Wednesday, December 21
Nyumba zachomwa moto kwa imani za kishirikina. Na Fredy Bakalemwa, Mbeya.
Wakazi wa mtaa wa Igoma A kata ya Isanga jijini Mbeya wamezizoma moto nyumba mbili, moja ikiwa ya mwenyekiti wa mtaa huo Bwana Juma Kahawa.
Nyumba nyingine iliyoteketezwa kwa moto na watu walioamua kujichukuliwa sheria mkononi ni ya Bwana Herman Tonji naye ni mkazi wa mtaa huo.
Imedaiwa na baadhi ya wakazi wa mtaa huo kuwa hatua hiyo imefikiwa kutokana na kuwatuhumu watu hao kuwa ni washirikiana kwa madai kuwa baadhi ya watoto katika mtaa huo wamepotea na kukutwa wakiwa wamekufa katika mazingira tatanishi.
Tukio la Jumatano jioni katika mtaa wa Igoma kata ya Isanga lilinaswa na kamera ya Star Tv ambapo umati wa watu walitoka mkutanoni baada ya kushindwa kupata mwafaka hasira zikawaelekeza kujichukulia sheria mkononi.
Wakati tukio likiendelea kikosi cha zima moto kilifika eneo la tukio ili kuokoamalizilizokuwa zimesalia lakini hata hivyo sehemu kubwa yamalizilikuwa zimeteketea.
Kwa kuwa watekelezaji wa hatua hiyo walitambua kuwa wanavunja sharia, baada ya kuona askari polisi wakiwa na silaha hakuna aliyesalia bali walihamia katika nyumba nyingine ya Bwana Herman Tonji.
Polisi walipofika wakachukua hatua za kuokoa baadhi yamalikabla ya kuteketea, lakini siyo kila kitu kiliguswa.
Kamanda wa polisi mkoani Mbeya ACP Advocate Nyombi alitoa tamko, kuthibitisha tukiohilokwa kuwataka wananchi kutojichukulia sheria mkononi.
Mwisho.
Nyumba nyingine iliyoteketezwa kwa moto na watu walioamua kujichukuliwa sheria mkononi ni ya Bwana Herman Tonji naye ni mkazi wa mtaa huo.
Imedaiwa na baadhi ya wakazi wa mtaa huo kuwa hatua hiyo imefikiwa kutokana na kuwatuhumu watu hao kuwa ni washirikiana kwa madai kuwa baadhi ya watoto katika mtaa huo wamepotea na kukutwa wakiwa wamekufa katika mazingira tatanishi.
Tukio la Jumatano jioni katika mtaa wa Igoma kata ya Isanga lilinaswa na kamera ya Star Tv ambapo umati wa watu walitoka mkutanoni baada ya kushindwa kupata mwafaka hasira zikawaelekeza kujichukulia sheria mkononi.
Wakati tukio likiendelea kikosi cha zima moto kilifika eneo la tukio ili kuokoamalizilizokuwa zimesalia lakini hata hivyo sehemu kubwa yamalizilikuwa zimeteketea.
Kwa kuwa watekelezaji wa hatua hiyo walitambua kuwa wanavunja sharia, baada ya kuona askari polisi wakiwa na silaha hakuna aliyesalia bali walihamia katika nyumba nyingine ya Bwana Herman Tonji.
Polisi walipofika wakachukua hatua za kuokoa baadhi yamalikabla ya kuteketea, lakini siyo kila kitu kiliguswa.
Kamanda wa polisi mkoani Mbeya ACP Advocate Nyombi alitoa tamko, kuthibitisha tukiohilokwa kuwataka wananchi kutojichukulia sheria mkononi.
Mwisho.
Mafuriko yaleta maafa Dar • Watu kumi wahofiwa kufa, 2,000 wakosa makazi
MVUA kubwa iliyoambatana na upepo mkali na radi iliyonyesha usiku wa kuamkia jana jijini Dar es Salaam, imesababisha vifo vya watu zaidi ya kumi pamoja na kusababisha uharibifu wa miundombinu, huku zaidi ya watu 2,000 wakikosa makazi.
Miongoni mwa maeneo yaliyokumbwa na maafa hayo kwa kiasi kikubwa ni Kigogo Mburahati, Ubungo Msewe, Bonde la Mkwajuni, Bonde la Msimbazi na mengine ambako nyumba za watu zilizama na kusababisha baadhi ya wananchi kutojulikana waliko.
Akizungumza na Tanzania Daima Jumatano, mmoja wa wahanga hao kutoka eneo la Kigogo Mburahati, Grace Anthony alisema watoto wadogo wawili wanasaidikiwa kufa katika eneo hilo baada ya kusombwa na maji wakati wakiwa katika harakati za kujiokoa.
Mzee mwingine anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 60 anadaiwa kufa maji baada ya mwili wake kukutwa katika Mto Msewe eneo la Ubungo Msewe, wakati mtoto mwingine wa miaka minane anadaiwa kufariki dunia katika eneo la Kiwalani, baada ya kushika waya wa umeme ulioanguka kutokana na mvua hizo.
Aliyataja maeneo yaliyokumbwa na mafuriko hayo ni kutoka eneo la Festini hadi kituo cha Saluni, yote yakiwa Kigogo Mburahati ambako baadhi ya nyumba zilizamishwa chini huku watu wakihangaika kuokoa maisha yao.
“Maji yametapakaa eneo lote kama unavyoona na baadhi ya nyumba zimeezuliwa, mali zetu zimesombwa pamoja na gari za watu, hapa hatuna jinsi, kilichopo kwa sasa ni kuiomba serikali itusaidie,” alisema Anthony.
Alisema chanzo cha mafuriko hayo ni mkondo wa maji ya mvua yanayotoka maeneo ya Mabibo na Kigogo kushindwa kupita katika daraja la Kigogo, hali inayosababisha maji hayo kupwa na kusambaa ndani ya makazi ya watu.
Aliyafananisha mafuriko hayo na gharika kwani awali liliwahi kutokea mwaka 1997 na kusababisha watu kadhaa kupoteza maisha yao.
“Mafuriko ya leo ni ya pili kutokea, tukio kama hili tulikumbana nalo mwaka 1997 na chanzo kikubwa ni ufinyu wa daraja pamoja na msongamano wa kaya za watu hasa kwa wale wanaoishi mabondeni.
“Awali mwaka huu mwezi Machi mafuriko yalitokea lakini yalisababisha kaya zilizokumbwa na mafuruko hayo kukosa mahali pa kuishi kutokana na maji kujaa ndani, huku baadhi ya kaya zikitakiwa kubomolewa ili kupisha upanuzi wa barabara sanjari na daraja,” alifafanua Anthony.
Vyanzo vya uhakikika vililiambia Tanzania Daima Jumatano kwamba maeneo ya Bonde la Mkwajuni pia na Kigogo kuna nyumba zimezama, hivyo kusababisha baadhi ya watu kutoonekana.
“Nyumba nyingi zimezama; watu wanahaha kwa kushindwa kujua la kufanya badala yake wengi wao wamelazimika kukaa juu ya mabati ya nyumba zao wakiwa na magodoro… suala hili limetokea katika eneo la Bonde la Mkwajuni na Kigogo,” kilisema chanzo hicho cha habari.
Habari nyingine zinaeleza kwamba katika eneo la Magomeni Mwembechai nyumba zilijaa maji hadi eneo la dirishani, hivyo kuwalazimu wanaoishi kuzihama kwa muda.
Kwa mujibu wa habari, hadi saa 7:19 mchana jana wananchi hao bado walikuwa hawajapatiwa msaada wowote zaidi ya kuhaha.
Taarifa kutoka kwa mashuhuda zinapasha kwamba maafa mengine yametokea katika eneo la Kigogo kutokana na nyumba nyingi kujaa maji hivyo kuwakosesha wananchi wake mahala pa kuishi.
Katika maeneo ya Mbagala, Wilaya ya Temeke iliripotiwa kwamba mvua hizo zilizoambatana na radi zimesababisha kupigwa shoti ya umeme hivyo kubomoka.
Mvua hizo zilisababisha pia tafrani baada barabara nyingi kujaa maji na kusababisha misafara ya magari kukwama kwenye foleni kwa muda mrefu.
Baadhi ya abiria waliokuwa wakisafiri kwa daladala kwa nyakati tofauti walisema kwamba mvua hizo zimewafanya washindwe kufika katika sehemu zao za kazi kwa wakati.
Walisema kulikuwa na madimbwi ya maji katika barabara mbalimbali likiwamo eneo sugu la Akiba, hali iliyowafanya madereva kushindwa kupitisha magari yao katika hali ya kawaida.
Mmoja wa abiria hao, Shaban Issa alisema ukiachilia mbali madimbwi ya maji, kulikuwa na ukiukwaji wa sheria za barabarani uliofanywa na madereva walipofika kwenye makutano ya barabara kutokana na kutokuwepo askari wa kuongoza magari.
Alisema kutokana na kutokuwepo askari wa kuongoza magari katika makutano hayo ya barabara kutokana na mvua hiyo, baadhi ya madereva walikuwa wakipitisha magari yao bila kutii taa za barabarani, hali iliyosababisha msongamano na kuzusha foleni zisizo za lazima.
Naye Maggy Mdoe, alisema maeneo mengine yalioathirika na msongamano huo ni pamoja na Ubungo mataa, Usalama, Tazara, Morocco na Fire.
“Tumechukua muda mrefu kwa sababu ya uzembe wa madereva kushindana kupita kwenye mataa kutokana na kujifanya wana haraka wakati hata hawajaruhusiwa na taa za upande wao,” alilalamika Mdoe.
Alitoa wito kwa madereva kuheshimu sheria za usalama barabarani, na si lazima kila mara wasimamiwe na mtu kwani huo si utaratibu mzuri.
Mafuriko hayo pia yamewakosesha makazi baadhi ya wananchi wa eneo la Tabata Relini kutokana na nyumba pamoja na vyombo vyao kusombwa na maji.
Mmoja wa wakazi wa eneo hilo, Alli Khatib aliliambia Tanzania Daima Jumatano kwamba mafuriko yanasababishwa na serikali kwa kutojenga miundombinu imara kwa ajili ya kuzuia majanaga ya mafuriko.
Aliitaka serikali kuwatengenezea mkondo wa kupitisha maji ili kuweza kuzuia mafuriko hayo ambayo yanawafanya kukosa makazi ya kuishi.
Alisema kuwa mvua iliyonyesha kwa siku moja imesababisha watu kukosa makazi, na kwamba kama ikinyesha kwa siku mbili serikali itegemee maafa makubwa kwa wananchi wanaoishi katika mikondo ya mifereji midogo.
“Mvua hii imekosesha wananchi sehemu ya kukaa kutokana na nyumba kujaa maji ya mafuriko pia daraja la Ubungo Msewe kuzolewa na maji,” alisema Khatib.
Mvua hizo zimesababisha pia mawasiliano kuharibika katika eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam pamoja na watu waishio Kimara na Mbezi kushindwa kupita katika barabara yenye daraja hilo.
Katika hatua nyingine, Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azan, amesema atachukua hatua za haraka kuimarisha miundombinu ya maeneo mbalimbali ili kukabiliana na hali ya mafuriko makubwa kama ilivyopata kutokea mwaka 1998 na jana kwenye maeneo ya Tandale kwa Mtogole, bonde la Kigogo na Magomeni.
Azan ambaye alikuwa akitembelea maeneo yaliyoathirika zaidi na mvua hizo, alisema wakazi wa Tandale na maeneo yake, wanakabiliwa na changamoto ya miundombinu kwani ndio chanzo cha mafuriko.
“Suala hili la mafuriko kwa wakazi wa Jimbo la Kinondoni, lipatiwe ufumbuzi ikiwemo kujenga mitaro mikubwa maeneo korofi ya Tandale ili kuzuia ama kukabiliana na hali hiyo,” alisema Azan.
Tanzania Daima lilikuwa kwenye eneo la tukio tangu alfajiri, ili shuhudia foleni kubwa kwa magari yaliyokuwa yakipita Barabara ya Shekilango, yakisubiri kupungua kwa maji.
Katika eneo hilo gari aina ya Escudo lilisombwa na maji na kutumbukia mtoni huku baadhi ya fremu za muda za eneo la mto huo zikiwa zimejaa maji na zingine kuharibika kabisa.
Kwa upande wa abiria waliokuwa wakitumia barabara ya Tandale, walikwama kupita baada ya maji kutanda barabarani.
Aidha, katika hali ya kusikitisha, mtoto mchanga wa siku moja aliokotwa akielea kwenye maji na kuopolewa na askari wa Kikosi cha Zimamoto akiwa amekufa.
Habari hii imeandaliwa na Hellen Ngoromera, Efracia Massawe, Shehe Semtawa, Chalila Kibuda na Andrew Chale.
Tuesday, December 20
Jesus (Isa) A.S. in Islam, and his Second Coming by Mufti A.H. Elias I. Jesus (A.S.)
In Islam
Muslims do believe that Isa (A.S.) was sent down as a Prophet of Allah (God), but he (Jesus) is not God or Lord, nor the son of God. Muslims do not believe that Isa (A.S.), also known as Jesus by Christians and others, is dead or was ever crucified. We believe that he was raised to heaven and is there, and will descend at the appointed time, end all wars, and bring peace to the world. Like Jesus (A.S.), Muhammad (Peace be upon him) is also a Prophet and Messenger. Muhammed (P.B.U.H.) is the last Prophet, though, and there is none after him. Hence, Islam is the last religion, complete, with the Holy Qur'an as the unchanged and perfect word of God for over 1400 years, as God promised to preserve it till the last day for all of humankind, unlike sacred texts of other religions which have mulitple versions and are "revised" periodically. God, or Allah in Arabic, is Divine and Supreme Being and Creator.
