Monday, March 12

How to Stop Drinking Wine Every Day

8 tips to limit wine drinking and stop damaging your health, wealth, and wisdom
I've been there myself. Time to crack open a bottle of red/white/rose. It's the end of the day, the evening, time to relax, unwind. Come on! We’re all nannied to death, aren't we? The state cant help but interfere in our lives - guidelines and directives about everything. And anyway, were told red wine is good for us and that gives us carte Blanche to swig gallons of the stuff. If a little is good, more must be better - right?
A bit of exercise is good - overdoing it could make you sick.
One aspirin may cure your headache - 100 aspirins will not make you 100 times better.
Some wine may be good for you - too much can kill you.
Stop winning; it's my life!
I’m all for people living their lives how they choose. And I love wine; but, as we all know, more is most definitely not better, not in the long- or even short-term. It’s easy to kid ourselves we’re not drinking too much wine, to pretend it's harmless. But millions of people have let an innocent nightly tipple turn into a mortally threatening compulsion. Free will is important and that stretches two ways. Sure, people should choose what they do, but compulsion steals the very freedom of choice we all value so much.

So how much wine is too much?
According to most guidelines, one drink is equivalent to:
5 ounces of wine.
12 ounces of beer.
1.5 ounces of 80-proof distilled spirits, such as vodka.
These same guidelines recommend one drink each day for women and two for men. Many people are surprised by this. One woman I know never seems to drink less than two bottles of wine a night. But even just a few glasses a night add up to a significant health risk.
What exactly are the dangers of excessive wine consumption?
Reduce wine drinking to avoid all this
Too much wine too often can:
Make you fat - alcohol supplies calories with few essential nutrients. What’s more, the sugar in alcohol can stimulate appetite, making you want to eat more. Obesity carries its own risks, including heart disease and some cancers.
Cause chronic liver damage.
Prematurely age your body (particularly the skin).
Disrupt the quality (if not the quantity) of your sleep. And impaired sleep brings its own health problems.
Make you chronically tired and unable to concentrate the next day.
Make you feel at the mercy of an addiction.
Disrupt your sex hormones, with the possibility of loss of fertility in women and depletion of testosterone in men causing loss of sexual response.
Mm, think I'll just put that wine back in the fridge.
If you feel that your daily wine drinking habit has become or is getting out of control, here are some timely tips to help you reduce your wine drinking:

Tip 1: Keep a record
Before you change anything, keep an honest record for a week of all the wine you drink, all the bottles. Be brutally honest with yourself. Head-in-the-sand avoidance is so dangerous when it comes to health. You need to know the situation exactly. At the same time, keep a money record. Add up how much money you've been spending on wine per week, per month, and, by logical extension of this, per year. Know the beast.

Tip 2: Don't save up all your drinks for the weekend
It's a curious thing. We all seem to think in terms of banking. If I save up by not drinking too much wine during the week, then I'll be in credit and so be able to drink loads at the weekend. Drinking a lot sometimes is better than drinking lots all the time, but binge drinking is still harmful.

Tip 3: Find another wind-down ritual
We like demarcations, ways to delineate between ‘then’ and ‘now’, and people have many ways to ‘shift gear from work or day mode to evening time. It's not always the wine itself we become addicted to, but the ritual of shifting gear. And this still needs to happen, albeit in a healthier way.
At the time you'd normally start on the wine - say, six o’clock - take a warm shower instead. Disrupt the pattern. There are lots of ways to wind down that don’t make your head fuzzy and your skin tired.

Tip 4: Slow down!
Gulping down wine like theres no tomorrow is a sure-fire way to, well, drink more wine. We can drink so fast we forget to taste. People do the same with food and get very fat. You can enjoy one glass of wine and make it last. Saviour it, drinking one glass over an entire evening. Set this as a challenge to yourself and learn to do it.

Tip 5: Take days off
Drinking too much wine every day is hard work for your body. Start by assigning yourself one day off and get used to not drinking any wine on this day. Once thats a cinch for you, then start adding more wine-free days - but remember Tip 2. Don't make up for this time out by drinking more on other days. The overall effect should be for you to cut back your total weekly amount.

Tip 6: Don't keep wine in the house
It’s too easy, of course, to quaff the wine when it’s readily available. Make a point of not buying bottles in the store when you do your weekly shop. Buy one bottle at a time and take care not to buy more wine for at least three days. Don't make it easy for yourself to overindulge.

Tip 7: Don't run to wine at the drop of a hat (or any setback)
“I had to have a glass of wine after what he said to me!”
“What a day! Where's the wine?”
“Someone just asked me if I'm pregnant! I'm not! I need a glass of wine!”
In the course of most days, there are little upsets (sometimes major upsets), but there are better ways to respond than drinking yet more wine. Start practicing dealing with the normal stresses and strains of life by not reaching for the bottle.

Tip 8: Mentally prepare to remain wine-free
It's much easier to behave in a certain way if the mind (and body) expect to behave in that way. Strongly envisaging a day of not boozing on wine will make it both easier and seem more natural to remain dry. Close your eyes, relax, and imagine seeing yourself going through the whole day free of wine.
For a quick (non-alcoholic) taste of this exercise, click on the free audio below.
And as no less a personage than Will Shakespeare wrote: “Good wine is a good familiar creature if it be well used.”

Share this article

7 Easy Quit Smoking Tips


Quitting smoking can be hard or easy, depending on how you go about it

He was going to die. Dragged towards the tomb lying to himself. The very substance he turned into ashes every day was about to do the same to him. Ah, the powers of self-deception:

“Emphysema runs in my family! Stopping smoking won’t make any difference. Anyway, I’m physically addicted; nothing I can do about it!”

Ted’s wife had sent him to see me. He sat there, arms crossed; sceptical. He was reluctant, convinced his worsening health had nothing to do with the cigarettes. I spent an hour and a half feeling I was offering a rescue branch to a submerged man who, unaware of the upcoming waterfall, wasn’t grasping.

Then I shocked Ted. How? I told him he most certainly should continue to smoke. Prepared for battle, this took him off guard. “What?” He looked confused.
Smoking: An appallingly bad deal

“Certainly, you should smoke,” I told him. “It’s one of life’s pleasures. But you shouldn’t just like it; you should love it. Love it more than anything else in life. It shouldn’t just give you a ’bit of pleasure’, it should be ecstasy-inducing. You should be singing from the rooftops every time you smoke. It should be more meaningful to you than your wife or children. If it’s that important, that pleasurable, then yes, you should carry on. But anything less than that means the deal’s no good.”

“Deal’s no good?” he echoed, mouth ajar.

“That’s right, it’s a bum deal. The tobacco company gets thousands from you – you are a good deal for them. Your end of the deal means that you get to age quicker; have depleted blood into your penis (seriously; this man needed a wake-up call); say goodbye forever to your wife and kids on average seven years earlier than you would have done; destroy serotonin in your brain, leading to greater likelihood of depression; dim your eyesight; incubate cancers; and pay money. That’s your side of the deal. To make it worth it, you need to make sure that smoking is better than just something you ‘quite enjoy’.”

No one had ever spoken to Ted – big, square-jawed, man of the world – that way. I thought maybe he would hit me.

I told him how ’some people‘ went through life with a survivor’s instinct and how others got ’taken in‘ by stuff that undermined and worked against them.

He told me how he hated seeing people conned. I talked about how cigarettes convince ’some people‘ that they are harmless, a relaxant, physically addictive, and so on. I hypnotized him. Later, I told him I’d send him an email and if he ever decided he really did want to quit smoking, stop ’pussyfooting around‘, he should read it – but not until he’d learned to see the deal for what it truly was.

The core of that email is as follows.
1 – Don’t quit smoking, ‘outgrow it’

Don’t think of yourself as ‘quitting smoking’ but rather outgrowing it. After all, it was probably something you started to do when you were an adolescent. I’m guessing there are plenty of other things you did back then which you no longer do now. When you were a child and your feet grew, you didn’t have to try hard to stop wearing the shoes that were squeezing your toes. Because you’d outgrown them, it was a relief to discard them. Likewise, people grow out of smoking because it ‘starts to squeeze’; squeezing lungs, heart, and time from the end of life.

Imagine someone protesting that it wasn’t the too small shoes that were causing the discomfort in their feet!

Enhance this sense of outgrowing the smoking by clicking on the link below and listening to your free audio session.


2 – See through the lies

One hundred million people were killed by smoking in the 20th century; killed by something they paid good money for. Many of these poor souls would have been intelligent, decent people, but somehow they remained hooked into a victim/abuser relationship with cigarettes that destroyed them. In order to do self-destructive things, human beings need to have belief systems that ‘make it okay’ to self-destruct. Smokers are no different. Here are more common smoking beliefs:

“Smoking calms my nerves!” Yes, by delivering nicotine through your mucous membranes up into your brain, releasing adrenaline and raising blood pressure within 8 seconds. People may feel more relaxed if they take a break in unison with a cigarette or breathe deeply as they exhale. It is the break and the deep breathing which relax you, not the tobacco.

“Smoking helps me concentrate.” Yes, in short bursts, but like any drug there is a comedown during which your concentration will be poorer than if you hadn’t smoked at all.

“Smoking gives me something to do with my hands.” Well, so does strangulation! What do non-smokers do with their hands? I have worked with other types of self-harmers (cutters) who told me that cutting gave them ’something to do with their hands’.

“Smoking is physically addictive.” But not addictive enough to stop people sleeping for hours at a time without it; or to go on long-haul flights and forget about smoking. Nicotine takes 24 hours to clear from your body and then you’re free.

If you clicked your fingers a thousand times a day for 20 years, every time you had a coffee, every time you finished a meal, or after sex (if you were lucky enough to get any with such a crazy habit), then it would feel weird at first to have the coffee without the clicking. This isn’t physical addiction; it’s just conditioned expectation through repeated association of two behaviours. Of course it’s possible to have a drink without clicking your fingers or smoking. There is no natural association between smoking and finishing a meal. Once these associations die away, you no longer feel addicted.

“Smoking is ‘cool’ or ‘bohemian’.” This one is more easily swallowed by younger smokers. Of course, to make something acceptable when it’s threatening our very existence, it needs to seem ‘cool’. Some kamikaze pilots may have thought it was ’cool‘ or ’honourable‘ to die for their beliefs.

“Smoking punctuates my day.” “I need one after a meal, before and after a meeting, when I get home” and so on… Yes, we all need to ‘punctuate our day’, but we can do this by just taking time out to relax, have a cup of tea, or some other pleasurable activity.

“I could get run over by a bus tomorrow; you’ve got to die of something!” Well, that’s true. In the UK, one in 15,000 people get run down and one in two smokers are killed by smoking. Odds can be tricky things to get your head round.

“My uncle lived to 110, ran marathons, and smoked three packs a day from the age of 3.” Yes and we can remember the phrase: ‘The exception that proves the rule.’

These are some common beliefs (lies!) that smokers have told themselves and one other as a way of dealing with the cognitive dissonance of doing something they know will corrode them or kill them. See through them.
3 – Separate your identity from the smoking

It’s far easier to quit smoking once you see it as entirely separate from you, not as a ‘part of who you are’. It’s no more central to you than a thieving parasite. ’Smoking‘ is not something your body can do unless it’s set on fire. We can digest, oxygenate, eliminate but we cannot smoke – it’s not a human process.

You had years at the start of your life when you didn’t think about it at all but you were still you. When you again become a ‘non-smoker’, your identity doesn’t have to be defined in this way either. You will be you. I don’t canoe but I don’t think of myself as a ‘non-canoeist’.

Remember everybody quits smoking eventually, whether it’s five minutes before they leave this Earth or thirty years. Your relationship with smoking is finite anyway.

Separate your real identity from the smoking.
4 – Remember you only have to deal with three or four cigarettes

Even if you smoke 60 a day, you’ll have noticed that there are only three or four that you really savour.

Maybe it’s the first one of the day, the one after lunch or immediately after work. All the others just ‘slip under the radar’, cheating their way in when you’re not even thinking about them – a rushed one in the car or a hurried cigarette in the rain.

Once you deal with the main cigarettes and hit those on the head, then, like collapsing the pillars, the whole smoking ‘structure’ will collapse easily.
5 – Smoking is not a ‘friend’

If you knew that a person was stealing your money, your looks, your health, and possibly years from the end of your life, then how much of a ‘friend’ would they seem to you? Would you want to associate with them?

