Sunday, August 20

Mshambuliaji aliyewachoma watu kisu Finland aliwalenga wanawake

Vigil in TurkuHaki miliki ya pichaEPA
Image captionMshambuliaji aliyewachoma kisu watu Finland aliwalenga wanawake
Polisi nchini Finland wanasema wanachunguza shambulio la visu lilofanywa jana, katika mji wa Turku kusini mashariki mwa nchi na wanachukulia tukio hilo kuwa la kigaidi.
Watu wawili waliuawa, na wanane wengine kujeruhiwa watatu wakiwa mahututi.
Polisi wamemtambua mshukiwa kuwa kijana wa miaka 18 kutoka Morocco.
Candles are lit at the scene of the stabbings in TurkuHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMshambuliaji aliyewachoma kisu watu Finland aliwalenga wanawake
Plisi wanasema, inaonyesha aliwalenga hasa wanawake, na wanaume aliowashambulia ni wale waliojaribu kumzuia.
Watu wengine wane wamekamatwa, kuhusu shambulio hilo, na amri imetolewa kimataifa, ya kumsaka mtu mwengine wa tano.
Wote wanasemekana kuwa na asili ya Morocco.
A map showing the market square and Puutori in relation to Turku
Image captionMshambuliaji aliyewachoma kisu watu Finland aliwalenga wanawake

No comments:

Post a Comment