What the Holy Qur'an says about Jesus:
They slew him not, nor did they crucify him but it was made dubious to them. (Holy Qur'an, Surah Nisaa, Verse 157)
Hadhrat Isa (A.S.) himself told of the coming of Prophet Muhammad (Peace be upon him). In the Bible, Jesus (A.S.) says, If you love me, Keep my commandments. And I will pray to the Father and He shall give you another comforter that he may abide with you forever. (Bible, John 14-15/16)
But when the comforter is come, whom I will send unto you from the Father, even the spirit of Truth, which proceedeth from the Father, he shall testify of me, and he also shall bear witness, because ye have been with me from the beginning. (Bible, John 15-26/27)
I have yet many things to say unto you, but you cannot bear them now. How be it when he, the spirit of Truth will come, he will guide you into all truth, for he shall speak not of himself, but whatsoever he shall hear, that he shall speak, and he will show you things to come. He shall glorify me, for he shall receive of mine, and he shall show it unto you. (Bible, John 16-12/14)
Ulema (learned scholars in Islam) have said that the person who is described by Hadhrat Isa (A.S.) to come after him - in the above verse - does not comply with any other person but Prophet Muhammad (Peace be upon him).
In this case, the "comforter" he mentions is none other than Prophet Muhammad (Peace be upon him) and his laws and way of life (Shariah) and Book (Holy Qur'an) are those that Hadhrat Isa (A.S.) asks his followers to abide by.
The "person" whom Jesus (A.S.) prophecised will come after him, is called Pargaleeta in the Bible . This word was deleted by interpreters and translators and changed at times to "Spirit of Truth" and at other times, to "comforter" and sometimes "Holy Spirit." The original Greek and its meaning is "one whom people praise exceedingly." The sense of the word, then, is applicable to the word Muhammad in Arabic, since Muhammad means "the praised one." Jesus (A.S.) also says in the Bible, ... and a little while and you shall not see me; and again a little while, you shall see me because I go to the Father. (Bible, John 16:16) ... and the Holy Qur'an says, And surely they slew him not. But Allah (God) raised him unto Himself. (Holy Qur'an, Surah Nisaa, Verse 157-158)
As such, Muslims believe that Hadhrat Isa (A.S.) was raised to heaven. According to Hadith, he is on the second heaven. Rasulullah (Sallallaahu Alayhi Wasallam=Peace be upon him) mentioned, "During the Meraj (Ascension), I met Hadhrat Isa (A.S.) on the second heaven. I found him of medium stature, reddish white. His body was so clean and clear, that it appeared as though he had just performed ghusal (ablution, cleansing of the entire body) and come." In another Hadith, Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam) mentioned to the Jews that, " Hadhrat Isa (A.S.) is not dead, he will most surely return to you before Qiyamat (the Day of Judgement)."
May Allah Guide all people to the Truth. Aameen.
II. Hadhrat Isa's (A.S.) Descension The Physical Features of Hadhrat Isa (A.S.)
He will resemble the famous Sahabi (A.S.) Hadhrat Urwa bin Masoodi (R.A.). He will be of average height and red and white in colour. His hair spread to the shoulders, straight, neat and shining as after a bath. On bending his head, it will seem as if pearls are falling. He will have an armour on his body. He will be wearing two pieces of cloth light yellow in color.
His Descension
He will descend on a Jamaat (group) that will be righteous at the time and comprising of 800 men and 400 women. The people will be preparing for war at the time against Dajjal (the anti-Christ). It will be time for Fajr prayers, and Imam Mahdi will be the Amir (leader). From the darkness of the dawn, a sound will suddenly be heard that "one who listens to your pleas has come" -- the righteous people will look everywhere and their eyes will fall on Isa (A.S.). Briefly, at the time of Fajr, Isa (A.S.) will descend. When descending, Isa (A.S.)'s hands will be on the shoulders of two angels (according to another source (Kab Abrar), a cloud will carry him). On their insistence Hadhrat Isa will introduce himself. He will inquire about their enthusiasm and thoughts on Jihad against Dajjal. Hadhrat Isa (A.S.) will descend on the eastern side near the Minaret in Damascus (or in Baitul-Muqaddus by Imam Mahdi). At the time Imam Mahdi will have proceeded forward to lead the Fajr Salaat. The Iqamat of the Salaat would have been said (already recited) and Imam Mahdi will call Hadhrat Isa (A.S.) for Imamat (to lead the prayer), but he (Hadhrat Isa (A.S.)) will instead tell Imam Mahdi to lead the prayer since the Iqamat of that Salaat has already been said for him. Thus Imam Mahdi will lead the prayer, and Hadhrat Isa (A.S.) will follow him. After the ruku, he will make this statement: "Allah has killed Dajjal and the Muslims have appeared."
The Killing of Dajjal (anti-Christ) and the Victory of the Muslims
After the completion of Fajr Salaat (congregational dawn prayers), Hadhrat Isa (A.S.) will open the door behind him where Dajjal accompanied by 70,000 Yahudis (Jews) will be. He will indicate with his hand to move away between him (Hadhrat Isa (A.S.)) and Dajjal. Dajjal will then see Hadhrat Isa (A.S.). At that time every Kafir on whom the breath of Hadhrat Isa (A.S.) will reach, will die. His breath will reach up to the distance of his eyesight. The Muslims will then come down from the mountains and break loose on the army of Dajjal. There will be war, Dajjal will retreat, and Hadhrat Isa (A.S.) will pursue Dajjal. Hadhrat Isa (A.S.) will have two flexible swords and one shield with him and with these he will kill Dajjal at the Gate of Hudd. He willl show the Muslims the blood of Dajjal which will get on his shield. Eventually the Yahudis will be selected and killed. The swine will be killed and the cross broken. People will revert to Islam. Wars will end, and people will return to their respective countries. One Jamaat (group) of Muslims will remain in his service and companionship.
Hadhrat Isa (A.S.) will go to Fajr Rawha and perform Haj or Umrah (or both) from there. He will also go to the grave of Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam) and present his greetings and Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam) will reply. People will live comfortable lives. The wall of Yajooj and Majooj (Gog and Magog) will then break.
III. The Blessings of Hadhrat Isa (Jesus) (A.S.)
1 Hadhrat Isa (A.S.) will descend and stay on earth.
2 His descension will be in the last era of the Ummat.
3 He will be a just ruler and a fair judge.
4 His ummat will be the Khalifa (deputies) of Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam).
5 He will act himself and instruct others on the Qur'an and Hadith (Shariat/Tradition of Islam).
6 He will lead people in Salaat (Prayer).
7 He will stay on earth for a period of 40 years after descending. The will be the best era of the Ummat after the first era of Islam.
8 Allah will protect his companions from Jahannam.
9 Those who will save the Deen of Islam by associating themselves with Hadhrat Isa (A.S.) will be amongst the most loved by Allah Ta'ala.
10 During this period all other religions and mazhabs besides Islam will perish, hence there will be no kuffaars (non-believers) in the world.
11 Jihad will be stopped.
12 No Khiraaj will be taken.
13 Nor Jizya (protection tax) money from the kafirs (non-believers)
14 Wealth and property will be in surplus to such an extent that there will be no one to accept the wealth of the other (everyone will be independent).
15 Receiving Zakaat (Alms-giving, Charity to poor) and Saadaqa will be discarded (as there will be no poor to receive them!).
16 The people will love the sajda (prostration to God) more than the world and what it consists of.
17 All types of Deeni (religious) and worldly blessings will descend on earth (many halaal (lawful) things will be created).
18 There will be peace, harmony and tranquility during the time of Hadhrat Isa (A.S.)'s stay in the world.
19 There will be no animosity for a period of seven years, even between two persons.
20 All hearts will be free from miserliness, envy, hatred, malice and jealousy.
21 For a period of forty years no one will fall ill or die.
22 Venom will be taken out of all venomous animals.
23 Snakes and scorpions will not harm anyone to the extent that if a child put his hand in its mouth, he will not be harmed.
24 Will animals will not harm anyone.
25 If a man will pass a lion, he will not be troubled or harmed, or even if any girl will open its mouth to test if it will do anything.
26 The camels will graze among lions, cheetahs with cattle and the jackals with goats.
27 The fertility of the land will increase to such an extent that even if a seed is planted in a hard rock, it will sprout.
28 A pomegranate will be so huge that a jamaat will be able to eat it and the people will use its peel as shade.
29 There will be so much barakaat (blessing) in milk that a camel will suffice for a huge jamaat, a cow for a tribe and a goat for a family.
30 In short, life will be most pleasant after the descension of Jesus (A.S.).
His Marriage, Death and Deputies
After his descension on earth, Hadhrat Isa (A.S.) will marry. He will have children, and he will remain on earth 19 years after marriage. He will pass away and Muslims will perform his Janaza Salaat and bury him net to Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam). (Tirmidhi)
from: Hadhrat Esa (Alaihis Salaam): The Truth Revealed and Major Signs of Qiyamat by Mufti Afzal Hoosein Elias (May Allah reward him for his work in producing these kitaabs, aameen.) from the original (with references): "Aalalaat-e-Qiyyamat aur Nuzul-e-Eesa."
Muslims do believe that Isa (A.S.) was sent down as a Prophet of Allah (God), but he (Jesus) is not God or Lord, nor the son of God. Muslims do not believe that Isa (A.S.), also known as Jesus by Christians and others, is dead or was ever crucified. We believe that he was raised to heaven and is there, and will descend at the appointed time, end all wars, and bring peace to the world. Like Jesus (A.S.), Muhammad (Peace be upon him) is also a Prophet and Messenger. Muhammed (P.B.U.H.) is the last Prophet, though, and there is none after him. Hence, Islam is the last religion, complete, with the Holy Qur'an as the unchanged and perfect word of God for over 1400 years, as God promised to preserve it till the last day for all of humankind, unlike sacred texts of other religions which have mulitple versions and are "revised" periodically. God, or Allah in Arabic, is Divine and Supreme Being and Creator.
What the Holy Qur'an says about Jesus:
They slew him not, nor did they crucify him but it was made dubious to them. (Holy Qur'an, Surah Nisaa, Verse 157)
Hadhrat Isa (A.S.) himself told of the coming of Prophet Muhammad (Peace be upon him). In the Bible, Jesus (A.S.) says, If you love me, Keep my commandments. And I will pray to the Father and He shall give you another comforter that he may abide with you forever. (Bible, John 14-15/16)
But when the comforter is come, whom I will send unto you from the Father, even the spirit of Truth, which proceedeth from the Father, he shall testify of me, and he also shall bear witness, because ye have been with me from the beginning. (Bible, John 15-26/27)
I have yet many things to say unto you, but you cannot bear them now. How be it when he, the spirit of Truth will come, he will guide you into all truth, for he shall speak not of himself, but whatsoever he shall hear, that he shall speak, and he will show you things to come. He shall glorify me, for he shall receive of mine, and he shall show it unto you. (Bible, John 16-12/14)
Ulema (learned scholars in Islam) have said that the person who is described by Hadhrat Isa (A.S.) to come after him - in the above verse - does not comply with any other person but Prophet Muhammad (Peace be upon him).
In this case, the "comforter" he mentions is none other than Prophet Muhammad (Peace be upon him) and his laws and way of life (Shariah) and Book (Holy Qur'an) are those that Hadhrat Isa (A.S.) asks his followers to abide by.
The "person" whom Jesus (A.S.) prophecised will come after him, is called Pargaleeta in the Bible . This word was deleted by interpreters and translators and changed at times to "Spirit of Truth" and at other times, to "comforter" and sometimes "Holy Spirit." The original Greek and its meaning is "one whom people praise exceedingly." The sense of the word, then, is applicable to the word Muhammad in Arabic, since Muhammad means "the praised one." Jesus (A.S.) also says in the Bible, ... and a little while and you shall not see me; and again a little while, you shall see me because I go to the Father. (Bible, John 16:16) ... and the Holy Qur'an says, And surely they slew him not. But Allah (God) raised him unto Himself. (Holy Qur'an, Surah Nisaa, Verse 157-158)
As such, Muslims believe that Hadhrat Isa (A.S.) was raised to heaven. According to Hadith, he is on the second heaven. Rasulullah (Sallallaahu Alayhi Wasallam=Peace be upon him) mentioned, "During the Meraj (Ascension), I met Hadhrat Isa (A.S.) on the second heaven. I found him of medium stature, reddish white. His body was so clean and clear, that it appeared as though he had just performed ghusal (ablution, cleansing of the entire body) and come." In another Hadith, Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam) mentioned to the Jews that, " Hadhrat Isa (A.S.) is not dead, he will most surely return to you before Qiyamat (the Day of Judgement)."
May Allah Guide all people to the Truth. Aameen.
II. Hadhrat Isa's (A.S.) Descension The Physical Features of Hadhrat Isa (A.S.)
He will resemble the famous Sahabi (A.S.) Hadhrat Urwa bin Masoodi (R.A.). He will be of average height and red and white in colour. His hair spread to the shoulders, straight, neat and shining as after a bath. On bending his head, it will seem as if pearls are falling. He will have an armour on his body. He will be wearing two pieces of cloth light yellow in color.
His Descension
He will descend on a Jamaat (group) that will be righteous at the time and comprising of 800 men and 400 women. The people will be preparing for war at the time against Dajjal (the anti-Christ). It will be time for Fajr prayers, and Imam Mahdi will be the Amir (leader). From the darkness of the dawn, a sound will suddenly be heard that "one who listens to your pleas has come" -- the righteous people will look everywhere and their eyes will fall on Isa (A.S.). Briefly, at the time of Fajr, Isa (A.S.) will descend. When descending, Isa (A.S.)'s hands will be on the shoulders of two angels (according to another source (Kab Abrar), a cloud will carry him). On their insistence Hadhrat Isa will introduce himself. He will inquire about their enthusiasm and thoughts on Jihad against Dajjal. Hadhrat Isa (A.S.) will descend on the eastern side near the Minaret in Damascus (or in Baitul-Muqaddus by Imam Mahdi). At the time Imam Mahdi will have proceeded forward to lead the Fajr Salaat. The Iqamat of the Salaat would have been said (already recited) and Imam Mahdi will call Hadhrat Isa (A.S.) for Imamat (to lead the prayer), but he (Hadhrat Isa (A.S.)) will instead tell Imam Mahdi to lead the prayer since the Iqamat of that Salaat has already been said for him. Thus Imam Mahdi will lead the prayer, and Hadhrat Isa (A.S.) will follow him. After the ruku, he will make this statement: "Allah has killed Dajjal and the Muslims have appeared."