Some smokers gaze through rose-tinted (nicotine-stained) glasses at the habit. They see their smoking as something that they can turn to when they are down, as if smoking were a friend they could have a drink and a chat with, be consoled by, have a laugh with. But what kind of friend steals all this and then one day turns around and stabs you in the back?
6 – Don’t become ‘anti-smoking’

I’m not an anti-smoker. Really I’m not. If you hate something, you are still too emotionally involved with it. And if you really think it’s a good deal and can swear you’re not being conned by it, then you should do it. Hate can be as intense as love. When smoking becomes irrelevant to you, then it becomes a non-issue. You don’t ever need to become a boorish anti-smoker.
7 – Watch out for the sweet talk

When a person leaves a relationship, no matter how abusive and destructive it was, there may be times when they feel like backsliding. The liberated person may feel down one evening, or bored, maybe a little drunk. The ex-abuser calls them up, charms them, and says they can’t live without them. And if they weaken then, before you know it, the old abuse has started up all over again.

Be prepared. Smoking will ‘call you up’ during these times and try to charm its way back and manipulate you. Be ready for it. The more you ignore it, the stronger you’ll become and the weaker it will become.

These seven tips for quitting smoking should be read and internalized. You need to make them your own. Why not print them off and read them through – with a cigarette perhaps?

Ted called me up. “Hi, I’ve quit!” he said.

“Quit what?” I said, desperately trying to recall whether this was the Ted who smoked chronically or the Ted who’d been thinking about leaving his job. But then the deep gravelly voice was unmistakable.

“No one takes me for a fool!” he said.
Share this article

7 Steps to Self-Belief

How to develop powerful tools to get your mind on your side
"7 Steps to Self-Belief" courtesy of divemasterking2000


The crowd waits. Surely he’s going to die. How can he survive a dive from such a massive height into a tiny pool of water? But he can fly! – Only he doesn’t yet believe it. He’s been shunned all his life as a freak with gigantic ears. He’s lost his ’magic feather‘ and thinks that without it he can’t fly. Timothy mouse desperately, frantically tells him:

“It’s not the feather, it’s you! You can fly. Forget the feather. It’s time to dive.”

He falls. The crowd gasps. But just as he’s about to smash into the shallow water, Timothy’s words come back to him: “It’s you, Dumbo, not the feather!”

At last he flies! He doesn’t need the feather. Finally truly believing in himself, he escapes the captive circus.

This article is about your escape. How you can disregard ’magic feathers‘ and believe in yourself.
Why you need self-belief

Self-belief is vital. How many things have you not done or tried because you lacked belief in yourself?

Many fail to believe in themselves because others didn’t (take my friend Dumbo). But as Eleanor Roosevelt so deftly put it:

“Nobody can make you feel inferior without your consent.”

Yet self-doubts creep in, don’t they? Like unwelcome house guests that keep calling round simply because you played host to them before. Doubts such as:

Can I really do this?

Other people are better, smarter, more worthy than me.

What will other people think if I do/say this?

I can’t risk failure.

Success is for others but not for the likes of me!

If you sometimes have trouble believing in yourself then read, absorb, enjoy, and practice these self-belief tips.
Tip 1 – Remember self-belief is learnable

Your level of self-belief isn’t set in stone; not unalterable. We can all be flexible and change, even ’fly’. Remember you were born into this world with no sense of what you could or couldn’t do. Then, bit by bit, life started to teach you to limit yourself. A very young child never says: “I’m not the kind of person who could…” They haven’t yet learned to limit their own horizons or listened to people who leak pessimism.

One of the first steps is to re-examine and discard many of the limiting ideas you have about yourself; ideas that you’ve somehow collected along the way.
Tip 2 – Deal with the inner negative voice

When you start to doubt yourself listen, for a moment, to that little negative inner voice. Whose voice is it really? A parent’s, old school bullies? A collection of lots of different voices from different times and people? One thing’s for sure; that little inner self-critical voice wasn’t yours originally. It may masquerade as belonging to you now, but it doesn’t really.

Tell yourself: “This is not my true voice!” Then start to challenge it and also to just plain ignore it.
Tip 3 – Flip a weakness into a strength

Dumbo, our cartoon quadruped, was humiliated by his outsize ears. He hated them at first. But, through time, he came to use them, to fulfil his destiny even, by changing his attitude.

If we just focus on what is not right about ourselves rather than what is, then we miss opportunities for self-belief. We shouldn’t assume there’s nothing to improve about ourselves, but just focusing on perceived weaknesses without either a) taking steps to improve them or b) also giving fair focus toward our strengths gets us nowhere.

For example, if you know that you can be stubborn then find the positive in this. Stubbornness used well is called single-minded determination. If you worry a lot, know that the positive flipside of this is that you have a powerful imagination which, in the right context, can be put to good use.

Take any negative belief you have about yourself and creatively flip it so that it becomes, in its place, a positive resource (think: ’ears/Dumbo‘). You’ll find this exercise fun to do.

The next tip is a favourite of mine:
Tip 4 – Develop your ‘super powers’!

Think of the typical powers of the more popular superheroes and write them down before you start your day. They may be such things as super speed, the ability to climb walls, flight, x-ray vision…whatever. Why do I suggest this? Because ‘priming’ your mind with qualities and positive characteristics can actually determine your behaviour.

Not that you’ll start flying to the rescue of stranded citizens, but the pattern of superhero powers is one of ability, courage, and competence. In one study, people asked to write down as many super powers as they could think of were more likely to give to charity months afterwards. The pattern of giving to charity is that of being able. Prime your mind with ‘able words’ before you start each day.

As well as superhero powers, write all kinds of other positive characteristics (whether you think you have them or not). Do this before you go out. For example, I might write:

Strength

Dignity

Calm

Intelligence

Humour

Generosity

Quick wittedness

Charisma

Sex appeal

Approachability

Popularity

Determination

And so on. I’m not just asking you to focus on your own present or even future qualities here, but just on the words. Take a few moments writing them down each day, then a few moments running your eyes up and down your list (it doesn’t matter if it’s a similar list each day). Really reflect upon what each word means to you.

You’ll be amazed how doing this will powerfully prime your unconscious mind.
Tip 5 – Be your own motivational coach

If you notice doubts rearing their ugly heads, imagine you (the clear-headed part of you) are the coach and the anxious part of you is the person you need to talk to.

Think what you’d say to someone you really believe in if they started showing doubts. Sit down and say those same things to yourself. So if you are about to go for a job interview and you ’hear yourself‘ starting to express doubts, take a few moments to sit down, close your eyes, and coach yourself:

“Look, you can do this! It’s natural to feel a little anxious, but that just means you care about what you’re doing! You’ve got all the relevant experience and qualifications! Now get in there and stop whinging! Even if you don’t get this job, you’re going to make me proud by giving it your best shot!”

Picture the decent, friendly, straight-talking coach in your mind. Is it someone you know or would like to know? Talking to yourself in these times as if you were another person (in the privacy of your mind J) can ramp up your confidence fast.
Tip 6 – Do ‘hero training’

Hero training is a great way to increase your own self-belief.

I once treated a young boy for emitaphobia – fear of, in his case, other people vomiting. He told me about a time his sister had been sick and how terrified he’d been. Later I discovered he loved Arnold Schwarzeneggermovies. We talked about how Arnie would have coped with his sister being sick and I got this little boy to hypnotically watch the Austrian muscle man heroically dealing with other people vomiting. I then got this little boy to strongly imagine that he was Arnie and what it was like to deal with sickness and so on.

He overcame what had been a severe phobia by ’borrowing‘ the traits of his hero and making them his own. It was easier for this little boy to believe in Arnie dealing with other people being sick than it was to imagine himself dealing with it.

Bit by bit, he transferred the cool, calm, collected, decisive action from his hero to himself.

Think of a situation in which lack of self-belief holds you back. Now think of your ’hero‘ – who could be a world leader, a movie hero, or the guy or gal down the street. Now close your eyes and strongly imagine them dealing with the situation ’heroically‘. Now imagine being them for a few moments, experiencing that time in their shoes. Keep doing this until you notice you can start to transfer a sense of their qualities to yourself.
Tip 7 – Create a powerful vision of yourself

Self-belief comes not just by trying to convince yourself you can do stuff. True self-belief actually comes from developing the vision that you can relax socially, start that business, write that book, or whatever it is you need to believe you can do or be.

Get into the habit of sitting down, closing your eyes, and watching yourself behaving decisively, calmly, and strongly. This powerful visualization exercise means you can learn from yourself how to be confident, have self-belief, and behave in ways which maximize chances of success. Imagine you are viewing yourself on a TV screen. The ‘you’ in the screen is showing the you watching how to act with self-belief. The more you do this, the more you’ll find that you’ll quite naturally start to become like the ’you‘ in the movie.

Or let me do it for you by clicking on the free audio link at the bottom of the page.



Self-belief doesn’t mean arrogance or blindness to one’s own shortcomings. Then again, it doesn’t mean believing that you are perfect as you are, either. Your self-belief really needs to be focused on what you will become. And an important part of self-belief comes from knowing your weaknesses and being relaxed about them.

Self-belief gives you the freedom to make mistakes and cope with setbacks by seeing them for what they are: temporary setbacks, not the end of the world. And something else you’ll notice: As your self-belief grows, people around you start to believe in you more, too. Because it really isn’t the feather – it’s you.
Share this article

Wednesday, February 29

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Kampeni ya kupunguza umri wa urais haina uhusiano na mimi kutaka kugombea urais 2015 by zittokabwe

Kampeni ya kupunguza umri wa urais haina uhusiano na mimi kutaka kugombea urais 2015
Baadhi ya vyombo vya habari vimehusisha kauli yangu ya kutaka kupunguza umri wa kugombea urais na mimi ‘kuutaka urais’. Mimi nikiwa mwanachama na kiongozi wa chama chama changu cha CHADEMA naelewa na kuziheshimu taratibu na kanuni tulizojiwekea za kuomba nafasi mbalimbali za uongozi, ikiwemo nafasi ya urais. Nafasi ya uongozi ndani ya CHADEMA haiombwi kwenye warsha. Iwapo chama change, wakati muafaka ukifika na kutokana na matakwa ya jamii, kikiona nipewe jukumu lolote sitasita kutekeleza wajibu huo niwe au nisiwe mgombea.
Kwa hivyo, nilichozungumza jana ni kutoa maoni yangu kwamba muda umefika kwa Taifa letu kupunguza umri wa kugombea urais. Maoni yangu haya yanatokana na ukweli kwamba hakuna sababu zozote za kisayansi zinazomfanya mtu aliye chini ya umri wa miaka 40 akose sifa za kuwa Rais. Msimamo huu nimekuwa nao tangu zamani nikisoma shule na haujawahi kubadilika. Hakuna mahala popote katika maoni yangu niliyotoa jana niliposema kwamba nataka umri wa urais upunguzwe ili nipate fursa ya kugombea nafasi ya urais. Pia siwezi kutaka katiba iandikwe kwa ajili yangu. Vilevile kamwe isionekane kwamba matakwa ya muda mrefu ya vijana ya kutaka umri wa kugombea Urais kupunguzwa yanalenga kunipa fursa mimi kwani mimi ni binaadamu naweza nisiwe na sifa za kuwa Rais lakini kukawa na vijana wengine wengi wenye umri chini ya miaka 40 wenye Uwezo na Uzalendo wa kutosha kushika usukani wa nchi yetu. Ni maoni yangu kwamba tupate mabadiliko ya vizazi katika uongozi wa nchi yetu ili kukabili changamoto za sasa zinazokabili Taifa letu.
Tunapojiandaa kutoa maoni kuhusu Katiba Mpya ni vizuri vyombo vya habari vikajikita kutoa taarifa bila kuweka tafsiri au kuwatafasiria maoni ambayo wananchi na viongozi watakuwa wanayatoa kuhusu maudhui ya Katiba Mpya.

Saturday, February 18

Kiama posho serikalini chaja


POSHO za vikao ambazo mjadala wake umechukua takriban mwaka mmoja sasa, huenda zikafikia ukomo mwaka huu kutokana na kuwapo kwa taarifa kwamba wabunge wamepania kuzifuta katika Bajeti ya mwaka ujao wa fedha.

Habari ambazo zimelifikia gazeti hili kutoka bungeni na serikalini zinasema Tume ya Huduma za Bunge tayari imeanza kujadili suala hilo na kwamba uamuzi ni kuanza kufuta posho za vikao kwa wabunge ambazo ni Sh70,000 kwa siku.
Taarifa za kuwapo kwa mpango huo zimekuja siku chache tangu Rais Jakaya Kikwete alipokataa kuidhinisha mapendekezo mapya ya posho za vikao kwa wabunge kutoka kiasi hicho cha Sh70,000 hadi Sh200,000 kwa siku.

