Tuesday, August 1

KESI YA WEMA SEPETU KUSIKILIZWA MCHANA HUU MAHAKAMA YA KISUTU

 Msanii wa filamu nchini na Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, akitoka mahakamani baada ya kesi yake kuahirishwa hadi saa Sita na nusu mchana, ambapo mkemia atakuja kutoa ushahidi wake dhidi ya kesi ya kutumia dawa za kulevya inayomkabili yeye pamoja na wafanyakazi wake wawili.

No comments:

Post a Comment