The Killing of Dajjal (anti-Christ) and the Victory of the Muslims
After the completion of Fajr Salaat (congregational dawn prayers), Hadhrat Isa (A.S.) will open the door behind him where Dajjal accompanied by 70,000 Yahudis (Jews) will be. He will indicate with his hand to move away between him (Hadhrat Isa (A.S.)) and Dajjal. Dajjal will then see Hadhrat Isa (A.S.). At that time every Kafir on whom the breath of Hadhrat Isa (A.S.) will reach, will die. His breath will reach up to the distance of his eyesight. The Muslims will then come down from the mountains and break loose on the army of Dajjal. There will be war, Dajjal will retreat, and Hadhrat Isa (A.S.) will pursue Dajjal. Hadhrat Isa (A.S.) will have two flexible swords and one shield with him and with these he will kill Dajjal at the Gate of Hudd. He willl show the Muslims the blood of Dajjal which will get on his shield. Eventually the Yahudis will be selected and killed. The swine will be killed and the cross broken. People will revert to Islam. Wars will end, and people will return to their respective countries. One Jamaat (group) of Muslims will remain in his service and companionship.
Hadhrat Isa (A.S.) will go to Fajr Rawha and perform Haj or Umrah (or both) from there. He will also go to the grave of Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam) and present his greetings and Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam) will reply. People will live comfortable lives. The wall of Yajooj and Majooj (Gog and Magog) will then break.
III. The Blessings of Hadhrat Isa (Jesus) (A.S.)
1 Hadhrat Isa (A.S.) will descend and stay on earth.
2 His descension will be in the last era of the Ummat.
3 He will be a just ruler and a fair judge.
4 His ummat will be the Khalifa (deputies) of Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam).
5 He will act himself and instruct others on the Qur'an and Hadith (Shariat/Tradition of Islam).
6 He will lead people in Salaat (Prayer).
7 He will stay on earth for a period of 40 years after descending. The will be the best era of the Ummat after the first era of Islam.
8 Allah will protect his companions from Jahannam.
9 Those who will save the Deen of Islam by associating themselves with Hadhrat Isa (A.S.) will be amongst the most loved by Allah Ta'ala.
10 During this period all other religions and mazhabs besides Islam will perish, hence there will be no kuffaars (non-believers) in the world.
11 Jihad will be stopped.
12 No Khiraaj will be taken.
13 Nor Jizya (protection tax) money from the kafirs (non-believers)
14 Wealth and property will be in surplus to such an extent that there will be no one to accept the wealth of the other (everyone will be independent).
15 Receiving Zakaat (Alms-giving, Charity to poor) and Saadaqa will be discarded (as there will be no poor to receive them!).
16 The people will love the sajda (prostration to God) more than the world and what it consists of.
17 All types of Deeni (religious) and worldly blessings will descend on earth (many halaal (lawful) things will be created).
18 There will be peace, harmony and tranquility during the time of Hadhrat Isa (A.S.)'s stay in the world.
19 There will be no animosity for a period of seven years, even between two persons.
20 All hearts will be free from miserliness, envy, hatred, malice and jealousy.
21 For a period of forty years no one will fall ill or die.
22 Venom will be taken out of all venomous animals.
23 Snakes and scorpions will not harm anyone to the extent that if a child put his hand in its mouth, he will not be harmed.
24 Will animals will not harm anyone.
25 If a man will pass a lion, he will not be troubled or harmed, or even if any girl will open its mouth to test if it will do anything.
26 The camels will graze among lions, cheetahs with cattle and the jackals with goats.
27 The fertility of the land will increase to such an extent that even if a seed is planted in a hard rock, it will sprout.
28 A pomegranate will be so huge that a jamaat will be able to eat it and the people will use its peel as shade.
29 There will be so much barakaat (blessing) in milk that a camel will suffice for a huge jamaat, a cow for a tribe and a goat for a family.
30 In short, life will be most pleasant after the descension of Jesus (A.S.).
His Marriage, Death and Deputies
After his descension on earth, Hadhrat Isa (A.S.) will marry. He will have children, and he will remain on earth 19 years after marriage. He will pass away and Muslims will perform his Janaza Salaat and bury him net to Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam). (Tirmidhi)
from: Hadhrat Esa (Alaihis Salaam): The Truth Revealed and Major Signs of Qiyamat by Mufti Afzal Hoosein Elias (May Allah reward him for his work in producing these kitaabs, aameen.) from the original (with references): "Aalalaat-e-Qiyyamat aur Nuzul-e-Eesa."
Monday, December 19
Uchumi wa Taifa hatarini: Mfumuko wa Bei tishio kwa Serikali, Wafanyabishara na Wananchi. by zittokabwe
Uchumi wa Taifa hatarini: Mfumuko wa Bei tishio kwa Serikali, Wafanyabishara na Wananchi.
Mfumuko wa Bei umezidi kuongezeka kama taarifa ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu inavyoonesha kwamba, wakati mfumuko wa bei mwezi Julai mwaka huu (Bajeti ya mwaka wa Fedha 2011/2012 ilipokuwa inaanza) ulikuwa asilimia 13, umefikia asilimia 19.2 mwezi Novemba. Hii maana yake ni kwamba, Bajeti ya Serikali iliyopitishwa na Bunge mwezi Juni 2011, imepunguza uwezo wa kununua bidhaa na huduma kwa takribani asilimia 6. Hii ni sawa na shilingi 780 bilioni kuyeyuka katika Bajeti katika kipindi cha miezi Minne tu ya utekelezaji wa wake. Kutokana na kasi ya ukuaji wa Mfumuko wa Bei ni dhahiri kwamba, itakapofika mwisho wa mwaka wa Bajeti Serikali itakuwa imepoteza kwa kiasi kikubwa uwezo wa kununua bidhaa na huduma kwa zaidi ya robo ya Bajeti yake.
Hali ni mbaya zaidi kwa wananchi kwani Mfumuko wa Bei za vyakula umekua kwa kasi kikubwa mno. Ofisi ya Takwimu imeonesha kuwa wakati mfumuko wa Bei za vyakula ulikuwa asilimia 14.8 mwezi Julai, umefikia asilimia 24.7 mwezi Novemba 2011. Ukilinganisha na bei za vyakula mwaka 2010, mwananchi amepoteza uwezo wa kununua chakula kwa zaidi ya robo katika ya Novemba 2010 na Novemba 2011. Jumla ya vyakula ambavyo mwananchi alinunua kwa shilingi 10,000 mwaka 2010, sasa atanunua kiwango kile kile kwa shilingi 12,500. Bei za vyakula zimeongezeka kwa kiwango hiki ilhali kipato cha mwananchi aghalabu kipo pale pale. Mwathirika mkubwa ni mwananchi wa kawaida wa kijijini ambaye mapato yake ni kidogo na hivyo sehemu kubwa huyatumia kununua chakula.
Ukiangalia kwa undani utakuta mfumuko wa bei wa bidhaa kama mchele, sukari, nyama na samaki umekua maradufu. Bei ya mchele imekua kwa asilimia 50, sukari asilimia 50, nyama asilimia 30 na Samaki kwa takribani asilimia 40. Bidhaa hizi zote ni muhimu sana kwa afya ya binadaamu na hasa watoto kwa upande wa vyakula vya protini. Tusipokuwa makini na kupata majibu sahihi ya tatizo la mfumuko wa bei za vyakula, wananchi wengi na hasa watoto watapata utapiamlo na Taifa kuingia gharama kubwa katika kuwapatia huduma ya afya.
Kwa upande wa bidhaa zisizo za vyakula, mfumuko wa bei wa mafuta ya taa na gesi asilia unapaa kwa kasi kama moto wa nyikani. Wakati mafuta ya taa yamepanda bei kwa asilimia 71 katika ya mwezi Novemba mwaka 2010 na mwezi Novemba 2011, bei ya gesi asilia imepanda kwa asilimia 35. Madhara ya hali hii ni makubwa mno maana wananchi watakimbilia kwenye matumizi ya mkaa na kuni, hata hivyo bei za mkaa zenyewe zimepanda kwa asilimia 24. Kwa hali hii, na kutokana na ukweli kwamba wananchi wengi wa Tanzania wapo kwenye mpaka wa umasikini na daraja la kati chini, juhudi za muongo mzima za kupunguza umasikini zitafutwa ndani ya mwaka mmoja tu.
Mfumuko wa Bei unasukuma Watanzania wengi zaidi kwenye dimbwi la umasikini, unapunguza uwezo wa Serikali kutoa huduma za jamii kupitia Bajeti na hata kutimiza mipango ya miradi ya maendeleo kama miundombinu ya barabara, umeme, bomba la gesi, madaraja nk. Mkakati mahususi unatakiwa kubadili hali hii. Hatua zifuatazo zinapendekezwa ili kuuhami uchumi na kupunguza upandaji wa kasi wa gharama za maisha.
1. Kuongeza uzalishaji wa chakula kwa kuweka mbinu za kukuza uchumi wa vijijini ni njia mojawapo endelevu ya kupunguza mfumuko wa Bei hapa nchini. Serikali sasa iache maneno matupu kuhusu sekta ya uchumi vijijini kwa kuelekeza nguvu nyingi huko. Serikali iruhusu na ivutie kwa kasi na kutoa vivutio kwa wazalishaji binafsi wa Sukari na mpunga katika mabonde makubwa. Waziri wa Kilimo na Maafisa wake watoke Ofisini na kuhimiza uzalishaji mashambani, fedha zielekezwe kujenga miundombinu ya barabara vijijini. Vyakula vilivyolundikana mikoa ya Mbeya, Iringa na Rukwa ambapo Serikali iliahidi kununua na kutotimiza ahadi yake vinunuliwe mara moja na kusambazwa mikoa yenye shida ya chakula kama Mwanza, Mara, Kagera na mikoa ya Kaskazini. Chakula kukuta msimu mwingine katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni kashfa kubwa kwa Serikali na inaonesha Serikali isivyokuwa makini na maisha ya wananchi. Wakati huu ambapo tunaweka mikakati ya kuongeza uzalishaji wa chakula, Serikali inunue chakula cha kutosha na hasa mchele na sukari kutoka nje na kukisambaza kwenye soko ili kupunguza upungufu wa bidhaa (scarcity) katika masoko. Mfumo uliotumika kununua Sukari tani laki moja hivi karibuni usitumike tena kwani ulizaa rushwa ya hatari na ufisadi ambao haujaripotiwa kwenye kutoa vibali. Wizara ya Kilimo iruhusu wauzaji kutoka nje walete sukari nchini moja kwa moja na kununuliwa na Bodi ya Sukari kisha kuiuza kwa wauzaji wa Jumla. Mfumo wa kutoa vibali umeonesha kutokuwa na tija na kwa kweli kunufaisha maafisa wachache wa Wizara ya Kilimo na Bodi ya Sukari.
2. Kitengenezwe kiwanda cha kutengeneza gesi ya matumizi nyumbani (LPG extraction plant) kwa haraka ili kupunguza bei ya gesi, kuepuka kuagiza gesi kutoka nje na hivyo kuokoa fedha za kigeni na kutengeneza ajira hapa nchini. Kupanda kwa bei ya gesi asilia kunatokana na kwamba Tanzania inaagiza gesi hii yote kutoka nje ilhali malighafi ya kutengeneza gesi ipo hapa Tanzania na kwa kweli huchomwa moto (flared). Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini liingie ubia na kampuni Binafsi ili kuwekeza katika kiwanda cha kuzalisha gesi hatimaye kushusha bei na hivyo kuwezesha wananchi wengi zaidi kutumia gesi kwa matumizi ya kupikia n.k, hivyo kutunza mazingira.
3. Ushuru wote unaokusanywa kwenye Mafuta ya Taa upelekwe Wakala wa Nishati Vijijini ili kufidia kupanda kwa bei ya mafuta ya Taa. Mfumuko wa Bei katika bidhaa ya mafuta ya taa unatokana na uamuzi wa kuwianisha bei ya mafuta ya taa na diseli ili kuondoa tatizo la uchakachuaji wa mafuta. Tatizo limeondoka (au hatulisikii tena) lakini wananchi wanaumia sana. Uamuzi sahihi wa kisera ni kupanua huduma za umeme vijijini kwa kuipa fedha zinazotokana na ushuru wa mafuta ya taa Wakala wa Umeme Vijijini. Usambazaji wa Umeme Vijijini utaongeza shughuli za kiuchumi vijijini, kukuza uchumi wa vijijini, kuongeza mapato ya wananchi kwa kuongeza thamani za mazao yao na hivyo kupunguza athari za mfumuko wa bei.
4. Sera ya Matumizi ya Serikali iangaliwe upya kwa kupunguza kwa kiasi kikubwa matumizi yasiyo ya lazima, na kuelekeza fedha nyingi zaidi katika uwekezaji umma (public investments). Matumizi Mengineyo ya Serikali yanaongeza fedha kwenye mzunguko ama kwa kulipa watu wachache stahili mbalimbali kama posho n.k au kwa kununua bidhaa na huduma bila mpango, na hivyo kusukuma bei kuwa juu kinyume na uhalisia wa soko. Tafiti za mfumuko wa Bei Tanzania zinaonyesha kwamba sera za fedha na zile za matumizi (monetary and fiscal policy) zina nafasi kubwa katika kukuza mfumuko wa bei. Hivi sasa nakisi ya Bajeti inayopelekea Serikali kukopa kwa kwa kiwango kubwa inapandisha gharama za viwanda kukopa mitaji ya muda mfupi na hivyo kuongeza gharama za uzalishaji na kasha bei za bidhaa. Wizara ya Fedha ambayo mpaka sasa imekaa kama imeishiwa namna ya kufanya, inapaswa kuamka na kutoa maelekezo mapya kwa Wizara, Idara na Wakala za Serikali kuhusu namna ya kubana matumizi na kuziba mianya yote ya kukwepa kodi.
Hitimisho
Serikali imeonesha udhaifu mkubwa sana katika kusimamia uchumi katika nusu ya kwanza ya Bajeti ya mwaka 2011/2012 ambayo pia ni Bajeti ya kwanza ya kipindi cha pili cha Serikali ya awamu wa Nne. Kuna hatari ya dhahiri kwamba ifikapo mwezi Januari 2012 tutakuwa tumerejea mfumuko wa Bei wa kiwango cha mwaka 1992 (21.9%). Tusipochukua hatua za haraka tutafikia na hata kuzidi mfumuko wa Bei kiwango cha juu kabisa ambacho kilifikiwa mwaka 1994 (33%) na hivyo viwanda kushindwa kukopa kwenye Mabenki kwa mahitaji yao ya haraka ya mitaji ya muda mfupi, wazalishaji wadogo kushindwa kulipa mikopo yao kwenye Taasisi za fedha na hivyo kufunga uzalishaji, Shirika la Umeme kushindwa kabisa kulipa gharama za mafuta ya kuendesha mitambo na kipato cha mwananchi kutomudu gharama za za kila siku. Uchumi utadorora kabisa. Taifa litakuwa hatarini.