Ikiwa uamuzi huo utatekelezwa, utakuwa ni ‘ushindi’ kwa wabunge ambao waliasisi vita dhidi ya posho za vikao kiasi cha kusababisha tofauti za wazi na wabunge wenzao ambao wamekuwa wakiwatuhumu kwamba wanatafuta umaarufu wa kisiasa.

Miongoni mwa wabunge hao ni Mbunge wa Bumbuli (CCM), ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, January Makamba na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Zitto Kabwe.

Mwingine ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ambaye aliwahi kuziita posho za vikao kuwa ni wizi wa kitaasisi ulioasisiwa hali ukiwa hauna tija kwa Taifa na badala yake kupoteza fedha nyingi za Serikali.
Mmoja wa viongozi waandamizi wa Bunge ambaye hakutaka jina lake liandikwe gazetini alisema suala la wabunge kufuta posho za vikao tayari limeanza kujadiliwa na Tume ya Huduma za Bunge ambayo Mwenyekiti wake ni Spika Anne Makinda.
“Kuanzia mwaka ujao wa fedha tunataka kuacha kabisa kulipwa posho za vikao (sitting allowance), kwa hiyo hata hiyo Sh70,000 hatutachukua itakuwa ni ziro kabisa maana tumechoka kuandamwa,” alisema kiongozi huyo na kuongeza:
“Lakini wakati tukifanya uamuzi huo, serikalini, mahakamani na katika mashirika mengine ya umma nako wajiandae, hakuna bajeti yoyote ya posho za vikao itakayopitishwa na hili tutaanza kuwapa maelekezo rasmi wakati wa vikao vya mipango ya bajeti mwezi Aprili mwaka huu.”

Spika wa Bunge, Makinda alipotafutwa juzi na jana kuzungumzia taarifa za taasisi yake kuweka mkakati wa kufuta posho hizo, simu yake ya kiganjani ilikuwa ikiita kwa muda mrefu bila majibu.
Kwa upande wake Naibu Spika, Job Ndugai alipoulizwa iwapo kuna mpango wa wabunge kusimamia kufutwa kwa posho zote za vikao ndani ya Bunge, serikalini na katika Idara ya Mahakama hakukanusha wala kuthibitisha suala hilo, badala yake akashauri kwamba: “usubiriwe wakati mwafaka.”

Alipoulizwa wakati mwafaka ni upi alisema: “Mimi nadhani suala la posho linachosha, hakuna jambo jingine la kuzungumza ina maana ni posho tu? Tumesema sana kama ni kuhusu kufutwa basi mimi nadhani tusubiri wakati mwafaka, wakati wa bajeti maana mchakato wake unaanza Aprili, tusubiri tutapata majibu mwafaka,” alisema Ndugai ambaye amekuwa msemaji wa suala hilo kwa muda mrefu sasa.

Serikalini nako
Wakati wabunge wakiwa wameanza mchakato huo wa kufuta posho, Serikali nayo inatajwa kwamba iko katika mchakato wa kufuta malipo hayo ambayo yamekuwa yakitajwa kwamba hayana tija kwa nchi.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Ramadhani Kijja alisema juzi kuwa: “Ninachofahamu mimi ni kwamba posho ziko nyingi siyo posho za vikao tu, kwa hiyo ni kweli kwamba Serikali inazipitia zote ili kuzihuisha na baadaye kufanya uamuzi sahihi, lakini sasa si rahisi kujua ni uamuzi gani utakaofikiwa.”

Kijja alisema mapitio yatakayofanywa na wataalamu serikalini yatalenga kubaini aina za posho zilizopo, tija yake katika utekelezaji wa kazi za umma na hatimaye kuamua ni zipi zibaki, zifutwe au kuongezwa kwa kuzingatia mapendekezo ya wataalamu.

Katibu Mkuu huyo aliongeza: “Hata kama zipo zitakazobaki mapendekezo ya wataalamu yatatuambia iwapo zinahitaji kuongezwa au la, tusubiri wataalamu wakimaliza kazi basi tutafahamu uamuzi wa Serikali utakuwa ni upi.”

Wakati wa Bunge la Bajeti la Juni mwaka jana, Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo alisema: “Suala la kupunguzwa kwa posho zisizokuwa na tija ni sehemu ya mpango wa Serikali kupunguza matumizi.”
Licha ya kutoa kauli hiyo, Mkulo pamoja na wabunge kadhaa, walisikika wakiwabeza wenzao waliokuwa wakipinga kuwapo kwa posho za vikao kwa maelezo kwamba wanajitafutia umaarufu wa kisiasa.

Miongoni mwa mabishano yaliyowahi kutokea baina ya pande zinazopingana kuhusu suala hilo yalihusu fedha za posho katika bajeti ya 2011/12 pale Zitto aliposema kuwa Serikali ilitenga kiasi cha Sh987 bilioni kwa ajili ya malipo ya posho mbalimbali na kati ya hizo Sh360 bilioni ni malipo ya posho za vikao (sitting allowance), huku wabunge wakitengewa kiasi cha Sh11 bilioni.

Kiasi cha Sh360 bilioni kinachodaiwa kutengwa kwa ajili ya fedha za vikao kinatosheleza kujenga vyumba 30,000 vya madarasa ikiwa chumba kimoja kinagharimu Sh12 milioni. Pia kiasi hicho cha fedha kinatosheleza kugharamia barabara ya lami yenye urefu wa kilometa zipatazo 400.

Hata hivyo, Mkulo alikanusha madai ya kutengwa kwa kiwango hicho cha fedha kwa ajili ya posho pale aliposema kwamba posho zote kwa ujumla wake katika bajeti ya mwaka 2011/12 ni Sh352.75 bilioni na kwamba kati ya hizo posho za vikao ni Sh25.68 bilioni huku wabunge wakipata Sh4.92 bilioni.

Mbowe, Makamba na Zitto
Mbowe na January kwa nyakati tofauti wiki hii walisema hawafahamu kuwapo kwa mpango wa kufutwa kabisa kwa posho za vikao, isipokuwa Zitto ambaye alisema amesikia tetesi kwamba Tume ya Huduma za Bunge inalifanyia kazi suala hilo.
Alisema utoaji wa fedha za vikao uliasisiwa na Bunge umesambaa katika taasisi nyingine za umma na kusababisha watendaji kutunga semina na vikao vingi ilimradi wanapata posho huku kazi nyingine zikiendelea kulala.
“Huu ni wizi wa fedha za umma ambao umeasisiwa na sasa unaathiri utendaji katika mfumo mzima wa Serikali, si fedha tu kwani hata kazi zinalala kwani watendaji wote wanakimbilia kwenye vikao vya kutunga kwa sababu kuna posho na si vinginevyo,” alisema Mbowe.

Mbowe aliongeza kuwa kama suala ni mishahara midogo hilo ni jambo linalozungumzika na kwamba Serikali inaweza kujenga hoja na kupandisha mishahara kwa kiwango kinachowezesha watumishi wa umma wakiwamo wabunge kujikimu, lakini si kuweka posho ambazo zinawanufaisha watu wachache na kujenga matabaka miongoni mwa watumishi wa umma.
“Mimi ninaamini watumishi wote wa umma wakiwamo wabunge tunapaswa kulipwa vizuri, kwa hiyo tujenge hoja za malipo mazuri kwa watumishi wote wa ujumla, lakini si kuanzisha posho za vikao kwa kisingizio cha malipo kuwa kidogo halafu hao wengine wadogo wanahudhuria kikao gani?”

Kwa upande wake Zitto alisema: “Nimesikia kwamba kuna mpango huo wa kufuta posho, kama upo ni hatua kubwa sana tutakuwa tumepiga. Msimamo wangu uko palepale kwamba posho za vikao siyo tatizo kwa wabunge tu hata kwa watumishi wengine wa umma na mashirika ya umma.”

Alisema hatua ya Rais Jakaya Kikwete kutoidhinisha nyongeza ya posho za wabunge kama walivyokuwa wamependekeza, ni ushindi wa awali ambao hauna budi kusambazwa katika maeneo mengine kwa kufuta malipo hayo katika mfumo mzima wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa na mashirika yote ya umma.

Naye Makamba alisisitiza kwamba msimamo wake kwamba posho ni tatizo katika mfumo wa utumishi wa umma upo palepale na kwamba ikiwa Bunge litaamua kwamba zifutwe litakuwa ni jambo jema.

“Sifahamu kuhusu mpango wa kufutwa kwake, ila sisi wengine mnatufahamu. Msimamo wangu hauwezi kubadilika katika hili kwa hiyo kama wenzetu wanaungana na sisi kwamba posho hizi za viko zifutwe litakuwa ni jambo jema sana mimi nitakuwa wa kwanza kuliunga mkono,” alisema na kuongeza:

“Nadhani kama kweli hilo lipo na likifanyika kwa nia ya dhati nina hakika tunaweza kusonga mbele kwa ajili ya masuala mengine muhimu badala ya kila siku kubishana kwa mambo ambayo yako wazi”.

Ardhi ya Tanzania yazidi kuumiza wanachama EAC Send to a friend Friday, 17 February 2012 21:13 0 digg Keneth Goliama MVUTANO kuhusu suala la ardhi umeibuka jana katika mkutano wa wataalamu wa kamati za Serikali Kanda ya Afrika Mashariki uliojadili madini, baadhi ya nchi zimepinga kuingiza ardhi kwenye mambo yanayoshughulikiwa na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Wakichangia katika mkutano huo kwa nyakati tofauti, wajumbe walisema itakuwa ngumu kwa baadhi ya nchi kuingia kuingiza suala hilo kwenye mambo ya EAC, kwa sababu bado ndani ya nchi hizo kuna migogoro ya ardhi. Wakati baadhi ya wajumbe wakipinga hilo, wengine kutoka Uganda walisema haiwezekani nchi wanachama kuogopa kuingiza suala hilo kutokana na kuonyesha maendeleo mazuri. Hata hivyo, wajumbe kutoka nchi ya Kenya walionyesha wasiwasi wa uharaka wa kuingia kuingiza ardhi kwenye masuala ya EAC kutokana na mapigano yanayotokea ndani ya baadhi ya nchi wanachama. “Itakuwa ajabu kuingiza shirikisho la ardhi katika jumuiya wakati nchi za Rwanda Burundi na Tanzania zikionyesha kuwa na ugomvi wa ardhi na wawekezaji,” alisema Mkuu wa Sera ya Mipango na Ardhi kutoka Ethiopia, Dk John Kangwanja. Dk Kangwanja alisema kama hatua hiyo itafikia, kuna nchi zinaweza kuathirika kwa kiasi kikubwa kutokana na migogoro ambayo inaendelea kujitokeza baina ya wazawa na wawekezaji. Wakati suala hilo lilipokuwa likizidi kuzua mvutano kwenye ukumbi, wawakilishi wa Tanzania wakiongozwa na Naibu Waziri wa Fedha, Gregory Teu, walionekana kutochangia chochote huku waziri akiulizwa suala hilo kutoa maelezo alijibu kuwa hana maelezo. Wachiangiaji hao walisema Sheria ya mwaka 1995 na Sera ya Ardhi ya Tanzania, inapishana kwa kiasi kikubwa kutokana na kupitwa na wakati.Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), Profesa Lucugga Kironde, alisema Tanzania ikikubali kuingiza suala hilo, itarajie kukumbwa na migogoro mikubwa kutokana na nchi nyingi za jumuiya hiyo zinanyemelea baada ya kwao kukumbwa na uhaba. Profesa Kironde alisema haiwezekani Tanzania ikiingia kwenye shirikisho bila kufanya marekebisho ya sheria ya ardhi, Watanzania wataendelea kuonekana maskini huku wachache kutoka EAC wakinufaika. “Afrika ina rasilimali za kutosha kila mahali hasa madini,umefika wakati kufuatilia kwa makini sheria ya ardhi ili mikataba ya nchi iweze kunufaisha wazawa kutokana na kumiliki ardhi,” alisema Profesa Kironde.


MVUTANO kuhusu suala la ardhi umeibuka jana katika mkutano wa wataalamu wa kamati za Serikali Kanda ya Afrika Mashariki uliojadili madini, baadhi ya nchi zimepinga kuingiza ardhi kwenye mambo yanayoshughulikiwa na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Wakichangia katika mkutano huo kwa nyakati tofauti, wajumbe walisema itakuwa ngumu kwa baadhi ya nchi kuingia kuingiza suala hilo kwenye mambo ya EAC, kwa sababu bado ndani ya nchi hizo kuna migogoro ya ardhi.
Wakati baadhi ya wajumbe wakipinga hilo, wengine kutoka Uganda walisema haiwezekani nchi wanachama kuogopa kuingiza suala hilo kutokana na kuonyesha maendeleo mazuri.

