Thursday, June 8

Hii bajeti ya kodi za Pombe toka nasoma hadi leo, hivi Gesi, madini yanafaida gani kwa Mtanzania?

Mabadiliko ya kodi 

1. Vinywaji baridi imeongezeka kwa Sh3 kutoka Sh58 mpaka Sh61.

2. Maji ya kunywa imeongezeka kwa Sh3 kutoka Sh58 hadi Sh61 kwa Lita.

3. Juisi ya matunda ya ndani imeshuka kwa senti 50 kutoka Sh9.50 hadi Sh9 kwa lita.

4. Juisi ya matunda ya nje imeoanda kwa Sh11 kutoka Sh210 mpaka Sh221 kwa Lita.

5. Bia inayotengenezwa kwa nafaka ya ndani imepanda kwa Sh21 kwa Lita kutoka Sh429 mpaka Sh450.

6. Bia nyingine zote imepanda kwa Sh36 kutoka Sh729 mpaka Sh765 kwa lita.

7. Bia zisizo za kilevi imepanda kwa Sh27 kutoka Sh534 mpaka Sh561.

8. Mvinyo wa zabibu ya ndani imeshuka kwa Sh2 kwa lita kutoka Sh202 mpaka Sh200.

9. Mvinyo wa zabibu ya nje imepanda kwa Sh113 kwa lita kutoka Sh2,236 mpaka Sh2,349.

10. Vinywaji vikali kutoka nje imepanda kwa Sh166 kutoka Sh3,315 mpaka Sh3,481. Vinywaji vikali vya nchini itaendelea kubaki Sh3,315.

11. Sigara za ndani zisizo za kichungi imeongezeka kwa Sh593 kwa kila sigara 1,000 kutoka Sh11,854 mpaka Sh12,447.

12. Road license imefutwa

No comments:

Post a Comment