Wizara ya Fedha, Benki Kuu ya Tanzania na Wizara ya Kilimo na Chakula iamke kuhami uchumi dhidi ya adui namba moja, Mfumuko wa Bei. Huu sio wakati wa kupiga porojo, viongozi wafanye kazi zao, Wananchi wajitume.
Inabidi sasa turejee kauli mbiu za miaka 50 iliyopita za Uhuru ni Kazi. Tuseme Demokrasia ni Kazi. Demokrasia sio lelemama.
Ndg. Kabwe Zuberi Zitto,
Mb Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Waziri Kivuli Fedha na Uchumi
18 Disemba 2011
Mfumuko wa Bei umezidi kuongezeka kama taarifa ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu inavyoonesha kwamba, wakati mfumuko wa bei mwezi Julai mwaka huu (Bajeti ya mwaka wa Fedha 2011/2012 ilipokuwa inaanza) ulikuwa asilimia 13, umefikia asilimia 19.2 mwezi Novemba. Hii maana yake ni kwamba, Bajeti ya Serikali iliyopitishwa na Bunge mwezi Juni 2011, imepunguza uwezo wa kununua bidhaa na huduma kwa takribani asilimia 6. Hii ni sawa na shilingi 780 bilioni kuyeyuka katika Bajeti katika kipindi cha miezi Minne tu ya utekelezaji wa wake. Kutokana na kasi ya ukuaji wa Mfumuko wa Bei ni dhahiri kwamba, itakapofika mwisho wa mwaka wa Bajeti Serikali itakuwa imepoteza kwa kiasi kikubwa uwezo wa kununua bidhaa na huduma kwa zaidi ya robo ya Bajeti yake.
Hali ni mbaya zaidi kwa wananchi kwani Mfumuko wa Bei za vyakula umekua kwa kasi kikubwa mno. Ofisi ya Takwimu imeonesha kuwa wakati mfumuko wa Bei za vyakula ulikuwa asilimia 14.8 mwezi Julai, umefikia asilimia 24.7 mwezi Novemba 2011. Ukilinganisha na bei za vyakula mwaka 2010, mwananchi amepoteza uwezo wa kununua chakula kwa zaidi ya robo katika ya Novemba 2010 na Novemba 2011. Jumla ya vyakula ambavyo mwananchi alinunua kwa shilingi 10,000 mwaka 2010, sasa atanunua kiwango kile kile kwa shilingi 12,500. Bei za vyakula zimeongezeka kwa kiwango hiki ilhali kipato cha mwananchi aghalabu kipo pale pale. Mwathirika mkubwa ni mwananchi wa kawaida wa kijijini ambaye mapato yake ni kidogo na hivyo sehemu kubwa huyatumia kununua chakula.
Ukiangalia kwa undani utakuta mfumuko wa bei wa bidhaa kama mchele, sukari, nyama na samaki umekua maradufu. Bei ya mchele imekua kwa asilimia 50, sukari asilimia 50, nyama asilimia 30 na Samaki kwa takribani asilimia 40. Bidhaa hizi zote ni muhimu sana kwa afya ya binadaamu na hasa watoto kwa upande wa vyakula vya protini. Tusipokuwa makini na kupata majibu sahihi ya tatizo la mfumuko wa bei za vyakula, wananchi wengi na hasa watoto watapata utapiamlo na Taifa kuingia gharama kubwa katika kuwapatia huduma ya afya.
Kwa upande wa bidhaa zisizo za vyakula, mfumuko wa bei wa mafuta ya taa na gesi asilia unapaa kwa kasi kama moto wa nyikani. Wakati mafuta ya taa yamepanda bei kwa asilimia 71 katika ya mwezi Novemba mwaka 2010 na mwezi Novemba 2011, bei ya gesi asilia imepanda kwa asilimia 35. Madhara ya hali hii ni makubwa mno maana wananchi watakimbilia kwenye matumizi ya mkaa na kuni, hata hivyo bei za mkaa zenyewe zimepanda kwa asilimia 24. Kwa hali hii, na kutokana na ukweli kwamba wananchi wengi wa Tanzania wapo kwenye mpaka wa umasikini na daraja la kati chini, juhudi za muongo mzima za kupunguza umasikini zitafutwa ndani ya mwaka mmoja tu.
Mfumuko wa Bei unasukuma Watanzania wengi zaidi kwenye dimbwi la umasikini, unapunguza uwezo wa Serikali kutoa huduma za jamii kupitia Bajeti na hata kutimiza mipango ya miradi ya maendeleo kama miundombinu ya barabara, umeme, bomba la gesi, madaraja nk. Mkakati mahususi unatakiwa kubadili hali hii. Hatua zifuatazo zinapendekezwa ili kuuhami uchumi na kupunguza upandaji wa kasi wa gharama za maisha.
1. Kuongeza uzalishaji wa chakula kwa kuweka mbinu za kukuza uchumi wa vijijini ni njia mojawapo endelevu ya kupunguza mfumuko wa Bei hapa nchini. Serikali sasa iache maneno matupu kuhusu sekta ya uchumi vijijini kwa kuelekeza nguvu nyingi huko. Serikali iruhusu na ivutie kwa kasi na kutoa vivutio kwa wazalishaji binafsi wa Sukari na mpunga katika mabonde makubwa. Waziri wa Kilimo na Maafisa wake watoke Ofisini na kuhimiza uzalishaji mashambani, fedha zielekezwe kujenga miundombinu ya barabara vijijini. Vyakula vilivyolundikana mikoa ya Mbeya, Iringa na Rukwa ambapo Serikali iliahidi kununua na kutotimiza ahadi yake vinunuliwe mara moja na kusambazwa mikoa yenye shida ya chakula kama Mwanza, Mara, Kagera na mikoa ya Kaskazini. Chakula kukuta msimu mwingine katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni kashfa kubwa kwa Serikali na inaonesha Serikali isivyokuwa makini na maisha ya wananchi. Wakati huu ambapo tunaweka mikakati ya kuongeza uzalishaji wa chakula, Serikali inunue chakula cha kutosha na hasa mchele na sukari kutoka nje na kukisambaza kwenye soko ili kupunguza upungufu wa bidhaa (scarcity) katika masoko. Mfumo uliotumika kununua Sukari tani laki moja hivi karibuni usitumike tena kwani ulizaa rushwa ya hatari na ufisadi ambao haujaripotiwa kwenye kutoa vibali. Wizara ya Kilimo iruhusu wauzaji kutoka nje walete sukari nchini moja kwa moja na kununuliwa na Bodi ya Sukari kisha kuiuza kwa wauzaji wa Jumla. Mfumo wa kutoa vibali umeonesha kutokuwa na tija na kwa kweli kunufaisha maafisa wachache wa Wizara ya Kilimo na Bodi ya Sukari.
2. Kitengenezwe kiwanda cha kutengeneza gesi ya matumizi nyumbani (LPG extraction plant) kwa haraka ili kupunguza bei ya gesi, kuepuka kuagiza gesi kutoka nje na hivyo kuokoa fedha za kigeni na kutengeneza ajira hapa nchini. Kupanda kwa bei ya gesi asilia kunatokana na kwamba Tanzania inaagiza gesi hii yote kutoka nje ilhali malighafi ya kutengeneza gesi ipo hapa Tanzania na kwa kweli huchomwa moto (flared). Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini liingie ubia na kampuni Binafsi ili kuwekeza katika kiwanda cha kuzalisha gesi hatimaye kushusha bei na hivyo kuwezesha wananchi wengi zaidi kutumia gesi kwa matumizi ya kupikia n.k, hivyo kutunza mazingira.
3. Ushuru wote unaokusanywa kwenye Mafuta ya Taa upelekwe Wakala wa Nishati Vijijini ili kufidia kupanda kwa bei ya mafuta ya Taa. Mfumuko wa Bei katika bidhaa ya mafuta ya taa unatokana na uamuzi wa kuwianisha bei ya mafuta ya taa na diseli ili kuondoa tatizo la uchakachuaji wa mafuta. Tatizo limeondoka (au hatulisikii tena) lakini wananchi wanaumia sana. Uamuzi sahihi wa kisera ni kupanua huduma za umeme vijijini kwa kuipa fedha zinazotokana na ushuru wa mafuta ya taa Wakala wa Umeme Vijijini. Usambazaji wa Umeme Vijijini utaongeza shughuli za kiuchumi vijijini, kukuza uchumi wa vijijini, kuongeza mapato ya wananchi kwa kuongeza thamani za mazao yao na hivyo kupunguza athari za mfumuko wa bei.
4. Sera ya Matumizi ya Serikali iangaliwe upya kwa kupunguza kwa kiasi kikubwa matumizi yasiyo ya lazima, na kuelekeza fedha nyingi zaidi katika uwekezaji umma (public investments). Matumizi Mengineyo ya Serikali yanaongeza fedha kwenye mzunguko ama kwa kulipa watu wachache stahili mbalimbali kama posho n.k au kwa kununua bidhaa na huduma bila mpango, na hivyo kusukuma bei kuwa juu kinyume na uhalisia wa soko. Tafiti za mfumuko wa Bei Tanzania zinaonyesha kwamba sera za fedha na zile za matumizi (monetary and fiscal policy) zina nafasi kubwa katika kukuza mfumuko wa bei. Hivi sasa nakisi ya Bajeti inayopelekea Serikali kukopa kwa kwa kiwango kubwa inapandisha gharama za viwanda kukopa mitaji ya muda mfupi na hivyo kuongeza gharama za uzalishaji na kasha bei za bidhaa. Wizara ya Fedha ambayo mpaka sasa imekaa kama imeishiwa namna ya kufanya, inapaswa kuamka na kutoa maelekezo mapya kwa Wizara, Idara na Wakala za Serikali kuhusu namna ya kubana matumizi na kuziba mianya yote ya kukwepa kodi.
Hitimisho
Serikali imeonesha udhaifu mkubwa sana katika kusimamia uchumi katika nusu ya kwanza ya Bajeti ya mwaka 2011/2012 ambayo pia ni Bajeti ya kwanza ya kipindi cha pili cha Serikali ya awamu wa Nne. Kuna hatari ya dhahiri kwamba ifikapo mwezi Januari 2012 tutakuwa tumerejea mfumuko wa Bei wa kiwango cha mwaka 1992 (21.9%). Tusipochukua hatua za haraka tutafikia na hata kuzidi mfumuko wa Bei kiwango cha juu kabisa ambacho kilifikiwa mwaka 1994 (33%) na hivyo viwanda kushindwa kukopa kwenye Mabenki kwa mahitaji yao ya haraka ya mitaji ya muda mfupi, wazalishaji wadogo kushindwa kulipa mikopo yao kwenye Taasisi za fedha na hivyo kufunga uzalishaji, Shirika la Umeme kushindwa kabisa kulipa gharama za mafuta ya kuendesha mitambo na kipato cha mwananchi kutomudu gharama za za kila siku. Uchumi utadorora kabisa. Taifa litakuwa hatarini.
Wizara ya Fedha, Benki Kuu ya Tanzania na Wizara ya Kilimo na Chakula iamke kuhami uchumi dhidi ya adui namba moja, Mfumuko wa Bei. Huu sio wakati wa kupiga porojo, viongozi wafanye kazi zao, Wananchi wajitume.
Inabidi sasa turejee kauli mbiu za miaka 50 iliyopita za Uhuru ni Kazi. Tuseme Demokrasia ni Kazi. Demokrasia sio lelemama.
Ndg. Kabwe Zuberi Zitto,
Mb Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Waziri Kivuli Fedha na Uchumi
18 Disemba 2011
Saturday, December 17
SUALA LA POSHO ZA VIKAO: WAZIRI MKUU-ANAPASWA KUCHUKUA HATUA MBILI, AFUKUZWE AU AJIUZULU! - zittokabwe.wordpress.com
Kwanza nasikitika kuwa Waziri Mkuu amerejesha suala la posho za vikao kwenye mjadala ilhali lilimalizwa baada ya Bungekupitisha Mpango wa maendeleo wa miaka 5. Kitendo cha Waziri Mkuu kulilia posho kinaonyesha jinsi asivyo tayari kusimamia na kutetea sera za serikali anayoongozwa. Anapaswa kuchukua hatua mbili, ama afukuzwe kazi kwa kwenda kinyume na maamuzi ya kisera ya serikali yaliyopitishwa na baraza la mawaziri na Bunge, au ajiuzulu. Hatuwezi kuvumilia viongozi wanaokwenda kinyume na sera za serikali.
Msimamo wangu: Kupandisha posho za wabunge ni ukichaa na kutojali Hali ya Nchi - MH. ZITTO KABWE
Nimeshtushwa sana na taarifa za kupandishwa kwa posho za vikao kwa Wabunge. Nimeshtushwa zaidi kwamba Posho hizi zimeanza kulipwa katika mkutano wa Bunge uliopita kabla hata Rais hajaamua maana maslahi yote ya Wabunge huamuliwa na Rais Baada ya kupokea mapendekezo ya Bunge kupitia Tume ya Bunge.
Wabunge wote watambue kwamba kuamua kujipandishia posho zao bila kuzingatia Hali ya maisha ya mwananchi wa kawaida ni usaliti usio na mfano. Mbunge yeyote ambaye anabariki Jambo hili au anaishi hewani haoni tabunza wananchi au ni mwizi tu na anaona Ubunge ni Kama nafasi ya kujitajirisha binafsi.
Kwa Wabunge wa Chadema, wajue uamuzi kuhusu posho ni uamuzi wa chama na ni uamuzi wa kisera. Mbunge yeyote wa Chadema anayepokea posho za vikao anakwenda kinyume na maamuzi ya sera za chama tulizoahidi wananchi wakati wa uchaguzi. Nimemwomba Katibu Mkuu wa chama kuitisha kikao maalumu cha Kamati Kuu ya chama kujadili suala hili.
