
Mbali ya mambo mengine..
- Acacia kwa namna yeyote hawawezi kulipa deni hilo. Itachukua karne nyingi.
- Acacia watapenda kulimaliza jambo hili haraka kwa mazungumzo kwa kutambua kuna makosa wameyafanya.
- Kiasi hicho kimekokotolewa na TRA kwa kufuata ripoti zile mbili na kinaipa nafasi Serikali kuingia kwenye meza ya majadiliano na nguvu ya kushinikiza kupata ( Si kiasi kilichokokotolewa) bali kipande kikubwa zaidi cha keki kwa maslahi ya Watanzania.
- Tutakachokiona hivi karibuni ni kuongezeka kwa spidi ya mazungumzo kati ya Acacia na Serikali.
- Acacia watapenda kulimaliza jambo hili haraka kwa mazungumzo kwa kutambua kuna makosa wameyafanya.
- Kiasi hicho kimekokotolewa na TRA kwa kufuata ripoti zile mbili na kinaipa nafasi Serikali kuingia kwenye meza ya majadiliano na nguvu ya kushinikiza kupata ( Si kiasi kilichokokotolewa) bali kipande kikubwa zaidi cha keki kwa maslahi ya Watanzania.
- Tutakachokiona hivi karibuni ni kuongezeka kwa spidi ya mazungumzo kati ya Acacia na Serikali.
No comments:
Post a Comment