Wednesday, January 11

Fundi sudi maarufu kama Mzee Kipara amefariki

Fundi sudi maarufu kama Mzee Kipara amefariki muda si mrefu huko Kigogo kwenye nyumba ambayo alikuwa amepangishiwa na kundi la sanaa ambalo alikuwa anafanyia kazi la Kaole.

Kwa taarifa ambazo tumezipata sasa hivi kutoka kwa Swebe ambaye yupo nyumbani kwa mzee Kipara, kwa sasa wanauandaa mwili wake kwenda kuupeleka Hospitali ya mwananyamala kuuhifadhi.
Mazishi yake yanatarajiwa kufanyika kesho, kwa taarifa zaidi tutawaletea hapo baadae.

No comments:

Post a Comment