Hata hivyo, wajumbe kutoka nchi ya Kenya walionyesha wasiwasi wa uharaka wa kuingia kuingiza ardhi kwenye masuala ya EAC kutokana na mapigano yanayotokea ndani ya baadhi ya nchi wanachama.

“Itakuwa ajabu kuingiza shirikisho la ardhi katika jumuiya wakati nchi za Rwanda Burundi na Tanzania zikionyesha kuwa na ugomvi wa ardhi na wawekezaji,” alisema Mkuu wa Sera ya Mipango na Ardhi kutoka Ethiopia, Dk John Kangwanja.

Dk Kangwanja alisema kama hatua hiyo itafikia, kuna nchi zinaweza kuathirika kwa kiasi kikubwa kutokana na migogoro ambayo inaendelea kujitokeza baina ya wazawa na wawekezaji.

Wakati suala hilo lilipokuwa likizidi kuzua mvutano kwenye ukumbi, wawakilishi wa Tanzania wakiongozwa na Naibu Waziri wa Fedha, Gregory Teu, walionekana kutochangia chochote huku waziri akiulizwa suala hilo kutoa maelezo alijibu kuwa hana maelezo.

Wachiangiaji hao walisema Sheria ya mwaka 1995 na Sera ya Ardhi ya Tanzania, inapishana kwa kiasi kikubwa kutokana na kupitwa na wakati.Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), Profesa Lucugga Kironde, alisema Tanzania ikikubali kuingiza suala hilo, itarajie kukumbwa na migogoro mikubwa kutokana na nchi nyingi za jumuiya hiyo zinanyemelea baada ya kwao kukumbwa na uhaba.

Profesa Kironde alisema haiwezekani Tanzania ikiingia kwenye shirikisho bila kufanya marekebisho ya sheria ya ardhi, Watanzania wataendelea kuonekana maskini huku wachache kutoka EAC wakinufaika.

“Afrika ina rasilimali za kutosha kila mahali hasa madini,umefika wakati kufuatilia kwa makini sheria ya ardhi ili mikataba ya nchi iweze kunufaisha wazawa kutokana na kumiliki ardhi,” alisema Profesa Kironde.

Friday, February 17

zambia

Zambia fulfills destiny and wins Africa Cup of Nations

Zambia won their first African title after beating Ivory Coast 8-7 on penalties during the final match of the Orange Africa Cup of Nations played at Stade de l’Amitie in Libreville, Gabon. The match had ended goalless after extra time with Didier Drogba missing a penalty in the 69th minute during a pulsating game befitting a final.

Tiote, Bony, Bamba, Gradel , Drogba, Tiene, Ya Kona, converted for Ivory Coast and Kolo Toure and Gervinho missed while Chris Katongo, Mayuka, Chansa, Felix Katongo, Mweene, Sinkala, Lungu converted for Zambia while Kalaba missed before Stoppila Sunzu won it for Zambia.

Zambian goalkeeper Mweene was brilliant throughout the game and deservedly saved Kolo Toure’s spot kick leaving the Elephants still searching for an African title since 1992.

After an impressive closing ceremony display which thrilled the 28th edition of Orange Africa Cup of Nations had kicked off on an equally upbeat tempo with Zambian captain Christopher Katongo forcing Ivorian defender Siaka Tiene to concede a corner kick in the first minute of the game. Zambia worked out a well laid set piece that could have seen the fastest goal but Nathan Sinkala shot was too close to Barry Copa in goal for the Ivorians who dived to his right and smothered the shot hit from inside the box.

Zambia was forced to pull out Joseph Musonda through injury in the 10th minute to be replaced by Henri Nyambe Mulenga and Chipolopolo maintained their early domination of the Elephants. Emmanuel Mayuka headed onto the roof of the net after Chisamba Lungu had found him with a chip as Zambia continued attacks on Ivorian goal.

Ivory Coast’s best chance could have brought the game’s opening goal. One swift move in the 29th minute ended up with Didier Drogba shook off a defender before back heeling to Yaya Toure but the midfielder side footed past Kennedy Mweene’s right-hand post missing the goal by mere centimeters. Zambia had the crowd cheering as their neat passing game left the Elephants second best for the greater part of the first half. Katongo, Mayuka, Chansa and Sinkala a constant menace to the Ivorian back four. The Ivorian midfield of Chiek Tiote, Yaya Toure. Didier Zokora and Kalou was struggling to keep up with the nimble Zambia midfield anchored by Rainford Kalaba

Ivorians started the second half more attack minded and went close from a free-kick after Sinkala fouled Souleyman Bamba . The chip from Tiote was flicked on just beyond on rushing Yaya Toure at the far post. Gervinho came alive on the right flank and was soon making some fruitful runs as the Elephants woke up from their slumber.

Ivorians were awarded a penalty in the 69th minute after Gervinho went down under a challenge from Chansa. Drogba sent his effort over the cross bar and the drama at Stade de l’Amitie continued. At the other end Katongo’s rode a couple of tackles but he did not get the free-kick he was looking for from a Zokora challenge as another Chipolopolo chance went begging. Both coaches Herve Renard for Zambia and Francois Zahoui made changes as the game approached the last twenty minutes. Felix Katongo replaced Henri Nyambe Mulenga while Zokora made way for Didier Ya Konan.

With minutes remaining Ivory Coast almost won it when a flick on from substitute Wilfried Bony who replaced Yaya Toure, found another substitute Max Gradel but he dragged his shot wide as keeper Mweene came off his line.

Zambia were denied by a goal saving timely tackle from Kolo Toure in added time as Mayuka ran onto a delightful ball played in by Chansa. Just as Mayuka was about to shoot Kolo toe-pocked the ball away and the match went into extra time and penalties before Sunzu scored the winning penalty that gave the Southern African side their first title after appearing in their third final.

Tuesday, February 7

Juma Nature avunja ukimya


JUMA Nature amevunja ukimya na kurejea kwa kishindo kwenye muziki ambapo amesisitiza kuwa mwaka huu amepania kuachia kazi za nguvu pamoja na shoo zisizokwisha za Afrika Mashariki kufufua soko lake.

Msanii huyo mahiri wa Bongo ambaye ni kiongozi wa Wanaume Halisi amesema kundi hilo limekamilisha albamu yao ambayo wataitaja miezi michache ijayo, lakini baadhi ya nyimbo tayari zipo redioni zikifanya vizuri.

Muda mwingi nilitulia na wenzangu tulikuwa tunaangalia upepo unavyokwenda na jinsi ya kuibuka tena na kufanya mambo ya uhakika zaidi, kukubalika na mashabiki hasa wa Afrika Mashariki, hatuangalii Tanzania peke yake. Albam za awali za Nature ni 'Nini chanzo' (2001), 'Ugali' (2003), 'Ubinadamu kazi' (2005), 'Zote story' (2006) na 'Tugawane Umaskini' (2009).

Staa huyo alisema kwa ushirikiano wa Dollo, Richie One, JB aliyekuwa Mabaga Fresh, Bob Q, D. Chief, Malipo, Kaka Man, Mzimu na Eddo wanakuja na kazi za mseto ambao mashabiki watajionea tofauti na kuamua.

Nyimbo ambazo tayari zimekamilika ni 'TMK', 'Able' na 'Mguu nje Mguu ndani remix' ambapo kazi kubwa imefanywa na Dolo, KR Mullah na JB.

Nature anasema Halisi Studio ni mali yake na itatumika kutengeneza kazi nyingi zake binafsi na kundi.
Amekiri kuwa studio yake ni ya kawaida kwa mtazamo wa haraka lakini ina vifaa vichache vyenye uwezo mkubwa na baadhi ya wasanii wameanza kufanyia kazi na wanataka kujiondoa katika mfumo wa kutegemea studio za watu.

Studio ipo wazi kwa wasanii wote na siyo Mwanaume Halisi pekee,anasema Nature na kuongeza kuwa licha ya yeye kuwa ndiye prodyuza, lakini wenzake katika kundi pia wanafanya kazi hiyo na wana mpango wa kumpata mtaalam zaidi.

Msanii huyo ambaye kesho jumapili atakuwa na shoo ya pamoja na msanii wa Kenya, Nameless kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala jijini Dar es Salaam, alisema; Hii shoo imekuja wakati muafaka kwani hata sisi tunataka kujipima baada ya kujifua kwa muda mrefu.

Thursday, February 2

Posho za wabunge mjadala kila kona - Mwananchi


DK SLAA ATAKA RAIS AZIFUTE, CAG AZISHANGAA, PINDA, MAKINDA WATAKIWA KUJIUZULU
KITENDO cha Rais Jakaya Kikwete kumruka Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Spika wa Bunge, Anne Makinda kuhusu posho za wabunge, kimeibua mjadala mzito nchini, huku wasomi na wanasiasa akiwamo Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa wakimtaka mkuu huyo wa nchi azifute na kulivunja Bunge mara moja kuthibitisha msimamo wake. Juzi, ikiwa ni siku moja baada ya Pinda kusema tayari Rais Kikwete amesaini kuidhinisha ongezeko la posho za vikao (sitting allowance) za wabunge kutoka Sh 70,000 hadi Sh200,000 kwa siku, Ikulu ilitoa taarifa ikisema Rais Kikwete hakuwahi kusaini nyongeza hiyo bali alitaka Waziri Mkuu atumie busara katika kupatia suluhu suala hilo.

Wakati Ikulu ikitoa taarifa hiyo juzi jioni, tayari mchana wa siku hiyo, Spika wa Bunge, Anne Makinda aliitisha mkutano wa waandishi wa habari na kusema, "Siyo kwamba tutaanza kutoa, tulishaanza kutoa na Rais ameshatoa kibali chake na mbunge atalipwa katika vikao tu, si kila siku na tena baada ya kukaa kwenye vikao na kusaini."

Mgongano huo wa kauli kuhusu posho hizo ulijitokeza tangu Novemba mwaka jana baada ya Mwananchi kuripoti kwa mara ya kwanza kwamba wabunge waliongezewa posho na Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashillilah kukanusha, akisema Rais hakuwa ameziidhinisha. Hata hivyo, siku tatu baadaye, Spika Makinda alithibitisha juu ya wabunge kuanza kulipwa viwango hivyo vipya vya posho akisema, Rais Kikwete tayari alishaidhinisha zilipwe kwa wawakilishi hao.

Jana, kwa nyakati tofauti wakizungumzia utata huo watu wa kada mbalimbali wakiwamo viongozi wa dini, wanasiasa na wasomi, walielezea mkanganyiko huo kama kitendo cha hatari katika kipindi hiki ambacho nchi inatikiswa na mgomo wa madaktari.

Wanasiasa Katibu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alienda mbali zaidi kwa kusema kutofautiana kwa viongozi hao wa Serikali na Bunge kuhusu suala la posho mpya za wabunge, ni sawa na kutokuwa na Serikali.

Alifafanua kwamba posho hizo ni sawa na bomu ambalo limetegwa na sasa linakaribia kulipuka wakati wowote. “Rais na Waziri Mkuu wanatofautiana kuhusu posho, hivi hapo kuna Serikali kweli? Ndiyo maana tunasema posho hizi ni bomu litakalolipuka wakati wowote,” alionya Dk Slaa. Dk Slaa alisema wabunge hao kulipwa posho ya Sh330,000 huku wakiwa wamekaa kwenye viyoyozi wakati madaktari wanafanya kazi katika mazingira magumu ni laana. “Laana hii, ndiyo inawafanya Rais Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wanatofautiana na bado wasubiri sasa bomu litakalolipuka,” alisema Dk Slaa.

Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Julius Mtatiro alisema Rais Kikwete anatakiwa kulivunja Bunge kwa kitendo hicho cha taasisi hiyo kujiongezea posho kinyemela. “Kama ingekuwa enzi za Mwalimu Julius Nyerere, kitendo hicho kilichotokea cha kujiongezea posho kingesababisha Bunge kuvunjwa, lakini, kwa Rais wetu mambo yataendelea kama kawaida,” alisema Mtatiro.

Kwa upande wa CCM, kimetoa tamko kikisema huu si wakati wa kupandisha posho na kupongeza hatua ya Rais Kikwete kuweka mambo wazi kwamba hakuzithibitisha. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nauye alisema jana katika taarifa yake kwa vyombo vya habari kuwa huu si muda mwafaka kwa wabunge kujiongezea posho.