Toka tarehe 8 juni mwaka 2011 nilikataa kupokea posho za vikao. Popote ninapohudhuria vikao huomba Risiti ya fedha ninazokataa. Baadhi ya Wabunge Kama Januari Makamba wamekataa posho na hata kwenye semina ya kamati ya nishati alikataa na tumeona kwenye vyombo vya habari jina lake likiwa limekatwa ilhali viongozi wakubwa kabisa wamechukua posho. Nampongeza kijana mwenzangu kwa uzalendo huu. Nawataka wabunge wengine wenye Moyo wa dhati kukataa sio tu ongezeko hili la posho Bali posho yote ya vikao. Kwa nini mbunge akubali kulipwa kwa kukaa?
Tazama nchi hii, juzi serikali ilipokea Msaada wa tshs 20bn kwa ajili ya Sensa ya mwakani wakati wabunge wanalipwa 28bn Kama posho za kukaa tu.
Tanzania inaagiza gesi ya matumizi ya nyumbani kutoka nje kwa kutumia mamilioni ya dola za kimarekani. Kuwanda cha kutengeneza LPG kinagharimu tshs 35bn tu, Wabunge peek Yao kwa mwaka wanatumia 28bn kwa posho za kukaa tu achilia mbali mishahara na marupurupu mengine.
Ipo siku Watanzania watatupiga mawe kwa usaliti huu dhidi yao.
Wabunge wote watambue kwamba kuamua kujipandishia posho zao bila kuzingatia Hali ya maisha ya mwananchi wa kawaida ni usaliti usio na mfano. Mbunge yeyote ambaye anabariki Jambo hili au anaishi hewani haoni tabunza wananchi au ni mwizi tu na anaona Ubunge ni Kama nafasi ya kujitajirisha binafsi.
Kwa Wabunge wa Chadema, wajue uamuzi kuhusu posho ni uamuzi wa chama na ni uamuzi wa kisera. Mbunge yeyote wa Chadema anayepokea posho za vikao anakwenda kinyume na maamuzi ya sera za chama tulizoahidi wananchi wakati wa uchaguzi. Nimemwomba Katibu Mkuu wa chama kuitisha kikao maalumu cha Kamati Kuu ya chama kujadili suala hili.
Toka tarehe 8 juni mwaka 2011 nilikataa kupokea posho za vikao. Popote ninapohudhuria vikao huomba Risiti ya fedha ninazokataa. Baadhi ya Wabunge Kama Januari Makamba wamekataa posho na hata kwenye semina ya kamati ya nishati alikataa na tumeona kwenye vyombo vya habari jina lake likiwa limekatwa ilhali viongozi wakubwa kabisa wamechukua posho. Nampongeza kijana mwenzangu kwa uzalendo huu. Nawataka wabunge wengine wenye Moyo wa dhati kukataa sio tu ongezeko hili la posho Bali posho yote ya vikao. Kwa nini mbunge akubali kulipwa kwa kukaa?
Tazama nchi hii, juzi serikali ilipokea Msaada wa tshs 20bn kwa ajili ya Sensa ya mwakani wakati wabunge wanalipwa 28bn Kama posho za kukaa tu.
Tanzania inaagiza gesi ya matumizi ya nyumbani kutoka nje kwa kutumia mamilioni ya dola za kimarekani. Kuwanda cha kutengeneza LPG kinagharimu tshs 35bn tu, Wabunge peek Yao kwa mwaka wanatumia 28bn kwa posho za kukaa tu achilia mbali mishahara na marupurupu mengine.
Ipo siku Watanzania watatupiga mawe kwa usaliti huu dhidi yao.
Friday, December 16
How to Kill a Relationship
Of course I am not suggesting that you have to break your relationship but if you wan to these are the best tips to go about your business. But if you want your relationship to last never and I mean never ever do one of these.
Unforgiveness: Never, ever forgive your partner for any wrongs. Forgiveness means that they might do it again. Make sure to constantly remind them of their mistake over and over again. You should also exaggerate their wrongs and tell everyone you know. If they make no mistakes, just invent some. I'm sure if you look long and hard you can surely twist something they do around to make it look wrong.
Infidelity: Yes, that other person is hot. Go after them; after all, your partner will never know and what they don't know can't hurt them, right? And it's great for your ego, too.
Be Over Possessive: In fact, go ahead and lift your leg on your partner to mark your territory; this is completely acceptable. Your partner is your property and never let them forget this.
Never Spend Time With Them: Work three jobs, volunteer all remaining time to any local charity, golf course, obsessive hobby, your buddies at the local bar, or helping strangers move.
Don't Take Things Slowly: They might get away. Go after them fast and furious. Propose on the second date (but never go through with it, of course).
Don't Show Any Affection or That You Care: If you do, then they will expect this all the time. It will also make you look weak.
Be Abusive: Show them who the boss is. Helps to make them want to stay with you. Be a constant control freak. Watch their every move and always control their independence. Be powerful and dominating and always devise ways to lessen, control, or curtail their rights and freedoms, and make them feel grateful for being with you. No matter how cruel or savage you have to get, you will hold the power and be the master in the end.
Insult Their Family: Their family sucks, after all, so why not tell this to them all the time.
Be needy, clingy, emotional, insecure, caging them in and wanting to be with them 24/7: Oh, it's simply so frustrating to be with someone who has a life outside of you!
Be Ambiguous: Never either get in the relationship completely or get out completely; there really is such a thing as a partial commitment. Relationships can succeed with ambiguity.
Use Blaming, Shaming, Interrogation, Intimidation and Threats: I mean, how else are you supposed to control them? This way you can be a partner that doesn't have to take personal responsibility and are often unable to control your emotions or behaviors but still get away with it.
Tell Them Repeatedly That Everything is Their Fault: Why should you be blamed for their inability to withstand constant criticism and your undying unfaithfulness.
Believe in ESP: This way they should just know how you feel, what you want, and hear your unspoken concerns.
Don't Ever Change Your Bad Behavior: Otherwise, your relationship may begin to feel balanced and your partner will not be able to have feelings of contempt. The only thing equal in your relationship should be that you both agree equally that you are the boss and hold all the power. Close yourself to the possibility of growth.
Always Display a Sense of Entitlement: After all, you are their be-all.
Show Lots of Judgment: This makes them want to change for the better. Lie: They don't have to know everything about you.
Put the Moves on Their Best Friend: It does take at least three to get a good party going.
Arm Yourself With an Emotional Weaponry: Remember that all relationships are 'war' and, therefore, our partners are the 'evil enemy'. Never be on their side - or they might WIN, and since all relationships are of a 'win-lose' nature that means that you would LOSE - LOSE yourself, that is. Your superior, elitist attitude and blatant despoilment for your inferior partner would be the best choice for a weapon of mass destruction, effectively destroying the entire relationship.
Always Point the Finger: The fault is always in the other. Never you.
Be rigid: remain set in your beliefs. Take Your Partner for Granted: It is their job to always be there for you. Make Them Appreciate You: Demand that you never be taken for granted. It's not your job to always be there for them.
You've Already Made Your Good Impression: You don’t have to impress them anymore. Lay off the charm and respect. Let your good hygiene go. Stop complimenting them, or being polite. Save your good impression for total strangers. And remember, love means never having to say you're sorry.
Make Sex a Chore: Same time, same day, same way. This way there are no surprises. Better yet, simply remove sex from your life all together. Who needs to have to actually move if you don't really have to.
Put Up a Protective Wall: They don't need connection. If they can't sit in a silent and lonely rage them tell them to talk to their friends, family, coworkers, or clergyman. It's not your job to give their life meaning.
Never Do Anything as a Couple: Once you do, you will hear about it all the time! They may even expect you to do it again.
Always Go to Bed Mad: Never really resolve any of your conflicts. This way they can keep nagging and rehashing the same thing over and over again ... this will validate and confirm your belief that they really are nuts.
Their Minor Slip-Ups Should Be Punished: Use lots of silent treatment, contemptuous looks, and lots of self-denial. Remember it is their job to always agree with you and to always see things your way. It is not your job to forgive them or to see their point of view.
Never Show Your Real Self: Your thoughts and feelings should remain private. Never let down your guard or open your heart. Always wear a poker face.
Always Be on the Defense: After all, if you are always right then you shouldn't ever be questioned about anything you may say or do.
Routine is Grounding: Never shake it up or differ from the ordinary day-to-day. Never try anything new. Never surprise each other.
Let Your Looks Go: Now that you bagged them you shouldn't have to show them how good you look anymore. They already know how good you can look, right? Why do you have to remind them constantly? Never dress up for them, and quit grooming yourself so much. You can relax now that you have them, so go ahead and let yourself go in terms of your weight, your physique, your figure, your hair, etc. Once again, this doesn't apply to total strangers.
Always Remain Stoic: Never laugh out loud or joke around with each other. Try not to show any humor. A relationship is a serious thing and there should be no room in it for such frivolity.
Love is for Sissy: All good feelings must be explained away first, or denied if an explanation can't be found. Remember, love is the enemy.
Always Be Critical and Condescending: This makes you look good and shows your partner that you are better than him/her in most things. Always point out their mistakes no matter how trivial they are. Do not support them in any of their aspirations or accomplishments. Make Up Mean Stuff About Them and Then
Cut Them Down to Mutual Friends: This makes you come out looking good, and like the poor mistreated victim. Which you are.
Be Disinterested: Otherwise it won't all be about you! Negligence is the key. In fact, why not... ....
Be Emotionally Absent: That's right, abdicate! Even if you don't leave your relationship in a physical sense you can still “move on” in a mental-emotional-spiritual sense. I mean, they still have your presence there, right? What more could they want!?
Do these things above and you should have your partner scrambling out of the relationship in no time flat. But avoiding them will make him / her be very much close to you.
Unforgiveness: Never, ever forgive your partner for any wrongs. Forgiveness means that they might do it again. Make sure to constantly remind them of their mistake over and over again. You should also exaggerate their wrongs and tell everyone you know. If they make no mistakes, just invent some. I'm sure if you look long and hard you can surely twist something they do around to make it look wrong.
Infidelity: Yes, that other person is hot. Go after them; after all, your partner will never know and what they don't know can't hurt them, right? And it's great for your ego, too.
Be Over Possessive: In fact, go ahead and lift your leg on your partner to mark your territory; this is completely acceptable. Your partner is your property and never let them forget this.
Never Spend Time With Them: Work three jobs, volunteer all remaining time to any local charity, golf course, obsessive hobby, your buddies at the local bar, or helping strangers move.
Don't Take Things Slowly: They might get away. Go after them fast and furious. Propose on the second date (but never go through with it, of course).
Don't Show Any Affection or That You Care: If you do, then they will expect this all the time. It will also make you look weak.
Be Abusive: Show them who the boss is. Helps to make them want to stay with you. Be a constant control freak. Watch their every move and always control their independence. Be powerful and dominating and always devise ways to lessen, control, or curtail their rights and freedoms, and make them feel grateful for being with you. No matter how cruel or savage you have to get, you will hold the power and be the master in the end.
Insult Their Family: Their family sucks, after all, so why not tell this to them all the time.
Be needy, clingy, emotional, insecure, caging them in and wanting to be with them 24/7: Oh, it's simply so frustrating to be with someone who has a life outside of you!
Be Ambiguous: Never either get in the relationship completely or get out completely; there really is such a thing as a partial commitment. Relationships can succeed with ambiguity.
Use Blaming, Shaming, Interrogation, Intimidation and Threats: I mean, how else are you supposed to control them? This way you can be a partner that doesn't have to take personal responsibility and are often unable to control your emotions or behaviors but still get away with it.
Tell Them Repeatedly That Everything is Their Fault: Why should you be blamed for their inability to withstand constant criticism and your undying unfaithfulness.
Believe in ESP: This way they should just know how you feel, what you want, and hear your unspoken concerns.
Don't Ever Change Your Bad Behavior: Otherwise, your relationship may begin to feel balanced and your partner will not be able to have feelings of contempt. The only thing equal in your relationship should be that you both agree equally that you are the boss and hold all the power. Close yourself to the possibility of growth.
Always Display a Sense of Entitlement: After all, you are their be-all.
Show Lots of Judgment: This makes them want to change for the better. Lie: They don't have to know everything about you.
Put the Moves on Their Best Friend: It does take at least three to get a good party going.
Arm Yourself With an Emotional Weaponry: Remember that all relationships are 'war' and, therefore, our partners are the 'evil enemy'. Never be on their side - or they might WIN, and since all relationships are of a 'win-lose' nature that means that you would LOSE - LOSE yourself, that is. Your superior, elitist attitude and blatant despoilment for your inferior partner would be the best choice for a weapon of mass destruction, effectively destroying the entire relationship.
Always Point the Finger: The fault is always in the other. Never you.
Be rigid: remain set in your beliefs. Take Your Partner for Granted: It is their job to always be there for you. Make Them Appreciate You: Demand that you never be taken for granted. It's not your job to always be there for them.
You've Already Made Your Good Impression: You don’t have to impress them anymore. Lay off the charm and respect. Let your good hygiene go. Stop complimenting them, or being polite. Save your good impression for total strangers. And remember, love means never having to say you're sorry.
Make Sex a Chore: Same time, same day, same way. This way there are no surprises. Better yet, simply remove sex from your life all together. Who needs to have to actually move if you don't really have to.
Put Up a Protective Wall: They don't need connection. If they can't sit in a silent and lonely rage them tell them to talk to their friends, family, coworkers, or clergyman. It's not your job to give their life meaning.
Never Do Anything as a Couple: Once you do, you will hear about it all the time! They may even expect you to do it again.
Always Go to Bed Mad: Never really resolve any of your conflicts. This way they can keep nagging and rehashing the same thing over and over again ... this will validate and confirm your belief that they really are nuts.
Their Minor Slip-Ups Should Be Punished: Use lots of silent treatment, contemptuous looks, and lots of self-denial. Remember it is their job to always agree with you and to always see things your way. It is not your job to forgive them or to see their point of view.
Never Show Your Real Self: Your thoughts and feelings should remain private. Never let down your guard or open your heart. Always wear a poker face.
Always Be on the Defense: After all, if you are always right then you shouldn't ever be questioned about anything you may say or do.
Routine is Grounding: Never shake it up or differ from the ordinary day-to-day. Never try anything new. Never surprise each other.
Let Your Looks Go: Now that you bagged them you shouldn't have to show them how good you look anymore. They already know how good you can look, right? Why do you have to remind them constantly? Never dress up for them, and quit grooming yourself so much. You can relax now that you have them, so go ahead and let yourself go in terms of your weight, your physique, your figure, your hair, etc. Once again, this doesn't apply to total strangers.
