Monday, July 17

Wanafunzi 10 waliofanya vizuri zaidi kitaifa katika matokeo ya kidato cha nne 2016/2017.


Baraza la Mitihani nchini (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne ambapo ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 67.91 mwaka 2015, hadi kufikia asilia 70.35 mwaka 2016 huku shule 6 za Dar es Salaam zikifanya vibaya.
Wanafunzi 10 waliofanya vizuri kitaifa.

No comments:

Post a Comment