CAG abaki mdomo wazi Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG), Ludovick Utouh alisema kuwasilishwa kwa taarifa za mchanganyiko kuhusu posho za wabunge kunachanganya wananchi. Akizungumza na Mwananchi jijini Dar es Salaam jana, Utouh alisema wabunge hawawezi kulipana posho bila Rais kuidhinisha.

“Ninachojua mimi ni kwamba, Serikali haiwezi kulipa wabunge bila ya fedha kuidhinishwa na Rais na kwamba hakuna kibali kinachotolewa zaidi yake, kutokana na hali hiyo taarifa zao zinatuchanganya,"alisema Utouh. Viongozi wa dini Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Yuda Thadeus Ruwaichi, alisema kugongana kwa kauli hizo, kunatoa taswira kwamba kuna jambo linafichwa kuhusu suala hilo. “Kugongana kwa hizi kauli kunaonyesha wazi kuwa, kuna kitu kimejificha hapa..., ni vyema ukweli ukaelezwa,” alisema Ruwaichi.

Alisema kuongeza posho za wabunge katika wakati huu ambapo kuna kada nyingi za utumishi wa umma kama walimu na madaktari wakiwa na hoja ambazo hazijapatiwa majibu, hakuleti taswira nzuri kwa Serikali. “Huku kunaonyesha kwamba, hakuna busara katika kufanya maamuzi ya mambo mazito yanayohusu hatima ya taifa hili. Kuchukua uamuzi kama huu wakati huu ambao watumishi wengi wa umma kama madaktari na walimu wana madai mbalimbali, siyo busara kabisa,” alisisitiza Ruwaichi.

Shekhe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhaji Alhad Mussa Salim alisema kauli hizo tata za viongozi si ishara nzuri kwa mustakabali wa taifa. “Mgongano wa kauli za viongozi siyo sura nzuri. Tunashangaa kuona Mtendaji Mkuu akisema tofauti na bosi wake hiki ni kitu cha kushangaza," alisema Salim.

Wasomi Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk Benson Bana alisema kama viongozi hao wa Serikali wanatofautiana kuhusu posho ni ishara kwamba kuna mtikisiko mkubwa wa kiutendaji. Alisema, “Pamoja na kwamba sijafuatilia vizuri viongozi hao kutofautiana katika suala la posho, dalili zinaonyesha kwamba kuna matatizo makubwa katika mihimili hiyo miwili,” alisema Dk Bana. “ Sina tatizo kama wabunge wakiongezewa mishahara yao, lakini kulipwa posho wakiwa kazini ni makosa makubwa,” alisema.

Mhadhiri mstaafu wa Chuo cha Ushirika Moshi, Akwiline Kinabo aliwataka wabunge na Serikali kusoma alama za nyakati kwani posho hizo za wabunge zimewaudhi wananchi kwa kiwango cha kutisha.

Wanasheria, wanaharakati
Mkurugezi Mtendaji wa Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC), Hellen Kijo-Bisimba alisema utawala wa sheria haupo au umekufa kabisa. " Haiwezekani leo mhimili mmoja useme posho za wabunge zimepitishwa, halafu kesho yake mwingine ukanushe, sasa nchi inakwenda wapi?’’ alihoji Bisimba. Wakili wa kujitegemea, Harold Sungusia alisema tatizo kubwa lipo katika Katiba ya nchi ambayo imeshindwa kuonyesha mgawanyo wa madaraka ulipo katika mihimili yetu mitatu ya dola.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Fordia, Buberwa Kaiza amemtaka Rais Kikwete kufuta posho hizo ili kuthibitisha madai yake kwamba hajazibariki.

“Kauli hizi zinawachanganya wananchi maana haiwezekani Rais atoe msimamo wake halafu kiongozi wa chini yake apinge tamko la Rais, ni dhahiri kwamba Rais anaonekana kushindwa kutekeleza wajibu wake na kusimamia mamlaka yake kwa madaraka aliyonayo,”alisema Kaiza.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa), kimemtaka Rais aeleze ni wapi wabunge wamepata idhini ya kupitisha posho badala ya kusema tu kwamba hajazibariki na kukaa kimya.

“Haiwezekani wabunge wajipitishie posho bila idhini ya Rais, maana hapa Serikali inataka kutuchanganya tu. Waziri Mkuu ni kiongozi wa Serikali, Rais ni kiongozi wa Serikali, lakini kila mmoja anasema lake, hii maana yake nini?" alihoji Mkurugenzi wa shirika hilo, Ananilea Nkya

Mjini Moshi, baadhi ya wakazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro wamemtaka Waziri Mkuu na Spika Makinda wajiuzulu kwa kuwaongezea wabunge posho bila idhini ya Rais. Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, walisema Pinda anapaswa kujiuzulu kwa kuwa ameidhalilisha Serikali na Makinda kwa sababu amewasaliti Watanzania maskini.

“Angalau kwa hili Rais ametukuna, lakini bado tunataka Pinda na Makinda wajiuzulu kwa kutoa kauli za kuudhi eti gharama za maisha zimepanda kwa wabunge ndiyo maana posho zipande,”alisema mmoja wa wakazi hao.

Habari hii imeandaliwa na Gedius Rwiza, Patricia Kimelemeta, Fredy Azzah, Raymond Kaminyoge, Shakila Nyerere, Daniel Mwingira, Dar, Moses Mashalla, Arusha na Daniel Mjema, Moshi.

Tuesday, January 31

JK abariki posho mpya za wabunge

KILA MMOJA KULIPWA 330,000 KWA SIKU, ZITTO, MAKAMBA, KIGWANGALA WASULUBISHWA KWA KUZIPINGA

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema tayari Rais Jakaya Kikwete amesaini kuidhinisha ongezeko la posho za vikao (sitting allowance) kwa wabunge kutoka Sh70,000 hadi Sh200,000 kwa siku. Kupitishwa kwa posho hizo ambazo ziliandikwa kwa mara ya kwanza na gazeti hili, kunafanya sasa mbunge kupokea Sh330,000 kwa siku; Sh200,000 zikiwa ni posho ya kikao, Sh80,000 posho ya kujikimu na Sh50,000 nauli.

Taarifa za uhakika kutoka ndani ya kikao cha utanguzi cha wabunge jana, zilidai kuwa baada ya Pinda kutoa taarifa hiyo, wabunge walishangilia huku Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, akisimama na kudai kuwa taarifa alizonazo ni kwamba Rais Kikwete alikuwa hajasaini kuidhinisha posho hizo.

Hatua hiyo ilisababisha Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Juma Nkamia (CCM), kusimama na kuhoji iwapo Zitto ni miongoni mwa wasemaji wa Rais kabla ya Pinda kusimama na kuthibitisha kusainiwa kwa posho hizo akisema siyo ajabu kwani hata watumishi wa Serikali wanalipwa kati ya Sh150,000 na Sh200,000. Hata hivyo, Zitto alitetea msimamo wake kwamba alitarajia baada ya kusainiwa kwa posho hizo na Rais, angepewa masharti mapya ya kazi za ubunge.

Katika kikao hicho baadhi ya wabunge wanadaiwa kuwashambulia Zitto, Mbunge wa Bumbuli (CCM), January Makamba na Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Khamis Kigwangwala kwamba wamekuwa mstari wa mbele kupinga posho hizo hadharani. Spika wa Bunge, Anne Makinda ambaye anadaiwa kwamba aliungana na Pinda kuthibitisha kwamba Rais Kikwete ameidhinisha posho hizo mpya, pia aliwashambulia wabunge wanaozipinga akisema kwamba wanafuta umaarufu wa kisiasa.

“Wanachotafuta ni umaarufu wa kisiasa tu, mimi ninavyojua umaarufu wa kisiasa unakuja kwa kufanya kazi za kibunge za wananchi lakini siyo kupinga posho,” chanzo chetu cha habari kilimnukuu Makinda.

Mbunge wa Gando (CUF), Khalifa Suleiman Khalifa anadaiwa kwamba alitumia mafumbo kuwashambulia wabunge hao ambao wamejitokeza kupinga nyongeza hiyo ya posho. Kauli hiyo inadaiwa kuungwa mkono na Mbunge wa Sikonge (CCM), Said Nkumba ambaye alidai kuwa hawezi kumsemea Zitto kwa sababu ni kawaida yake kupinga, lakini akaelekeza shutuma zake kwa Makamba kwamba ameanza kupinga baada ya kugharamiwa na CCM. “Januari anapinga posho hizo kutokana na CCM kumpa gari, nyumba na analipwa na chama,” kilisema chanzo chetu kikimkariri Nkumba.

Pia, Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shelukindo (CCM), anadaiwa kumshambulia Zitto kuwa lazima apinge posho hizo kwa sababu, anapewa fedha na wafadhili kutoka nchi za nje. “Shelukindo anasema amefanya ziara nje na kuhakikisha kuna wahisani wanamfadhili Zitto kwa hiyo ana haki ya kupinga posho hizo,” chanzo chetu hicho kilimkariri Shelukindo.

Hata hivyo, inadaiwa kuwa baada ya mashambulizi hayo, Dk Kigwangwala alisimama kutetea msimamo wake kwamba ongezeko hilo halina ‘mashiko’ na haliwezi kuelezwa mbele ya umma likaeleweka, lakini alizomewa na wabunge wengi huku wakimtaka kukaa chini.

Hatua hiyo ilisababisha Zitto kusimama na kueleza kuwa tatizo la wabunge kwamba wana fikra finyu, kauli ambayo alitakiwa na wenzake kuwaomba radhi kuwa amewatukana. “Zitto ametumia Kiingereza kuwa tatizo la wabunge ‘we think small’, Shelukindo na (John) Komba wakaja juu wakitaka kuwaomba radhi kwa kuwatukana,” chanzo chetu kilieleza. Zitto anadaiwa kusema wabunge walitakiwa kujenga hoja ya kuongeza fedha za mafuta ya gari wanayolipwa hivi sasa Sh2.5 milioni kwa mwezi, kutokana na kupanda kwa nishati hiyo, lakini siyo posho.

Mbunge wa Ubungo (Chadema), John Mnyika alinukuliwa akisema matatizo ya posho yamefikia hapo baada ya kuonekana ni ya watu binafsi siyo mfumo hivyo, wanaopinga wanaonekana kama wanatafuta umaarufu na wana vipato vya fedha, akaitaka kamati ya uongozi ijadili na kupata mwafaka badala ya wajumbe kutofautiana mbele ya umma. Wabunge wengine wanaodaiwa kutetea posho hizo ni Mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini na Jenister Mhagama (Peramiho CCM).

Msimamo wa January
Alipoulizwa kuhusu suala hilo, Makamba alijibu: “Si sahihi kwangu kutoa taarifa za kikao cha ndani. Lakini msimamo wangu kwenye suala hilo unajulikana na haujabadilika. Msimamo wa CCM ulishawekwa wazi na sote tunaujua. Nitalizungumzia suala hili kwa kirefu katika siku zijazo.”

Kuhusu taarifa kwamba anagharamiwa na CCM, alisema hawezi kuzungumzia suala hilo na badala yake kutaka kiulizwe chama hicho.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alipoulizwa kuhusu taratibu za kuwagharamia viongozi wa chama chake ambao ni wabunge alisema: “Mbunge au kiongozi yeyote wa chama mwenye nafasi nyingine anagharamiwa na chama pale anapokwenda kufanya shughuli za chama tu na si vinginevyo.”

“Kwa hiyo kama ni mbunge suala la mafuta, dereva, mahali pa kulala na mahitaji mengine anagharamiwa na taasisi anayoifanyia kazi na siyo chama.”

“Kwa mfano, mimi kwenye sekretarieti hata posho za vikao huwa sichukui, nadhani na mwenzangu January naye sidhani kama huwa anachukua posho, kwa sababu tukifanya hivyo ni kama tunakiumiza chama, huo ndiyo msimamo wetu na uko wazi wala siyo kificho.”

Kwa upande wake, Zitto alisema jana kwamba hakuwa katika nafasi ya kuzungumzia suala hilo na badala yake kuahidi kwamba atalizungumza leo atakapokutana na waandishi wa habari.

Wabunge walia njaa
Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho zilisema wabunge hao walilalamikia kucheleweshwa kulipwa posho zao za wiki mbili walizokaa Dar es Salaam wakati wa vikao vya kamati.

Walidai hivi sasa wanaishi kwa shida huku wakihoji sababu za
kucheleweshewa.

Imeelezwa kwamba Spika Makinda alidai kuwa fedha hizo zipo na kwamba kilichochelewesha ni uhakiki wa wabunge waliohudhuria vikao.