Always Remain Stoic: Never laugh out loud or joke around with each other. Try not to show any humor. A relationship is a serious thing and there should be no room in it for such frivolity.
Love is for Sissy: All good feelings must be explained away first, or denied if an explanation can't be found. Remember, love is the enemy.
Always Be Critical and Condescending: This makes you look good and shows your partner that you are better than him/her in most things. Always point out their mistakes no matter how trivial they are. Do not support them in any of their aspirations or accomplishments. Make Up Mean Stuff About Them and Then
Cut Them Down to Mutual Friends: This makes you come out looking good, and like the poor mistreated victim. Which you are.
Be Disinterested: Otherwise it won't all be about you! Negligence is the key. In fact, why not... ....
Be Emotionally Absent: That's right, abdicate! Even if you don't leave your relationship in a physical sense you can still “move on” in a mental-emotional-spiritual sense. I mean, they still have your presence there, right? What more could they want!?
Do these things above and you should have your partner scrambling out of the relationship in no time flat. But avoiding them will make him / her be very much close to you.
Thursday, December 15
TALAKA - Je ni jibu sahihi ama ni sehemu ya tatizo?
Huwa inajulikana kwa watu wote kwamba talaka ni sehemu ya maisha ya ndoa. Tangu enzi na enzi kwenye mizizi ya uwepo wetu imekuwa ikitoa mwanya kwa watu wawili walioshindwa kuishi pamoja kwa hali ya amani kuachana. Ila ili kuelewa sababu ya talaka ni lazima kwanza tuelewe maana yake na kwanini ikawepo na hapo ndipo tutapiga hatua moja ya kupata ufumbuzi.
Kwa mujibu wa National Center for Health Statistics, 43% ya ndoa za kwanza huishia kwenye talaka ama kutengana ndani ya miaka 15 na pia 75% ya hao wanao talikiana huoa ama kuolewa tena, nusu yao ndani ya miaka mitatu tangu wapate talaka. Kwa Marekani U.S. Bureau of Census iliripoti kwamba mwaka 1970, kulikuwa na talaka milioni 4.3, mwaka 1994, namba iliongezeka kufikia milioni 17.4 na wanawake ndio waliongoza kwa kuomba talaka ambapo theluthi mbili ya walioolewa waliomba talaka ndani ya Marekani pekee. Ushahidi wao ulionyesha kuwa ndani ya Marekani wanawake walisababisha uvunjifu wa ndoa kwa asilimia 90.
Talaka ni zoezi ambalo ni libaya na la kuumiza kwenye maisha ya binaadamu na uzito wake ni wa pili baada ya kifo cha mmoja wa wanandoa. Ila imeonyesha pia ndani ya siri za biashara hiyo kwenye ukuaji wa kinasabia vurugu na migongano huleta matibabu ya ndani zaidi na pia kukuza kimtazamo. Kama kifo kilivyo talaka huleta mtazamo wa ndani zaidi na kutafuta maana ambayo nyakati nyingine huleta suluhisho mfano: jinsi ya kuweza kuhimili mitikiso ya ndoa nyingine ikawa utaoa ama kuolewa tena. Hivyo nyakati nyingine kuna faida ya kuwepo kwa talaka kwani mmoja anakuwa amekua zaidi kimtazamo kuliko alipooa ama kuolewa mara ya kwanza. Pia wanaume ama wanawake waliooa ama kuolewa na kupata talaka wanakuwa makini na niwazuri zaidi kwenye ndoa zao za baadae.
Huzuni na maumivu kwa watu ni sentensi ambayo inapelekea talaka kuwepo. Hii nizawadi itakayoendelea kutoka mpaka hapo tutakaposimama tukatulia na kusikiliza kwa makini. kuzuia uongezeko wa talaka si jibu sahihi jibuni kuzuia mahusiano yasiyo na muelekeo tija na usahihi unaopaswa. Hatuhitaji wataalamu wa akili ya binadamu kutusaidia kwenye hili kupunguza talaka ila tunaweza pale tutakapoangalia kwanini tuko katika mahusiano na nini tunategemea ama tunatarajia kupata kutokana nayo. Kuweka mambo hadharani ni hatua moja mbele kuliko kuficha ambako ni hatua tano nyuma. Chukua muada kupata uelewa mzuri wa ndoa na mahusiano kabla ya kuamua kujitumbukiza ndani yake.
Inashauriwa kwamba ni uamuzi wa busara na sahihi ni kuepuka talaka. Ila kama haizuiliki sababu ya migongano na ugomvi usioisha talaka ina sababu chanya kwa wote watoto na wazazi. Kuna tafiti nyingi zimeeleza kuhusu uharibifu unaotokana na familia kutengana hasa kwa watoto ila ni muhimu mtoto kulelewa na wazazi walio na furaha wakati wote kuliko wanaolelewa na wazazi ambao hawana furaha ya kuwa pamoja. Na pia watoto wenye furaha huleta watu wazima wenye furaha. Hivyo kama wazazi wanaweza kuishi pamoja kwa furaha ni vizuri ila kama hawawezi ni vizuri wakaachana ili kumuokoa mtoto.
Ila ushauri ni mmoja tu kama unataka kupata au kutoa talaka kwanza tafuta ushauri kwa mtu au watu walioshapitia uamuzi huo kabla.
Utajiuliza swali je, kuongezeka kwa talaka ni tatizo?
Katika mahusiano kuna sababu au kwa mawazo yangu njia kuu tatu zilizosababisha talaka kuongezeka.
1. Uwezeshaji wa wanawake: Wanawake wengi wataipinga hii ila karne zilizopita wanawake hawakuwa na uwezo wa kuwaacha wanaume zao pia hawakuwa na uwezo wa kuchagua waume wa kuwaoa so sababu tafiti zinaonyesha kuwa wanawake wengi ndio wa kwanza kuomba talaka siku hizi wanaume karne hizo zilizopita waliweza kuziepuka kwani wao ndio walikuwa waamuzi wa mwisho.
2. Kufanyia mazoezi chaguo zetu: Kwa ukweli ulio sahihi kukubali kwamba ulifanya kosa ni ngumu na kufanya sahihisho ndio ngumu zaidi. ila talaka ni uelewa wa kuonyesha kwamba mambo hayaelekei yalivyotakiwa au yalivyokusudiwa. Kwa sasa talaka imekuwa ni kama sahihisho la kosa ambalo lilitokea nalo ni kuchagua mke ama mume asiyekufaa.
3. Furaha muhimu: Wakati watu huachana sababu wanakosa furaha ndani ya ndoa inamaanisha thamani ya furaha zao ni muhimu kwao hivyo labda talaka inaweza kuwa ni ishara ama alama nzuri kwamba kwa sasa wanaweka juu thamani ya utu wao kuliko mambo ya mpito tu kama fedha, uzuri n.k
Ila swali bado lipo je, talaka ni tatizo ama la?
Jibu langu ni hili talaka sio hata sababu. Ila tuu ni kutokana na uzingatiaji wa talaka ndio unatufanya tusahau matatizo halisi ambayo tungeyaongelea. Uongezekaji wa talaka ni dalili za ugonjwa ambao hatuufanyii uchunguzi inavyotakiwa na pia bila ya kujua namna ya kudhibiti ugonjwa huo.
Talaka si tatizo? Kuna matatizo makubwa kwenye mahusiano yasiyo na mwelekeo mwema ila watu hawachukui njia ya talaka kuweza kufika mahala ila kuweza kuacha kitu nyuma. Na kitu hicho ni mahusiano yasiyo sahihi. Tatizo letu ni kuhamasishwa kuoana kwa ajili ya kuanza familia, kutulia ama kuepukana na dhambi za ngono bila ya kufundishwa nini kinahusishwa ndani ya mahusiano sahihi na ni nini tutafanya kuweza kufanya ndoa zetu kuwa ni nyumba za furaha na si kifungo cha matatizo. Kwa hili hata ule usemi usemao, "tunafunga pingu za maisha" ungebadilishwa ili kuleta taswira ya furaha na si neno pingu kwani pingu ni neno linalohusisha huzuni.
Nilipokuwa na miaka 24 mtu mmoja wa dini aliniambia nimeshachelewa miaka kadhaa kuoa, je nilitakiwa kuwahi ili niendane na miaka ama nitafute furaha ya ndoa? Wengi hufanya kosa hilo. Maongezi ya ndoa na faida zake ni muhimu ila ushauri wa namna ya kumchukulia na kumtendea mwenza wako pamoja na matarajio yatakayopatikana kutoka kwenya mahusiano na jinsi ya kukabili matatizo nyakati nyingine husahaulika. Na hapo ndipo ugumu unajitokeza. Furaha mara nyingine haihusishwi kwenye formula ya ndoa. Ni kitu ambacho watu hukiruka. Ila furaha ni kitu muhimu sana na ni kama roho ya mahusiano na tunatakiwa tuifanye ni moja ya lengio la ndoa. Njia moja ya kufanya hilo ni kuangalia dalili za mahusiano yasiyo sahihi mfano: mahusiano ambayo mmoja ama wote wawili walio ndani yake wakaona hayaleti mabadiliko ndani ya maisha yao, mahusiano yanatakiwa yalete mabadiliko katika kila nyanja.
Kufikiria watoto: wazazi wengu huambiwa msipeane talaka sababu ya watoto fikirieni watoto nakadhalika ila talaka sio tatizo kwa watoto ugomvi na kutokuwa na raha katika mahusiano ndio tatizo kwa watoto. Mahusiano yasiyo sahihi ndio tatizo kwa watoto. Kwani wawili hao hawawezi kuwakuza watoto katika misingi bora wakati ndoa yao si bora. Talaka ni jawabu la matokeo ya mahusiano yasiyo sahihi ambayo hufumbiwa macho. Watoto watakuwa bora kama hawataishi kwenye familia zenye migongano ya kimahusiano zaidi ya kuwa kwenye familia zinazoonyesha ishara mbaya ambazo watazifuata wakati wanapokua wakubwa. Hivyo tusielemee kulaumu talaka kwanza tulaumu mahusiano mabovu ya wanaopeana talaka.
Nadhani mpaka hapo mmepata picha kamili kuhusu suala hili la talaka ila huo ni mtizamo tuu.
Kwa mujibu wa National Center for Health Statistics, 43% ya ndoa za kwanza huishia kwenye talaka ama kutengana ndani ya miaka 15 na pia 75% ya hao wanao talikiana huoa ama kuolewa tena, nusu yao ndani ya miaka mitatu tangu wapate talaka. Kwa Marekani U.S. Bureau of Census iliripoti kwamba mwaka 1970, kulikuwa na talaka milioni 4.3, mwaka 1994, namba iliongezeka kufikia milioni 17.4 na wanawake ndio waliongoza kwa kuomba talaka ambapo theluthi mbili ya walioolewa waliomba talaka ndani ya Marekani pekee. Ushahidi wao ulionyesha kuwa ndani ya Marekani wanawake walisababisha uvunjifu wa ndoa kwa asilimia 90.
Talaka ni zoezi ambalo ni libaya na la kuumiza kwenye maisha ya binaadamu na uzito wake ni wa pili baada ya kifo cha mmoja wa wanandoa. Ila imeonyesha pia ndani ya siri za biashara hiyo kwenye ukuaji wa kinasabia vurugu na migongano huleta matibabu ya ndani zaidi na pia kukuza kimtazamo. Kama kifo kilivyo talaka huleta mtazamo wa ndani zaidi na kutafuta maana ambayo nyakati nyingine huleta suluhisho mfano: jinsi ya kuweza kuhimili mitikiso ya ndoa nyingine ikawa utaoa ama kuolewa tena. Hivyo nyakati nyingine kuna faida ya kuwepo kwa talaka kwani mmoja anakuwa amekua zaidi kimtazamo kuliko alipooa ama kuolewa mara ya kwanza. Pia wanaume ama wanawake waliooa ama kuolewa na kupata talaka wanakuwa makini na niwazuri zaidi kwenye ndoa zao za baadae.
Huzuni na maumivu kwa watu ni sentensi ambayo inapelekea talaka kuwepo. Hii nizawadi itakayoendelea kutoka mpaka hapo tutakaposimama tukatulia na kusikiliza kwa makini. kuzuia uongezeko wa talaka si jibu sahihi jibuni kuzuia mahusiano yasiyo na muelekeo tija na usahihi unaopaswa. Hatuhitaji wataalamu wa akili ya binadamu kutusaidia kwenye hili kupunguza talaka ila tunaweza pale tutakapoangalia kwanini tuko katika mahusiano na nini tunategemea ama tunatarajia kupata kutokana nayo. Kuweka mambo hadharani ni hatua moja mbele kuliko kuficha ambako ni hatua tano nyuma. Chukua muada kupata uelewa mzuri wa ndoa na mahusiano kabla ya kuamua kujitumbukiza ndani yake.
Inashauriwa kwamba ni uamuzi wa busara na sahihi ni kuepuka talaka. Ila kama haizuiliki sababu ya migongano na ugomvi usioisha talaka ina sababu chanya kwa wote watoto na wazazi. Kuna tafiti nyingi zimeeleza kuhusu uharibifu unaotokana na familia kutengana hasa kwa watoto ila ni muhimu mtoto kulelewa na wazazi walio na furaha wakati wote kuliko wanaolelewa na wazazi ambao hawana furaha ya kuwa pamoja. Na pia watoto wenye furaha huleta watu wazima wenye furaha. Hivyo kama wazazi wanaweza kuishi pamoja kwa furaha ni vizuri ila kama hawawezi ni vizuri wakaachana ili kumuokoa mtoto.
Ila ushauri ni mmoja tu kama unataka kupata au kutoa talaka kwanza tafuta ushauri kwa mtu au watu walioshapitia uamuzi huo kabla.
Utajiuliza swali je, kuongezeka kwa talaka ni tatizo?
Katika mahusiano kuna sababu au kwa mawazo yangu njia kuu tatu zilizosababisha talaka kuongezeka.
1. Uwezeshaji wa wanawake: Wanawake wengi wataipinga hii ila karne zilizopita wanawake hawakuwa na uwezo wa kuwaacha wanaume zao pia hawakuwa na uwezo wa kuchagua waume wa kuwaoa so sababu tafiti zinaonyesha kuwa wanawake wengi ndio wa kwanza kuomba talaka siku hizi wanaume karne hizo zilizopita waliweza kuziepuka kwani wao ndio walikuwa waamuzi wa mwisho.
