Saturday, January 12

UTATA KUHUSU MUONEKANO WA DARAJA LA MANZESE


Picha hii imekua ikisambaa kwenye mitandao ya kijamii wakidai kuwa huu ndiyo utakua muonekano wa daraja la Manzese. ....

Mdau wa tulonge amejaribu kufanya uchunguzi kugundua kuwa hii ni project ambayo ilipangwa kufanywa na wachina huko Thailand mwaka 2010.....

Mimi binafsi pia sijawahi sikia serikali ikisema kuwa huu ndiyo utakua muonekano wa daraja la Manzese na Morogoro road kwa ujumla.....

Kama kuna mdau anafahamu mengi kuhusu hili atujuze ili tusije tukawa tunadanganyana na kufarijiana.....





No comments:

Post a Comment