Tuesday, June 13

WILAYA ZA MUFINDI NA KILOLO MKOANI IRINGA ZATUMIA TEHAMA KUBORESHA UTOAJI WA HUDUMA KWA UMMA

Je unajua jinsi TEHAMA inavyoboresha utendaji kazi na utoaji wa huduma kwa umma katika Mkoa wa Iringa hasa Wilaya ya Kilolo na Mufindi. Usikose kuangalia kipindi hiki.

No comments:

Post a Comment