2. Kufanyia mazoezi chaguo zetu: Kwa ukweli ulio sahihi kukubali kwamba ulifanya kosa ni ngumu na kufanya sahihisho ndio ngumu zaidi. ila talaka ni uelewa wa kuonyesha kwamba mambo hayaelekei yalivyotakiwa au yalivyokusudiwa. Kwa sasa talaka imekuwa ni kama sahihisho la kosa ambalo lilitokea nalo ni kuchagua mke ama mume asiyekufaa.
3. Furaha muhimu: Wakati watu huachana sababu wanakosa furaha ndani ya ndoa inamaanisha thamani ya furaha zao ni muhimu kwao hivyo labda talaka inaweza kuwa ni ishara ama alama nzuri kwamba kwa sasa wanaweka juu thamani ya utu wao kuliko mambo ya mpito tu kama fedha, uzuri n.k
Ila swali bado lipo je, talaka ni tatizo ama la?
Jibu langu ni hili talaka sio hata sababu. Ila tuu ni kutokana na uzingatiaji wa talaka ndio unatufanya tusahau matatizo halisi ambayo tungeyaongelea. Uongezekaji wa talaka ni dalili za ugonjwa ambao hatuufanyii uchunguzi inavyotakiwa na pia bila ya kujua namna ya kudhibiti ugonjwa huo.
Talaka si tatizo? Kuna matatizo makubwa kwenye mahusiano yasiyo na mwelekeo mwema ila watu hawachukui njia ya talaka kuweza kufika mahala ila kuweza kuacha kitu nyuma. Na kitu hicho ni mahusiano yasiyo sahihi. Tatizo letu ni kuhamasishwa kuoana kwa ajili ya kuanza familia, kutulia ama kuepukana na dhambi za ngono bila ya kufundishwa nini kinahusishwa ndani ya mahusiano sahihi na ni nini tutafanya kuweza kufanya ndoa zetu kuwa ni nyumba za furaha na si kifungo cha matatizo. Kwa hili hata ule usemi usemao, "tunafunga pingu za maisha" ungebadilishwa ili kuleta taswira ya furaha na si neno pingu kwani pingu ni neno linalohusisha huzuni.
Nilipokuwa na miaka 24 mtu mmoja wa dini aliniambia nimeshachelewa miaka kadhaa kuoa, je nilitakiwa kuwahi ili niendane na miaka ama nitafute furaha ya ndoa? Wengi hufanya kosa hilo. Maongezi ya ndoa na faida zake ni muhimu ila ushauri wa namna ya kumchukulia na kumtendea mwenza wako pamoja na matarajio yatakayopatikana kutoka kwenya mahusiano na jinsi ya kukabili matatizo nyakati nyingine husahaulika. Na hapo ndipo ugumu unajitokeza. Furaha mara nyingine haihusishwi kwenye formula ya ndoa. Ni kitu ambacho watu hukiruka. Ila furaha ni kitu muhimu sana na ni kama roho ya mahusiano na tunatakiwa tuifanye ni moja ya lengio la ndoa. Njia moja ya kufanya hilo ni kuangalia dalili za mahusiano yasiyo sahihi mfano: mahusiano ambayo mmoja ama wote wawili walio ndani yake wakaona hayaleti mabadiliko ndani ya maisha yao, mahusiano yanatakiwa yalete mabadiliko katika kila nyanja.
Kufikiria watoto: wazazi wengu huambiwa msipeane talaka sababu ya watoto fikirieni watoto nakadhalika ila talaka sio tatizo kwa watoto ugomvi na kutokuwa na raha katika mahusiano ndio tatizo kwa watoto. Mahusiano yasiyo sahihi ndio tatizo kwa watoto. Kwani wawili hao hawawezi kuwakuza watoto katika misingi bora wakati ndoa yao si bora. Talaka ni jawabu la matokeo ya mahusiano yasiyo sahihi ambayo hufumbiwa macho. Watoto watakuwa bora kama hawataishi kwenye familia zenye migongano ya kimahusiano zaidi ya kuwa kwenye familia zinazoonyesha ishara mbaya ambazo watazifuata wakati wanapokua wakubwa. Hivyo tusielemee kulaumu talaka kwanza tulaumu mahusiano mabovu ya wanaopeana talaka.
Nadhani mpaka hapo mmepata picha kamili kuhusu suala hili la talaka ila huo ni mtizamo tuu.
Wednesday, December 14
How to become a politician in 10 steps
1. Master the podium. Work on your ability to deliver heartfelt speeches.
2. Lie to your peers. Unfortunately this rule is interdependent with mastering the podium.
3. Blow up historical blunders of your opposition.
4. Strength in numbers. Seek power from popular students to help justify your actions.
5. Try not to answer questions directly, instead talk in circles for a while.
6. Keep an open mind. Try not to take a definitive stance on any political issue.
7. Don’t forget about the voters. Always care about average blue-collar related issues, even if you are a self-centred spoiled imbecile.
8. Go to law school. Learn how to yell at people in stuffy settings. Gain good practice and training before your terms in the House.
9. Congratulations, you’re ready to become a fat cat! With over 20 years of practicing law, you are primed to run for a representative position in your riding.
10. Pick a political party, if federal politics suits your fancy.
If you are interested in joining the ruling party, remember to apply sunscreen to your neck when you go outside for extended periods of time.
Are you interested in a future with the opposition? Apply for the director of finance position or school treasurer and begin raising money from school events.
2. Lie to your peers. Unfortunately this rule is interdependent with mastering the podium.
3. Blow up historical blunders of your opposition.
4. Strength in numbers. Seek power from popular students to help justify your actions.
5. Try not to answer questions directly, instead talk in circles for a while.
6. Keep an open mind. Try not to take a definitive stance on any political issue.
7. Don’t forget about the voters. Always care about average blue-collar related issues, even if you are a self-centred spoiled imbecile.
8. Go to law school. Learn how to yell at people in stuffy settings. Gain good practice and training before your terms in the House.
9. Congratulations, you’re ready to become a fat cat! With over 20 years of practicing law, you are primed to run for a representative position in your riding.
10. Pick a political party, if federal politics suits your fancy.
If you are interested in joining the ruling party, remember to apply sunscreen to your neck when you go outside for extended periods of time.
Are you interested in a future with the opposition? Apply for the director of finance position or school treasurer and begin raising money from school events.
30 Tips to Help You Get Your Swagger Back
We've all been through it at some point. I'm talking about that rut, funk, spell or period in our lives where we feel like we've lost our swagger. There are many reasons why this loss in confidence occurs (I'll let you fill in the blanks), but when it happens to you, it sucks major.
Here are 30 tips to get you out of the doldrums and help you get your swagger back.
1. Improve your diet.
Like the old adage says, “You are, what you eat.” Take out Rock star, add in water. Take out beef, add in fish or chicken. Take out the burgers, add in vitamins. Take out fries, add in boiled. You get the point.
2. Get more sleep.
Not only will it make you feel more refreshed, but it helps in so many other countless ways. Here's a great article about the importance of sleep.
3. Get to the dentist.
Now is not the time to reschedule that appointment. Get your teeth cleaned, crowns fixed, bridges built, and root canals dug. You'll be smiling before you know it.
4. Get a haircut.
Okay there is nothing wrong with those Super cut 1,000 Tshs specials, but it just won't do this time. I'm not saying go to one of those foofy salons where they serve you wine and make you take off your shirt, but just go find a reputable shop and get a nice cut even if it cost you 10,000 Tshs.
5. Update your wardrobe.
I'm definitely not recommending you go splurge on ridiculous items, but sometimes when you look good, you just tend to feel good. Treat yourself to a new outfit, but remember to stick to buying pieces that you will always have a need for like a suit for work or wool sweater and leave the trendy new stuff for the fashionistas.
6. Get a new pair of glasses.
Update your look with a fresh or modern pair of specs. If you're tired of wearing glasses then try contact lenses.
7. Shine your shoes.
Don't use the fake liquid shine stuff. Use real shoe polish, some water and a lot of elbow grease. If you can't see your reflection on the shoe when you're done, then get them shined by a professional.
8. Buy new cologne.
The goal here is not to smell like teen spirit. Sample more than a few scents and ask the sales person for their recommendation.
9. Bring your suits to the tailor.
It might cost you a few shillings, but there is simply no substitute for well-fitting clothes (even better if you can swing a made-to-measure suit).
10. Wear your favorite underwear.
If you don't have one, get one. If you can't decide between boxers or briefs, go with boxer briefs.
11. Wash your car.
If you have one but if you don't at least choose a clean taxi. Theres something about arriving in style that never seems to get old.
12. Get a new watch.
It's time to retire that Fossil of a watch and get a true timepiece. Skip the brands that also make clothes and opt for those that only specialize in making watches exclusively.
13. Stop comparing yourself to others.
This is easy to say and difficult to do, but it is essential in getting your swagger back.
Get Your Shit Together
14. Align your priorities.
Take a piece of scratch paper out and identify what is important to you in your life right now. Make sure you put yourself as #1.
15. Set goals.
You don't have to wait for the new year to set goals. Set them now.
16. Take care of business at work.
You spend roughly 60% of your waking life there so make sure you're doing what you need to be successful. If you don't like your current job, then quit and find a new one.
17. Organize your finances.
If you need more assistance, make an appointment to meet with a financial adviser.
18. Drop bad habits and develop good ones.
They say it only takes 9 days to form a habit. Do you really need another reason to stop biting your nails already? Start today.
19. Cut dead weight.
et go of anything and everything that is weighing you down. This includes extra pounds, negative friends and the subscription to that magazine you never read.
Be More Active
20. Change your latitude.
Take a trip to somewhere you've never been. Traveling often opens up our eyes and changes our perspective even better if you can afford to go international.
21. Hit the gym.
Not a must but if you can exercising makes you look and feel better.
22. Start running and walking around.
Running or walking doesn't require a gym and is also one of the best ways to get in shape.
23. Take up a new hobby.
Even if you're already a skilled football player, you can still always learn a few new tricks.
24. Join a public sports league.
If you have time. They have all sorts of different leagues with sports ranging from table tennis to long tennis, from golf to basketball. This is a great way to get in shape and meet new people at the same time.
25. Learn a new language.
This is a great way to flex your brain and to challenge yourself. If you can join an open college its better.
Get Inspired
26. Get nostalgic.
Get out your old football highlight reel, dust off your trophies, and pull out pictures of your hot ex-girlfriends. We're not saying to live in the past, but it's always good to give yourself some credit and remind yourself that you were once a bad ass.
27. Listen to music that gets you going.
Your choice.
28. Watch your favorite movies of all time.
Grab some popcorn and watch that go-to movie that always seems to make you feel alive.
29. Bring your friends close and family even closer.
When your confidence is low, there's nothing like allowing your biggest supporters to give you that much needed pep talk to lift your spirits.
30. Rekindle some of those long dormant dreams.
It's never too late to go after your dreams.
You may find that these won't all work for you, but that's okay. The key ingredient here is to take action and to truly believe in yourself. If you have any tips you'd like to share please leave a comment so others can benefit from them.
Are we still living on a wonderful world?
Remember this song? WHAT A WONDERFUL WORLD by Luis Armstrong.
I see trees of green, red roses too
I see them bloom for me and you
And I think to myself what a wonderful world.
I see skies of blue and clouds of white
The bright blessed day, the dark sacred night
And I think to myself what a wonderful world.
The colors of the rainbow so pretty in the sky
Are also on the faces of people going by
I see friends shaking hands saying how do you do
They're really saying I love you.
I hear babies crying, I watch them grow
They'll learn much more than I'll never know
And I think to myself what a wonderful world
Yes I think to myself what a wonderful world.
My question is are we still living on a wonderful world or the wonder is taken out of it and we only remain with the world?
Tuesday, December 13
SPIKA WA BUNGE AUKIMBIA MJADALA WA POSHO
ALIALIKWA CHANNEL TEN, AWAAMBIA KAMA NI KUHUSU POSHO 'SIJI', WENGI WAPONDA, CAG KUFANYA UCHUNGUZI
Waandishi wetu
SAKATA la posho za wabunge limezidi kuingia katika sura mpya, baada ya Spika wa Bunge, Anne Makinda, kukwepa mdahalo uliohusu mada hiyo, huku Katibu wake, Dk Thomas Kashilillah, akitua mzigo kwa kutotaka ahusishwe tena kwenye mjadala huo.Wakati viongozi hao wa juu wa Bunge wakikwepa kuzungumzia suala hilo, wasomi, wanaharakati na viongozi wa dini kutoka kona mbalimbali za nchi, wamekuja juu wakipinga nyongeza hiyo.
Makinda akacha mdahalo
Jana, Makinda alikwepa kipindi cha luninga cha Channel Ten cha Asubuhi Njema ambacho mada yake ilikuwa kuzungumzia nyongeza ya posho za wabunge akisema "iwapo mjadala wenu ni kuhusu posho, sitashiriki kipindi hicho."
Mtangazaji wa kipindi hicho, David Ramadhan alisema awali, aliwasiliana na Spika Makinda kwamba angekuwa mgeni katika kipindi hicho, lakini dakika za mwisho, aligeuka na kusema asingeweza kushiriki mjadala huo iwapo mada ni nyongeza ya posho za wabunge.
“Jamani ilikuwa tuwe na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda ambaye hata hivyo amesema hataweza kushiriki kipindi iwapo mjadala wenyewe ni huo unaohusiana na ongezeko la posho za wabunge,”alisema mtangazaji huyo akiwajulisha watazamaji.
Kutokana na hali hiyo, Ramadhani aliwasiliana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ili atoe ufafanuzi kuhusu msimamo wa CCM juu ya nyongeza hiyo ya posho. Nape alikazia msimamo wa chama hicho kuwa wanapinga ongezeko hilo kwa nguvu zote.
Jitihada za gazeti hili kumpata Spika Makinda jana ili azungumzia msimamo wake huo wa kukimbia mjadala wa posho hazikuzaa matunda kutokana na simu yake ya mkononi mara kadhaa kuita bila kupokelewa na wakati mwingine, inakatwa.Taarifa zilizopatikana baadaye ofisini kwake zilieleza kuwa muda mwingi jana, Spika Makinda alikuwa na kikao.