Makinda alisema baadhi ya wabunge wamekuwa wakilipwa posho za vikao bila kuhudhuria, hatua ambayo imesababisha Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali (CAG), kuhoji maswali mengi.

Wauguzi Muhimbili wawakataa wanajeshi


LICHA ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutoa amri kwa madaktari wote wenye mikataba na Serikali kurejea kazini, bado wanataaluma hao jana waliendeleza mgomo baada ya kutia saini vitabu vya mahudhurio na kutoweka kusikojulikana huku wauguzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wakitoa msimamo mpya kwamba hawako tayari kufanya kazi na madaktari kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ).

Juzi, Waziri Mkuu Pinda alitoa onyo kwa madaktari hao akiwataka kurejea kazini kufikia jana kinyume chake ambaye angeshindwa angekuwa amejifukuzisha kazi na kwamba madaktari wa JWTZ wangechukua nafasi zao.
Agizo hilo la kwamba wangewatumia madaktari kutoka JWTZ jana liliamsha hasira za wauguzi Muhimbili ambao walitangaza msimamo wao wa kutofanya kazi nao.

Mwenyekiti wa Chama cha Wauguzi Tanzania, Tawi la MHN, Paul Magesa alisema madaktari hao hawana uwezo wa kufanya kazi katika hospitali hiyo ya taifa ambayo ndiyo kubwa nchini kwa kuwa inahudumia wagonjwa walioshindikana katika hospitali wanazotoka.

“Ifahamike kuwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ni ya rufaa na inapotokea wagonjwa walioshindikana katika hospitali nyingine inakuwaje leo wakaletwa madaktari kutoka katika hospitali hizo kuja kutibu?” alihoji Magesa na kuongeza:
“Sisi tulishafanya kazi nao mwaka 2005 na tunawafahamu wengi hawajui mambo mengi, watakuja kutuuliza na kutuongezea kazi za kufanya... tunaomba katika hili Serikali isikwepe tatizo, ilishughulikie kwa maslahi ya taifa,” alisema.

Hali mbaya
Hali katika hospitali hiyo kuu ya nchini imezidi kuwa mbaya, kutokana na kuendelea kwa mgomo wa madaktari hao huku kukiwa na dalili nyingine za mgomo wa wauguzi kupinga kufanya kazi na madaktari kutoka jeshini.
Habari zilizopatikana jana na kuthibitishwa na uongozi wa hospitali hiyo, zilisema kwamba madaktari wengi walifika na kusaini katika kitabu cha mahudhurio na kuondoka.

Mmoja wa madaktari katika hospitali hiyo, Dk Azizi Keto aliyekuwa katika wodi ya Mwaisela alisema kauli ya Pinda dhidi ya madaktari imewakatisha tamaa na kuwavunja moyo wa kufanya kazi. Alisema hali ni mbaya ndiyo sababu hata waliofika asubuhi hawakujisikia kufanya kazi.

Katika hospitali hiyo madaktari walioendelea na kazi ni wale washauri, wanaotarajia kustaafu na walioingia mkataba na Serikali mwaka 2005, walipoitwa wakati madaktari walipogoma.
Vilio vilitawala jana katika eneo la nje ya Wodi ya Mwaisela huku waombolezaji wakidai kuwa kama si mgomo huo wa madaktari, ndugu zao wasingepoteza maisha.

Mmoja wa waombolezaji alikaririwa akisema ndugu yake alipoteza maisha bila ya kupata huduma hospitalini hapo.
Baadhi ya wagongwa waliowasili katika hospitali hiyo wakitokea hospitali mbalimbali, walirudishwa bila ya huduma.

Muhimbili yakiri
Kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa mgomo huo, uongozi wa MNH umekiri kwamba hali ya upatikanaji wa huduma katika hospitali hiyo imezidi kuzorota.

Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Hospitali hiyo, Aminael Aligaesha aliwaambia waandishi wa habari kuwa madaktari walio wengi wamefika na kujiorodhesha kwenye daftari la mahudhurio lakini wakagoma kufanya kazi.

Hospitali za Dar
Kwa upande wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, madaktari wamegawanyika wengine waliendelea na mgomo na wengine walionekana wakitoa huduma kwa wagonjwa.

“Pamoja na kwamba wagonjwa wanahudumiwa lakini, inachukua muda mrefu kuipata huduma jambo linaloonyesha kuwa mgomo upo,” alisema mmoja wa wagonjwa hospitalini hapo.
Taarifa hizo ziliongeza kwamba madaktari waliogoma, jana asubuhi walifika hospitalini hapo na kusaini majina yao kisha kuondoka.

Habari zilisema maofisa kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, walifika hospitalini hapo kuhakiki majina ya madaktari hao lakini walipoondoka na wao wakaondoka.
Katika Hospitali ya Amana, Ilala nako baadhi ya madaktari walifika kazini wakasaini mahudhurio na kuondoka bila kufanya kazi yeyote.

Mganga Mkuu wa hospitali hiyo, Dk Shimwela Meshack alisema hali ni mbaya katika hospitali hiyo kutokana na madaktari wote kufika kazini lakini wakagoma kutoa huduma.
Naye Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mwananyamala, Dk Sophinias Ngonyani alisema mgomo huo ulifanywa na madaktari ambao hawajaajiriwa tu.

“Mgomo huu upo kwa wale wasioajiriwa ila tunachokifanya kwa sasa ni kuhakiki waliokuwepo na wasiokuwepo kujua idadi ilio sahihi,” alisema.

Ofisa Afya wa Manispaa ya Kinondoni, Dk Gunini Kamba alisema hospitali hiyo ina wataalamu wa afya 58, kati yao 42 ni madaktari, watano wako katika kitengo cha wafamasia, watano wengine maabara na sita katika kitengo meno.

Hospitali mikoani
Mkoani Morogoro, madaktari walifika kazini kama kawaida lakini hawakutoa huduma hali iliyofanya wagonjwa wasote kwa muda mrefu bila huduma.

Mganga Mkuu wa Mkoa, Dk Frida Mokiti alisema madaktari wote wameripoti kwenye maeneo yao ya kazi na kwamba taarifa zaidi angezitoa baada ya muda wa kazi.

Hali kama hiyo pia iliripotiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru ambako madaktari waliingia kazini lakini baada ya kusaini daftari la mahudhurio waliendelea na mgomo.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo jana asubuhi alifanya ziara ya ghafla katika hospitali hiyo na kuonana na uongozi. Hata hivyo, hakuna taarifa ambayo ilitolewa juu ya nini kilichozungumzwa.

Madaktari wa Hospitali ya Rufaa Mbeya, waliendelea na mgomo huku baadhi yao wakisisitiza kuwa hawawezi kurejea kazini hadi Serikali itakapoamua kutekeleza madai yao.

“Sisi tunachokitaka ni kutekelezewa madai yetu, hiyo kauli ya Waziri Mkuu ya kututishia kutufukaza kazi kama hatutarejea kazi kuanzia leo (jana) wala hatuiogopi hata kidogo, tunachotaka ni haki yetu itendeke,” alisema mmoja wa madaktari kwa sharti la kutotajwa jina.

Mkurugenzi wa Hospitali hiyo, Dk Eleuter Samky alisema hadi saa 7:00 mchana jana kulikuwa na madaktari watano tu kati ya 75 waliokuwa wamefika kazini.

Katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC Moshi, hali pia imekuwa ya kusuasua. Jana kulikuwa na msururu mkubwa wa wagonjwa wa nje waliokuwa mapokezi, wakisubiri huduma kwa zaidi ya saa nane huku wengi wakilalamikia uchache wa madaktari kwani aliyekuwapo zamu alikuwa mmoja tu.

Baadhi ya madaktari ambao hawakutaka majina yao yaandikwe gazetini walisema mgomo wa sasa ni mbaya kuliko ule wa awali kwani kwa sasa wanaandika majina yao kwenye daftari la mahudhurio lakini hawatoi huduma kwa wagonjwa.

Wanasiasa waingilia kati
Baadhi ya wanasiasa wameingilia kati mgomo huo wakiwataka madaktari hao kurejea kazini kama walivyoagizwa na Pinda ili kuokoa maisha ya Watanzania.

“Uhai wa mtu ni kitu kikubwa sana… Mimi naona ni vyema busara ikatumika ili kuokoa maisha ya Watanzania yanayopotea,” alisema Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia.
Hata hivyo, alisema madaktari hao wanayo madai ya msingi lakini akawataka watekeleze wajibu wao huku wakifanya mazungumzo na Serikali.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema madaktari wanapaswa kufahamu kwamba kuendelea kugoma ni kuchezea maisha ya wananchi.

Alisema kitu cha muhimu ni madaktari hao kurudi kazini kama walivyoagizwa na Waziri Mkuu na wasifikiri kwamba, Serikali itaendelea kuwavumilia huku ikiona maisha ya Watanzania yanapotea.

Aliwataka wajifunze kwa kilichotokea mwaka 2004 wakati wa utawala wa Rais Benjamini Mkapa, ambako waligoma na Serikali ikaamua kutumia madaktari kutoka vikosi vya jeshi.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika alimtaka Pinda kuacha vitisho na matumizi makubwa ya vyombo vya dola kwa madaktari wanapotumia uhuru wao wa kikatiba wa kukusanyika huku akisema chama hicho kinaunga mkono madai ya msingi ya madaktari.

Tucta yawageuka
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), limesema haliwaungi mkono madaktari hao kutokana na kushindwa kufuata utaratibu wa mgomo.

Katibu Mkuu wa chama hicho, Nicholaus Mgaya alisema sababu ya kutounga mkono mgomo huo ni baada ya madaktari hao kukaidi wito wa kukutana na Serikali jambo ambalo alisema ni kinyume na taratibu za kazi.

“Kwa hali hii madaktari wamepotea maboya. Kitendo cha kuitwa na Waziri Mkuu ili kufanya mazungumzo na kukataa ni dhahiri kuwa mgomo huo si halali maana walitakiwa kusikiliza Serikali inasemaje baada ya hapo wangeweza kukataa kama wangeona bado madai yao hayajafanyiwa kazi lakini kitendo cha kugoma bila kufanya mazungumzo ni kosa,” alisema Mgaya.

Habari hii imeandaliwa na Geofrey Nyang'oro, Gedius Rwiza, Leon Bahati, , Raymond Kaminyoge na Joseph Zablon, Dar; Godfrey Kahango, Mbeya; Mussa Juma, Arusha na Rehema Matowo, Moshi.

Sunday, January 29

Madaktari wawagomea mawaziri mkutanoni


SAKATA la madaktari nchini linazidi kuchukua sura mpya baada ya wataalamu hao kukataa hoja za ujumbe wa Serikali ulioongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi, Hawa Ghasia huku wakigoma kusikiliza kauli yoyote kutoka kwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk Hadji Mponda

Wakati mawaziri hao wakikumbwa ana tafrani hiyo tayari wauguzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na ile ya Mkoa wa Dodoma wametishia kusitisha utoaji huduma ifikapo Jumatatu kama masuala yao hayajapatiwa ufumbuzi.

Vigogo wa Serikali waliofika kukutana na madaktari hao jana ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Hadji Mponda na naibu wake, Dk Lucy Nkya, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Blandina Nyoni, Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Deo Mtasiwa.
Tukio hilo lilitokea jana kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Star Light, Jijini Dar es Salaam ambako madaktari hao walikusanyika na baadaye kupewa taarifa kuwa kuna ujumbe wa Serikali utafika kwa majadiliano. Madaktari hao waliwatimua ujumbe huo baada ya kuusikiliza juu ya wito wao wa kuwataka wasitishe mgomo ili wafungue ukurasa wa majadiliano, wakajibiwa kuwa kwa sasa ni wakati wa kutekeleza kwa vitendo na siyo ahadi.

Ujumbe huo wa Serikali uliwasili ukumbini hapo majira ya mchana na kukaribishwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari, Dk Stephen Ulimboka ambaye baada ya kuwawekea viti pembeni mwa jukwaa kuu, aliwatambulisha kwa washiriki. “Ugeni tuliokuwa tunasubiri umefika, si rahisi sisi wote kuwafahamu ni vema wangejitambulisha wao kwa majina kisha tuendelee na utaratibu tuliojiwekea,” alisema Dk Ulimboka.

Mara baada ya kauli hiyo, wageni hao walianza kujitambulisha. Wa kwanza alikuwa Waziri Ghasia aliyewasalimia madaktari hao na kujitambulisha kisha kueleza kuwa aliongoza ujumbe huo kuwasilisha taarifa ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. Dalili mbaya kwa ujumbe huo, zilianza kujitokeza walipoitika kwa nguvu salamu ya Waziri Ghasia huku wakiwanyamazia Waziri wa Afya na maofisa waandamizi wa wizara hiyo.

