Monday, August 21

Tabata Segerea




 Wakazi wa Tabata Segerea Wilaya ya Ilala wakiwa wanashangaa gari aina ya Land Cluser Prado ambayo imecha barabara na kuvamia Vigingi Vilivyopo kwenye barabara ya kukatisha kwenda Kimara Bonyokwa


 Gari aina ya toyota Land Cluser Ikiwa ipo juu ya mawe mara baada ya kuruka na kuacha njia katika eneo la tabata Segerea njia panda ya kwenda Bonyokwa, gari hiyo imepanda mawe hayo katika harakati za kumkwepa mtu aliyekuwa anakuja mbele yake kwa speed kali hata hivyo katika ajali hiyo Hakuna majeruhi wala mtu aliyefariki wote walitoka Salama



 Gari aina ya toyota Land Cluser Ikiwa ipo juu ya mawe mara baada ya kuruka na kuacha njia katika eneo la tabata Segerea njia panda ya kwenda Bonyokwa, gari hiyo imepanda mawe hayo katika harakati za kumkwepa mtu aliyekuwa anakuja mbele yake kwa speed kali hata hivyo katika ajali hiyo Hakuna majeruhi wala mtu aliyefariki wote walitoka Salama



Gari aina ya toyota Land Cluser Ikiwa ipo juu ya mawe mara baada ya kuruka na kuacha njia katika eneo la tabata Segerea njia panda ya kwenda Bonyokwa, gari hiyo imepanda mawe hayo katika harakati za kumkwepa mtu aliyekuwa anakuja mbele yake kwa speed kali hata hivyo katika ajali hiyo Hakuna majeruhi wala mtu aliyefariki wote walitoka Salama

No comments:

Post a Comment