Dk Kashililah
Kwa upande wake, Dk Kashililah jana aliamua kutua mzigo baada ya kukataa kuhusishwa tena na mjadala wa posho za wabunge unaoendelea nchini.
Dk Kashililah aliliambia gazeti hili kuwa kauli ya CCM kutaka nyongeza ya posho iondolewa kwa sababu maisha magumu, haimuhusu na yeye hana jipya kwenye mjadala huo.
“Hayo ya CCM hayanihusu… Unanionea tu ndugu yangu,” alisema Dk Kashililah alipotakiwa kutoa msimamo wake kuhusu ushauri wa CCM uliotolewa juzi na Nape.
Kuhusu mgongano wa kauli yake na ile ya Spika Makinda kuhusu posho za wabunge, Dk Kashililah alisema" “Wewe ndio unasema (tulitofautiana).”
Wasomi, viongozi dini, wanaharakati
Wakati huo huo wasomi nchini wamesema suala la ongezeko la posho hizo kwa wabunge halijazingatia haki na usawa katika jamii hali itakayoweza kusababisha madhara makubwa katika ustawi wa uchumi na maendeleo ya jamii.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, wasomi hao walisema wabunge waliopitisha kupanda kwa malipo ya posho zao katika vikao vyao, hawana machungu na maendeleo ya taifa, kwani wanachukua pesa nyingi kuliko wafanyakazi wa idara nyingine.
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, (UDSM) Dk Benson Bana, alisema wabunge wote wanaotaka pesa zipande, hawana budi kuachia madaraka kwani wanalinyonya taifa.
Alisema wabunge wanatakiwa kufahamu kwamba Serikali ni masikini hivyo wanavyopitisha suala la kupata posho kubwa ni sawa na kuitia nchi umasikini.
“Hawa jamaa mimi siwaelewi kabisa unajua kitendo cha kupandishiwa posho kutoka Sh70,000 mpaka Sh200,000 ni sawa na kulitia umaskini taifa letu,”alisema Bana.
Dk Honest Ngowi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe alisema sababu iliyotolewa kwamba posho hizo zimepanda kutokana na hali ngumu ya maisha, haina mashiko kwani ugumu wa maisha hauko mkoani Dodoma pekee.
“Kitendo cha kujiongezea posho kwa wabunge hao kimekuja baada ya kikundi cha watu wachache ambao ni watunga sera na sheria kukaa na kujadili namna ya kujipatia ahueni ya maisha na kuamua kujipandishia hizo posho bila kuangalia mwananchi wa kawaida ambaye ni mlipa kodi atakuwa anaishi katika hali gani,”alisema Dk Ngowi.
Profesa Robert Mabele wa Chuo Kikuu cha Dar e s Salaam, alisema kupanda kwa posho hizo kunamkandamiza mwananchi wa kawaida akiwamo mwalimu.
Alisema Bunge linatakiwa kuhakikisha kwamba mapato ya Mtanzania yanatakiwa kuwa na uwiano sawa na haya mabadikilo yanatakiwa kufanyika kwa watu wote sio kwa wabunge tu.Mhadhiri mwingine wa UDSM, Bashiru Ally alisema kupanda kwa posho za wabunge ni kukomaza utabaka kati ya walionacho na wasio nacho.
Msimamo wa Tucta
Akizungumzia suala hilo, Katibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza (Tucta), Ramadhani Mwenda aliishutumu ofisi ya Bunge kwa kile alichoeleza kuwa imeonyesha dharau kwa Rais kwa kuongeza posho hizo bila idhini yake.
Alisema dharau ilionyeshwa na ofisi ya Bunge kwa Rais imekiuka misingi na sheria za nchi na kuonyesha kuwa kazi za Rais zinaweza kufanywa na mtu yeyote bila hata idhini yake.Mwenda alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Mkuu wa kitivo cha sheria kutoka Chuo Kikuu cha Makumira,Elfuraha Laltaika alipinga vikali ongezeko hilo kwa madai kuwa sababu zilizotolewa na Bunge hazikuwa na tija yoyote.
Laltaika, alisema ongezeko hilo ni kubwa, lakini sababu za kupanda gharama za maisha linawagusa watanzania wote na sio wabunge peke yao huku akisistiza kuwa kitendo hicho ni ubadhirifu mkubwa serikalini usiovumilika.
The Healing Power of Water
The Wonders of water... Amazing! But True! Find out for yourself.
6 glasses of water (1.5 liters). Without spending on medicine, tablets, injections, diagnosis, Doctor fees, etc., just by drinking pure water, the following diseases will be cured. You can never believe before practising.
Diseases cured by Drinking water:
1. Headache
2. Blood Pressure/Hyper Tension
3. Anemia (Blood Shortage)
4. Rheumatism (Pain in joints/muscles)
5. General Paralysis
6. Obesity
7. Arthritis
8. Sinusitis
9. Tachycardia
10. Giddiness
11. Cough (Khansi)
12. Asthma
13. Bronchitis
14. Pulmonary Tuberculosis (T.B.)
15. Meningitis
16. Kidney stones
17. Urogenital disease
18. Hyper-acidity
19. Gastroenteritis
20. Dysentery
21. Rectal Piodapse
22. Constipation (Kabj)
23. Hostorthobics
24. Diabetes (Madhumeh)
25. Eye diseases
26. Ophthalmic Haemorrage & Ophthalmia (reddish eye)
27. Irregular Menstruation
28. Leukemia (white Blood)
29. Uterine cancer
30. Breast cancer
31. Laryngitis
How to do this water therapy?
1. Early morning after you get up from bed (without even brushing your teeth) drink 1.50 liters of water i.e., 5 to 6 glasses. Better to premeasure 1.50 liters of water. Let us all know that our ancestors termed this therapy as "Usha Paana Chikitsa". You may wash your face thereafter.
2. Here it is very essential to note that nothing else, neither drinks nor solid food of any sort should be taken within 1 hour before and after drinking these 1.50 liters of water.
3. It is also to be strictly observed that no alcoholic drinks should be taken the previous night.
4. If required, boiled and filtered water may be used for this purpose. Is it possible to drink 1.50 liters of water at one time? To begin with, one may find it difficult to drink 1.50 liters of water at one time, but one will get used to it gradually. Initially, while practising you may drink four glasses first and the balance two glasses after a gap of two minutes. Initially you may find the necessity to urinate 2 to 3 times within an hour, but it will become normal after sometime.
By research and experience, the following diseases are observed to be cured with this therapy within the indicated days as below:
Constipation 1 day
Acidity 2 days
Diabetes 7 days
BP & Hypertension 4 weeks
Cancer 4 weeks
Pulmonary TB 3 months.
Note: It is advised that persons suffering from A rthritis or Rheumatism should practise this therapy thrice a day, i.e., morning, midday and night, 1 hours before meals - for one week; and twice a day subsequently till the disease is cured.
How does pure water act?
Consuming ordinary drinking water by the right method purifies the human body. It renders the colon more effective by forming new fresh blood, known in medical terms as Haematopaises. That the mucousal folds of the colon and intestines are activated by this method, is an undisputed fact, just as the theory that the mucousal fold produces new fresh blood. If the colon is cleaned then the nutrients of the food taken several times a day will be absorbed and by the action of the mucousal folds they are turned into fresh blood. The blood is all-important in curing ailments and restoring health, and for this water should be consumed in a regular pattern. We make an earnest request that the above method should be read and practised carefully. Please spread this message to your friends, relatives and neighbour it is a great service to the cause of humanity.
Now that you have read the above and if you wish to follow the plan, make sure you get only clean water.
6 glasses of water (1.5 liters). Without spending on medicine, tablets, injections, diagnosis, Doctor fees, etc., just by drinking pure water, the following diseases will be cured. You can never believe before practising.
Diseases cured by Drinking water:
1. Headache
2. Blood Pressure/Hyper Tension
3. Anemia (Blood Shortage)
4. Rheumatism (Pain in joints/muscles)
5. General Paralysis
6. Obesity
7. Arthritis
8. Sinusitis
9. Tachycardia
10. Giddiness
11. Cough (Khansi)
12. Asthma
13. Bronchitis
14. Pulmonary Tuberculosis (T.B.)
15. Meningitis
16. Kidney stones
17. Urogenital disease
18. Hyper-acidity
19. Gastroenteritis
20. Dysentery
21. Rectal Piodapse
22. Constipation (Kabj)
23. Hostorthobics
24. Diabetes (Madhumeh)
25. Eye diseases
26. Ophthalmic Haemorrage & Ophthalmia (reddish eye)
27. Irregular Menstruation
28. Leukemia (white Blood)
29. Uterine cancer
30. Breast cancer
31. Laryngitis
How to do this water therapy?
1. Early morning after you get up from bed (without even brushing your teeth) drink 1.50 liters of water i.e., 5 to 6 glasses. Better to premeasure 1.50 liters of water. Let us all know that our ancestors termed this therapy as "Usha Paana Chikitsa". You may wash your face thereafter.
2. Here it is very essential to note that nothing else, neither drinks nor solid food of any sort should be taken within 1 hour before and after drinking these 1.50 liters of water.
3. It is also to be strictly observed that no alcoholic drinks should be taken the previous night.
4. If required, boiled and filtered water may be used for this purpose. Is it possible to drink 1.50 liters of water at one time? To begin with, one may find it difficult to drink 1.50 liters of water at one time, but one will get used to it gradually. Initially, while practising you may drink four glasses first and the balance two glasses after a gap of two minutes. Initially you may find the necessity to urinate 2 to 3 times within an hour, but it will become normal after sometime.
By research and experience, the following diseases are observed to be cured with this therapy within the indicated days as below:
Constipation 1 day
Acidity 2 days
Diabetes 7 days
BP & Hypertension 4 weeks
Cancer 4 weeks
Pulmonary TB 3 months.
Note: It is advised that persons suffering from A rthritis or Rheumatism should practise this therapy thrice a day, i.e., morning, midday and night, 1 hours before meals - for one week; and twice a day subsequently till the disease is cured.
How does pure water act?
Consuming ordinary drinking water by the right method purifies the human body. It renders the colon more effective by forming new fresh blood, known in medical terms as Haematopaises. That the mucousal folds of the colon and intestines are activated by this method, is an undisputed fact, just as the theory that the mucousal fold produces new fresh blood. If the colon is cleaned then the nutrients of the food taken several times a day will be absorbed and by the action of the mucousal folds they are turned into fresh blood. The blood is all-important in curing ailments and restoring health, and for this water should be consumed in a regular pattern. We make an earnest request that the above method should be read and practised carefully. Please spread this message to your friends, relatives and neighbour it is a great service to the cause of humanity.
Now that you have read the above and if you wish to follow the plan, make sure you get only clean water.
Small Steps to a Healthy Family Lifestyle
We are bombarded every day with conflicting information about our health. Is it better to eat a low-carb diet or a balanced diet? Should we be physically active three times a week or five times a week? And how can we be expected to follow any of these recommendations when we're always so busy?
It's no wonder that many of us throw up our hands and give up. But if we want to live long and fulfilling lives, it's essential that we learn the real facts about health, nutrition, and physical activity.
Luckily, the real facts are pretty straightforward. All you really need to know about a healthy lifestyle is:
Eat a healthy diet that includes fruits, vegetables, and whole grain products -- and be sure to control portion sizes.
Get physically active at least five times a week, for thirty minutes or more.
Avoid tobacco and illegal drugs altogether. Sounds simple, right? Well, if it were that easy, we'd all be effortlessly fit and healthy.
Today's lifestyle doesn't allow much room for health. And that's where Small Steps comes in. We know that it's impossible for many people to make dramatic lifestyle changes. Instead, we want to help you learn ways that you can change small things about your life and see big results.
Check out these 100 Small Steps to see what you can do to change your family's life.
1. Walk to work.
2. Use fat free milk over whole milk. (As long as your child is at least 2 years old)
3. Do sit-ups in front of the TV.
4. Walk during lunch hour.
5. Drink water before a meal.
6. Eat leaner red meat & poultry.
7. Eat half your dessert.
8. Walk instead of driving whenever you can.
9. Take family walk after dinner.
10. Skate to work instead of driving.
11. Avoid food portions larger than your fist.
12. Mow lawn with push mower. (Remember that the AAP says that children younger than 12 years should not use walk-behind mowers.)
13. Increase the fiber in your diet.
14. Walk to your place of worship instead of driving.
15. Walk kids to school.
16. Get a dog and walk it.
17. Join an exercise group.
18. Drink diet soda. (If your kids must drink soda and are aleady drinking enough milk.)
19. Replace Sunday drive with Sunday walk.
20. Do yard work.
It's no wonder that many of us throw up our hands and give up. But if we want to live long and fulfilling lives, it's essential that we learn the real facts about health, nutrition, and physical activity.
Luckily, the real facts are pretty straightforward. All you really need to know about a healthy lifestyle is:
Eat a healthy diet that includes fruits, vegetables, and whole grain products -- and be sure to control portion sizes.
Get physically active at least five times a week, for thirty minutes or more.
Avoid tobacco and illegal drugs altogether. Sounds simple, right? Well, if it were that easy, we'd all be effortlessly fit and healthy.
Today's lifestyle doesn't allow much room for health. And that's where Small Steps comes in. We know that it's impossible for many people to make dramatic lifestyle changes. Instead, we want to help you learn ways that you can change small things about your life and see big results.
Check out these 100 Small Steps to see what you can do to change your family's life.
1. Walk to work.
2. Use fat free milk over whole milk. (As long as your child is at least 2 years old)
3. Do sit-ups in front of the TV.
4. Walk during lunch hour.
5. Drink water before a meal.
6. Eat leaner red meat & poultry.
7. Eat half your dessert.
8. Walk instead of driving whenever you can.
9. Take family walk after dinner.
10. Skate to work instead of driving.
11. Avoid food portions larger than your fist.
12. Mow lawn with push mower. (Remember that the AAP says that children younger than 12 years should not use walk-behind mowers.)
13. Increase the fiber in your diet.
14. Walk to your place of worship instead of driving.
15. Walk kids to school.
16. Get a dog and walk it.
17. Join an exercise group.
18. Drink diet soda. (If your kids must drink soda and are aleady drinking enough milk.)
19. Replace Sunday drive with Sunday walk.
20. Do yard work.
Subscribe to:
Posts (Atom)

























