Wednesday, August 30

KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI

RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI, ALIYEKUWA KARANI WA BARAZA MAREHEMU HASSAN RASHID SHEBUGE AKUMBUKWA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan na Katibu Mkuu Kiongozi pamoja na mawaziri wakisimama kwa heshima kumkumbuka aliyekuwa Karani wa Baraza la Mawaziri Marehemu Hassan Rashid shebuge aliyefariki mwezi Julai mwaka huu, kabla ya kuanza kwa kikao hicho kilichofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 29, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha baraza la Mawziri kulu jijini Dar es salaam leo Agosti 29, 2017.

No comments:

Post a Comment