Monday, August 21

Wilaya ya Ubungo


 Mkuu wa Wilaya ya Ubungo ,Kisare Makoli (pichani kati) akiwa ameongozana na baadhi ya madereva wa dala dala wakielekea  kwenye kituo cha daladala cha Mawasiliano simu 2000 mara baada ya madereva wa Daladala kupinga tozo ya shilingi 1000 kama Ushuru wa magari ambapo awali walikuwa wanalipa shilingi 500


Mkuu wa Wilaya ya Ubungo ,Kisare Makoli, akizungumza na Madereva Daladala waliopo katika eneo la Simu 2000 mara baada ya kuweka mgomo kupinga tozo ya Shilingi 1000 na kudai kuwa barabara hiyo ni mbovu,Mhe.Makoli ameagiza kuendelea kulipwa tozo hiyo ya zamani ya shilingi 500 badala ya 1000 iliyokuwa imeongezwa,na kwamba madereva waendelee na shughuli zao kusafirisha abiria kama kawaida.


 Mkuu wa Wilaya ya Ubungo ,Kisare Makoli, akizungumza na Madereva Daladala waliopo katika eneo la Simu 2000 mara baada ya kuweka mgomo kupinga tozo ya Shilingi 1000 na kudai kuwa barabara hiyo ni mbovu



 Askari wa kikosi cha Kutuliza Ghasia wakiwa wanaimarisha ulinzi katika eneo la kituo cha Daladala cha Simu 2000


 Askari wa kikosi cha Kutuliza Ghasia wakiwa wanaimarisha ulinzi katika eneo la kituo cha Daladala cha Simu 2000


 Askari wa kikosi cha Kutuliza Ghasia wakiwa wanaimarisha ulinzi katika eneo la kituo cha Daladala cha Mawasiliano Simu 2000.

No comments:

Post a Comment