Baada ya tukio hilo kumalizika, Dk Ulimboka alitoa taratibu za mkutano kuwa ni kusoma taarifa maalumu iliyoandaliwa kwa ajili ya kupelekwa kwa Waziri Mkuu. “Sisi hapa tutawakabidhi taarifa iliyoandaliwa na madaktari ambayo ni maalumu kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda na baada ya kuwasomea, tutawakabidhi kisha tusubiri majibu ya taarifa yetu tukiwa hapahapa,” alisema Dk Ulimboka.

Dk Ulimboka alisoma taarifa hiyo mbele ya wageni hao ambayo ilitaja madai yao kadhaa ikiwemo kumtaka Waziri Ghasia kumshauri Rais Jakaya Kikwete kuwaondoa katika wizara hiyo, Waziri Mponda na naibu wake Dk Nkya, Katibu Nyoni na Mganga Mkuu, Dk Mtasiwa.

Mara baada ya kusoma taarifa hiyo alikabidhi barua hiyo kwa Waziri Ghasia huku akisisitiza kuwa wataendelea na mgomo hadi watakapopatiwa majibu ya hoja zao.

“Tunaomba taarifa hiyo imfikie haraka Waziri Mkuu, ijadiliwe kwa haraka na kutoa majibu yatakayotupatia ufumbuzi ili nasi turudi kazini tukaokoe maisha ya Watanzania,” alisema Dk Ulimboka ambaye kwa kauli yake iliashiria kufunga mjadala.

Baada ya kauli hiyo, Waziri Ghasia alisimama na kueleza kuwa wao walifika wakiwa na ujumbe toka kwa Waziri Mkuu hivyo ni vema wangekubaliwa wauwasilishe ambapo alimtaja Waziri wa Afya Dk Mponda kuwa angeusoma.
Dk Ulimboka alijibu hoja hiyo akisema “Madaktari hatuna tatizo na ujumbe toka kwa waziri Mkuu Mizengo Pinda ila ujumbe kutolewa na Waziri wa Afya Dk Hadji Mponda hatukubali kwasababu hatuna imani naye labda kama kweli ni taarifa, ungesoma wewe,” alisema Dk Ulimboka na kukaa chini.

Waziri Ghasia alikubaliana na hoja hiyo na katika kuwasilisha taarifa hiyo, alisema alisononeshwa kusoma majibu yanayohusu madai ya madaktari hao kwa niaba ya waziri mwenye dhamana ya Wizara ya Afya wakati yeye (Dk Mponda) akiwepo.

Ghasia alisema wizara imetafakari kwa kina suala la madaktari waliokuwa kwenye mafunzo katika Hosptali ya Taifa ya Muhimbili na kuwarudisha kwenye kituo hicho cha kazi huku ikiahadi kuwalipa stahili zao.
“Wazira imetafakari kwa kina na imeamua kuwarejesha madaktari wote waliokuwa kwenye mafunzo ya vitendo katika Hosptali ya Taifa ya Muhimbili na wanatakiwa kuripoti katika vituo hivyo vya kazi kuanzia Jumatatu,” alisema Ghasia.

Kuhusu madai mengine, alisema Serikali itaendelea na majadiliano ya pamoja huku akiwaomba warejee kazini.
“Sisi tuwaombe tu kwamba madai yenu yote Serikali inayafanyia kazi. Suala la nyumba tayari tumeshapata fedha kutoka Global Fund kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za madaktari ili waweze kukaa karibu na vituo vyao vya kazi,” alisema Ghasia. Akijibu ombi la kuwataka warejee kazini, Dk Ulimboka alisema hilo litategemea majibu ya taarifa walioiwasilisha kwa Waziri Mkuu, ambapo alisisitiza kuwa wao wataendelea na mikutano katika ukumbi huo.

“Sisi tutaendelea na mikutano kujadili taarifa yenu na pia tungeshauri taarifa hii mtuletee kwa maandishi, lakini pia tunasubiri majibu ya taarifa yetu tuliyoiwasilisha kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ambayo tumeitoa kwa maandishi,” alisema Dk Ulimboka. Dk Uliomboa aliwataka wawakilishi hao wa Serikali kutambua kuwa ujumbe haukuwa wa kushawishiana kurudi kazini bali ni wa kupeana taarifa.

Kauli hiyo iliashiria kwamba hoja ya ujumbe huo haina uzito wa kuwashawishi kuacha mgomo huku wakikataa hoja zao sasa kujadiliwa na wizara badala yake walisisitiza Waziri Mkuu kushughulikia suala hilo. Walimtaka Waziri Mkuu, kutoa majibu ya madai yao kwa wakati ili asiwafanye kufikia hatua ya kusitisha huduma katika vitengo vya dhararu.

“Mgomo huu unaendelea nchi nzima hadi majibu ya madai yetu tuliyowasilisha kwa Waziri Mkuu yamepatiwa majibu.
Tunashauri kazi hiyo ifanywe haraka vinginevyo tusije tukashawishika kusitisha huduma kwenye vitengo vya dharura,” alisema Ulimboka.

Tishio la mgomo zaidi
Wakati huo huo, Chama cha Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kimesema kuwa wauguzi wataendelea kutoa huduma kwa kusuasua hadi Jumatatu na kama suala hilo litakuwa halijapatiwa ufumbuzi, watasitisha huduma na kufunga hospitali.

“Sisi tutaendelea kutoa huduma katika mazingira ya shida hivi mpaka Jumatatu tu,” alisema Mwenyekiti wa chama hicho, Paul Magesa.

Habari kutoka katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma zilieleza pia kuwa, kwa sasa hakuna wagonjwa wapya wanaopokelewa na kuwa waliopo wodini wakitoka, hospitali hiyo nayo itasitisha kutoa huduma.

Urais CCM 2015 balaa

KIGOGO AMWAGA MAMILIONI, ATUMA MAKADA MIKOANI KUMNYOSHEA NJIA
WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikionya wanachama wake kuacha ndoto za urais wa mwaka 2015, kauli hiyo sasa imeonekana kupuuzwa na kugeuka kichocheo cha kuongeza kasi ya kujipanga kwa baadhi ya makada wenye nia ya kusaka nafasi hiyo ya juu ya uongozi wa taifa.Hivi karibuni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya CCM, Nape Nnauye, alionya kwamba chama hicho hakiko tayari kuendelea kuwakumbatia wanachama wake wanaunda makundi ndani ya chama, kwa lengo la kusaka umaarufu wa kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao mwaka 2015.

Katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika jijini Dar es Salaam, Nape alisisitiza kuwa endapo mwanachama yeyote atabainika kuvuruga mshikamano ndani ya chama kutokana na kigezo hicho, CCM haitasita kuchukua hatua kali dhidi yake.

Pamoja na CCM kutoa onyo hilo kali, mbio za urais wa mwaka 2015 ndani ya chama hicho, zimeelezwa kuingia katika sura mpya baada ya mmoja wa makada anayetajwa kuwania nafasi hiyo, kufanya kikao kizito jijini Arusha, kwa lengo la kuweka mikakati ya kujipanga na kuimarisha kambi yake.

Habari zilizopatikana na kuthibitishwa na baadhi ya wana CCM mjini Arusha, zinaeleza kuwa, kigogo huyo alifanya kikao chake wiki chache zilizopita katika moja ya majengo ya mfanyabiashara mmoja kutoka Kanda ya Ziwa, yaliyopo nje kidogo ya jiji.

Kikao hicho kilichohudhuriwa na baadhi ya viongozi wa CCM kutoka mikoa mbalimbali nchini, wakiwamo baadhi ya wenyeviti wa mikoa wa chama hicho na baadhi ya viongozi wa Serikali, pamoja na mambo mengine, kilifanya tathmini ya kina kujua maeneo ambayo mgombea huyo hakubaliki.

Chanzo chetu kilidokeza kwamba tathmini hiyo ilionyesha kuwa kada huyo hakubaliki sana katika mikoa ya Lindi , Mtwara pamoja na maeneo ya mikoa ya Kanda ya Ziwa, ukiwemo Mkoa wa Mara.

Kutokana na hali hiyo, ilikubaliwa kuwa fedha nyingi zitumike na watu mahiri wenye ushawishi, watumwe katika maeneo haya ili kuwalainisha baadhi ya viongozi wa CCM ambao wanaonekana kuwa mbali na mgombea huyo, na jambo hilo lifanyike haraka kabla ya kuanza kwa chaguzi mbalimbali ndani ya CCM mwaka huu.

Kauli ya Nape
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alipoliuzwa kuhusiana na kikao hicho, alisema hana taarifa zozote lakini alionya kuwa endapo itathibitika kuwa kuna makada wa chama hicho wanafanya ‘rafu’ hizo, watachukuliwa hatua za kisheria za chama kwani huu si muda wa kufanya kampeni za urais.

Aliwataka wanachama wa CCM kuipa nafasi Serikali yao kutekeleza majukumu yake na ilani kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania.Awali, pia Katibu huyo wa Itikadi na Uenezi, aliwahi kukaririwa akisema kuwa wanaotarajia kutumia fedha kupata urais kupitia chama hicho wanajidaganya, ni bora watafute kazi nyingine za kufanya.


Kikao cha mkakati
Habari zaidi kutoka ndani ya kikao hicho, zililidokeza Mwananchi Jumapili kuwa makada watakaotumwa kuzunguka mikoani, baada kukamilisha kazi yao, watatakiwa kurejesha ripoti itakayofanyiwa kazi, ili kundi hilo liweke mikakati zaidi ya kufanikisha lengo lake.

Inaelezwa kuwa hofu kuu ya kundi hilo, ni kutoka kwa baadhi ya makada wengine wa CCM, wanaotajwa kuonyesha nia ya kuwania nafasi ya urais, kukubalika zaidi ndani ya chama katika mikoa hiyo, ambapo baadhi yao wanatoka huko.
Chanzo chetu kilidokeza pia kuwa mbali ya kuweka mikakati hiyo kabambe ya kuwania urais, pia wajumbe wa kikao hicho ‘kizito’, walifanyiwa sherehe kubwa ambapo nyama na vinywaji mbalimbali vilimwagwa kwa wingi, ndani ya majengo ya mfanyabiashara huyo, ambayo yamezungushiwa ukuta mrefu.

“Aisee! kikao kilikuwa kizito mno mikakati mizito imewekwa , jamaa yuko serious (makini) kuutaka urais, “alidokeza kada mmoja aliyekuwa ndani ya kikao hicho kwa sharti la kutoandikwa jina gazetini.
Uchunguzi wa Mwananchi Jumapili umebaini kuwa tayari, makada waliotumwa kwenda mikoani ‘kumnyoshea njia’ mgombea huyo wa urais, hivi sasa wanavinjari kwenye maeneo hayo, wakiwa na fedha za kutosha na vitendea kazi vingine, yakiwemo magari ya uhakika.

Waliotumwa kufanya kazi hiyo, ni wenyeviti wa baadhi ya mikoa ambao imeelezwa kuwa watatumia nafasi zao kufanya ushawishi huo kwa urahisi.

Ingawa hadi sasa hakuna kada ndani ya CCM ambaye ametangaza hadharani kutaka kuwania urais, inadaiwa kwamba kuna kundi kubwa la watu ambao tayari wanapigana vikumbo chini chini kutaka nafasi hiyo, kutokana na Rais wa sasa Jakaya Kikwete, kufikia ukomo wake kikatiba mwaka 2015.

Hatua hiyo imedaiwa kuibua makundi yanayosabisha nyufa zinazoweza kuleta mgawanyiko mkubwa ndani ya chama hicho.
Tayari CCM kimekiri kupitia Katibu Mkuu wake, Wilson Mukama kuwa harakati za kuwania urais ndani ya chama hicho, zinakivuruga.

Taarifa ya Kamati Kuu ya CCM iliyosomwa ndani ya Kikao cha Halmashuari Kuu (NEC) ya CCM mjini Dodoma Novemba mwaka jana ,pamoja na mambo mengine, ilikiri kuwa mbio za kuwania urais mwaka 2015 ndani ya chama hicho, ndicho kiini kikuu cha mgawanyiko.

Kamati Kuu ilionya kuwa wanaotaka kuwania nafasi ya urais kupitia chama hicho, wanapaswa kudhibitiwa na kwamba matumizi ya fedha katika kampeni hayatakubalika.

