Friday, July 28

Mwenyekiti wa Maspika jumuiya ya Madola barani Afrika

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Maspika na viongozi wa Bunge katika nchi za Jumuiya ya Madola barani Afrika.





No comments:

Post a Comment