Wednesday, July 12

SHULE YA HAZINA INTERNATIONAL SCHOOL

HAZINA INTERNATIONAL SHOOL ipo Magomeni Makuti Mtaa wa Mpwapwa, Shule ni ya Nursery na Primary pia ni Day na Boarding Mazingira ya shule ni mazuri sana, Shule ilianzishwa mwaka 2005 na tangu hapo Shule imefanya vizuri sana katika matokeo ya Darasa la 7.

Hivi ndivyo Shule ya HAZINA ilivyofanya vizri katika matokeo ya Darasa la 7 kwa miaka 3 mfululizo.

Matokeo ya Taifa ya darasa la  7 shule ya Hazina international school:

Mwaka 2014 Darasa la 7 ya 1 kiwilaya ya 1 kimkoa ya 12 kitaifa.

Mwaka 2015 Darasa la 7 ya 1 ya kiwilaya ya 1 kimkoa ya 11 kitaifa.

Mwaka 2016 Darasa la 7 ya 1 kiwilaya ya 1 kimkoa ya  5 kitaifa.

Shule ya HAZINA inafanya vizuri kwa sababu ina walimu wazuri sana na mazingira ya kufundishia ni mazuri sana Mlete mwanao aje kusoma shule ya HAZINA INTERNATIONAL SHOOL..

PIGA SIMU NAMBA 0713295712 / 0716999822 / 0716999800 kwa maelezo zaidi..


WHO WE ARE

Hazina International School follows the current Tanzania National curriculum with English as a medium of instruction. The curriculum also offers computer studies designed to fit the pupils’ needs as well as equipping them with the technological know – how. There are also extra curriculum activities geared to develop the health of the pupils and their physical fitness. As an English proverb goes – All work without play makes Jack a dull boy.

School Mission

To provide quality education and enable students of different cultures to live together and build lifelong friendships hence a united nation.

School Vision

To provide disciplined, educated and suitably qualified candidates for tomorrow’s job market and industrialists.



Picha za Taswira ya Shule ya HAZINA INTERNATIONAL SHOOL









No comments:

Post a Comment