mtu aliyekuwa anakuja mbele yake kwa speed kali hata hivyo katika ajali hiyo Hakuna majeruhi wala mtu aliyefariki wote walitoka Salama
No comments:
Post a Comment