Ushauri wa Kinana
Alhamisi wiki hii, Mjumbe wa Kamati Kuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alikaririwa na gazeti la Mwananchi akieleza kuwa vigogo wa chama hicho walioanza kampeni za urais, sasa wanavuruga utendaji wa Serikali ya Rais Kikwete.
Akiwa kwenye ziara ya kutembelea matawi ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Kinana alisema vigogo hao ni wabinafsi, wanaivuruga nchi na hawana lolote wanalolifanya kwa maslahi ya chama hicho tawala.

Kinana ambaye pia alikuwa Mkurugenzi wa Kampeni za Rais Jakaya Kikwete wakati akigombea urais kwa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, alionesha kukerwa na watu hao na kueleza kuwa si sahihi kuanza kuzungumza masuala ya urais sasa wakati Rais Kikwete bado ana miaka minne ya kutekeleza Ilani ya chama hicho.

“Sasa hivi Rais Kikwete ana miaka mingine minne mbele kabla ya kumaliza uongozi wake na CCM ina kero nyingi za kushughulikia ili kutekeleza ilani yake, halafu wengine wanazungumzia urais sasa,” alikaririwa akisema Kinana.
Alisema anasikitishwa na hali hiyo hasa ikizingatiwa kuwa wanaoanza kupiga kampeni za urais ni watu wazito ndani ya nchi na ni wajumbe wa vikao vikuu ndani ya CCM.

Tishio lingine
Mbali ya chama hicho kukabiliwa na tishio la mgawanyiko kutokana na urais wa 2015, pia kinakabiliwa na kazi ngumu ya utekelezaji wa mkakati wake, kuwavua gamba baadhi ya makada wake wanaohusishwa na kashfa za ufisadi.

Kikao kilichopita cha NEC ambacho kilitarajiwa kuchukua maamuzi magumu ya kuwavua gamba wanachama hao, kilishindwa kufanya hivyo, badala yake kikatoa muda kwa wanachama hao kujitathmini wenyewe na kuchukua uamuzi kabla ya CCM kuwachukulia hatua.

Monday, January 16

Kikwete, Pinda waongoza waombolezaji kwa Mtema


RAIS Jakaya Kikwete jana alikuwa miongoni mwa mamia ya watu wa kada mbalimbali waliokwenda Tabata, Chang’ombe, Dar es Salaam kuifariji familia ya marehemu Regia Mtema aliyefariki juzi katika ajali ya gari eneo la Ruvu, Pwani. Mbali na Rais Kikwete, wengine waliofika msibani hapo kutoa pole ni Spika wa Bunge, Anne Makinda; Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu na Mwenyekiti wa Chadema na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe.

Marehemu Mtema ambaye alikuwa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), alifariki juzi wakati akitokea Dar es Salaam kuelekea mkoani Morogoro. Jana katika msiba huo, msemaji wa familia, Canutte Mtema alisema ibada ya kuuaga mwili wa marehemu itafanyika leo katika Kanisa Katoliki Parokia ya Segerea kuanzia saa 9:00 alasiri.

Alisema kesho, mwili wa marehemu Mtema utaagwa katika Viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam kisha kusafirishwa kuelekea Ifakara, ambako atazikwa Jumatano. Mbali ya viongozi, viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa wakiwemo wabunge walifika msibani hapo kuwapa mkono wa pole kwa wafiwa wakiwemo Baba wa marehemu, Estelatus Mtema na mama yake, Catherine Kilaule.

Rais Kikwete atoa neno Akitoa pole kwa wafiwa, Rais Kikwete alisema Marehemu Mtema amefariki akiwa bado kijana mdogo na aliitaka familia kuwa na uvumilivu kwani kila mtu ana siku na mkataba wake na Mungu. Marehemu Mtema amefariki akiwa na umri wa miaka 32. “Poleni sana, tupo pamoja katika msiba. Nasi tutaangalia eneo gani tutaweza kuwa pamoja,” alisema Rais Kikwete.

Spika na wabunge Kwa upande wake, Spika Makinda alisema Bunge limepoteza mbunge kijana ambaye alikuwa na hulka kipekee. Alisema marehemu alikuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja licha ya ugeni wa kazi bungeni. Kutokana na msiba huo, Spika Makinda alisema Kamati ya Uongozi ya Bunge itakaa na kupanga taratibu za jinsi ya kushiriki msiba huo ikiwa ni pamoja na kuchagua wawakilishi wa Bunge watakaokwenda katika mazishi.

“Tunasikitika kuondokewa na mbunge kijana Regia, alikuwa mchapakazi hodari na alikuwa na marafiki wengi bila kujali itikadi za vyama na kikubwa zaidi, alikuwa anakubali kukosolewa,” alisema Spika.

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika alisema chama na Bunge kwa ujumla vimepata pigo kubwa kwa kuondokewa na marehemu Mtema. Alisema kutokana na uzito wa msiba huo, wabunge wote wa Chadema watashiriki mazishi yake huko Ifakara. Mnyika alisema wabunge wa chama hicho wameshaanza kuwasili kwa ajili ya msiba huo.

Aliyejeruhiwa asimulia
Mmoja wa majeruhi saba, Rogers Abdallah alisema ingawa ameruhusiwa, bado ana maumivu makali kifuani na kitu kibaya zaidi hakupata kipimo cha X-Ray... “Nimeruhusiwa lakini sikufanyiwa X-Ray, nina maumivu kifuani na ninashukuru nimetoka mzima nafikiri mkanda niliokuwa nimefunga umenisaidia,” alisema. Kati ya majeruhi hao, sita wameruhusiwa kutoka hospitalini isipokuwa mama mdogo wa marehemu, Bernadeta Mtema ambaye bado yupo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

Kilombero kwazizima
Wakazi wa Wilaya ya Kilombero humo wamezipokea kwa masikitiko na majonzi makubwa taarifa za kifo cha mbunge huyo. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Haji Mponda, Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Francis Miti, Mbunge wa Jimbo la Kilombero Abdu Mteketa, Mwenyekiti wa Halmashauri Ramadhani Kiombile, Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilombero, Abdallah Kambangwa na viongozi mbalimbali walifika nyumbani kwa marehemu kwa maandalizi ya mazishi.

Wakati hali ikiwa hivyo nyumbani kwake, ofisini kwa mbunge huyo nako kulikuwa na shughuli mbalimbali za maandalizi ya mazishi na viongozi wa Chadema na wanachama wa chama hicho, walikusanyika ili kuunda kamati maalumu itakayoshughulikia mazishi hayo.

Akizungumzia msiba huo, Dk Mponda alisema: “Namfahamu vizuri marehemu ukizingatia sisi wabunge wa wilaya hizi mbili za Kilombero na Ulanga tupo karibu sana katika ushirikiano bila kujali itikadi zetu na marehemu alikuwa makini katika kutetea wananchi punde anaposikia matatizo,” alisema Dk Mponda.

Kwa upande wake, Mteketa alisema: “Unajua nilikuwa nashirikiana naye vizuri sana tofauti na baadhi ya wananchi walivyokuwa wanadhani kutokana na sisi kuwa vyama viwili tofauti na ndiye aliyekuwa akinipa changamoto zaidi ili niweze kutekeleza ahadi zangu kwa wakati kwa wananchi walionichagua.”

Naye Kiombile alisema msiba wa Regia ni pengo kubwa ndani ya wilaya ya Kilombero hasa ikizingatiwa kwamba alikuwa mbunge kijana kama alivyo yeye na mara kwa mara alikuwa akimpigia simu ili kumpa ushauri naye kupokea ushauri kutoka kwake. Kambangwa alisema mbunge huyo alikuwa mwanasiasa kijana aliyekuwa akijali zaidi maslahi ya wananchi aliokuwa akiwaongoza na hakufuata itikadi za chama chake pekee.

Rafiki wa karibu wa marehemu Regia, Amina Simbamkuti alisema amempoteza mtu wa karibu aliyeshirikiana naye katika kutatua kero mbalimbali za wananchi. Mbunge huyo alifariki dunia baada ya gari alilokuwa akiendesha kupinduka saa 5:30 asubuhi karibu na Shule ya Sekondari Ruvu.

Habari hii imeandikwa na Joseph Zablon na Shakila Nyerere Dar na Venance George, Morogo

Ahadi ya Rais Kikwete kuhusu umeme utata mtupu


AHADI iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete ya kupatikana kwa megawati 3,000 za umeme huenda isitekelezwe katika muda uliopangwa kutokana na kutofanyika kwa maandalizi ya kutosha.Akilihutubia Taifa kuukaribisha mwaka 2012, Rais Kikwete alisema tatizo la umeme nchini litakuwa historia katika muda wa miezi 18 ijayo kutokana na mpango wa Serikali wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam.

“Maombi yetu kwa Serikali ya China ya kupata mkopo wa kujenga bomba la kusafirisha gesi kutoka Mtwara na mtambo wa kuchakata gesi inayotoka Songosongo yamekubaliwa,” alisema Kikwete katika hotuba yake ya Desemba 31, mwaka jana na kuongeza:“Utekelezaji wake unatarajiwa kuchukua miezi 18 na gesi itakayoletwa inaweza kuzalisha mpaka Megawati 3,000 za umeme. Baada ya hapo kasi ya kuongeza umeme itakuwa kubwa zaidi na tatizo la upungufu wa umeme linaweza kuwa historia.

”Hata hivyo, imebainika kuwa hadi sasa Serikali ya Tanzania na China hazijasaini mkataba wa kifedha ili kupata mkopo wa Dola bilioni moja za Marekani (karibu Sh1.6 trilioni) ambazo zitatumika kugharamia ujenzi wa bomba hilo, hivyo kuzua wasiwasi iwapo ujenzi wa bomba hilo utakamilika katika muda uliopangwa.Makubaliano ya awali ya ujenzi wa bomba hilo yalisainiwa China Septemba 26, 2011 na Tanzania ikiwakilishwa na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja.

Baadaye ilisainiwa mikataba mingine midogomidogo lakini, kikwazo hadi sasa ni mkataba wa fedha.Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo alisema hadi mwishoni mwa wiki jana, mkataba wa kifedha ulikuwa bado haujasainiwa lakini akasema taarifa alizonazo ni kwamba utasainiwa hivi karibuni.“Kweli bado hatujasaini mkataba huo ila niko informed (nina taarifa) kwamba majadiliano yako kwenye hatua nzuri na yakikamilika tutasaini,” alisema Mkulo.

Mkulo alisema majadiliano yanayoendelea yanawahusisha Makatibu Wakuu wa Wizara za Fedha na Uchumi, Nishati na Madini, maofisa wa Serikali ya China na wakala wa utekelezaji wa mradi huo kutoka nchi hizo mbili.“Ninachoweza kusema ni kwamba bado tuko kwenye ratiba, tunafahamu umuhimu wa kukamilika kwa hatua hii, lakini lazima tujiridhishe.”Mapema wiki iliyopita, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dk Servacius Likwelile alisema bado kuna maeneo machache ya majadiliano baina ya wataalamu wa Tanzania na China na kwamba yakikamilika mkataba huo wa kifedha utasainiwa.

“Ahadi ya Rais itatekelezwa kama alivyosema, kuna sehemu chache tu bado wataalamu wetu wanajadiliana na wenzetu wa China, wakikamilisha basi nadhani tutaweza kusaini ili kuwezesha mradi huo kuanza,” alisema Dk Likwelile.Kwa upande wake, Ngeleja alisema wizara yake imejipanga kusimamia kikamilifu ujenzi wa bomba hilo, baada ya mkataba wa fedha kusainiwa.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, January Makamba katika maoni yake alisema kuchelewa kusainiwa kwa mkataba wa kifedha kunaweza kuathiri kasi ya utekelezaji wa mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara.“Ni vigumu sana kuwa na uhakika wa kutekelezwa kwa mradi kabla ya kuwa na uhakika wa fedha, sina uhakika kama hilo limefanyika lakini kwa kuwa tunaanza vikao vya kazi zetu karibuni, nadhani tutapata taarifa,” alisema January.Vikwazo vingineWakati Serikali ikihaha kukamilisha mchakato wa kusainiwa kwa mkataba wa fedha, habari kutoka ndani ya Serikali na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) zinasema kinahitajika kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya kujenga vituo vya kusambaza umeme na njia mpya za kusambaza umeme huyo.

Mmoja wa wahandisi ndani ya Tanesco ambaye aliomba jina lake lihifadhiwe alisema ikiwa kiasi hicho cha megawati 3,000 za umeme kitafikishwa Dar es Salaam basi vinahitajika vituo 30 kwa ajili ya kusambaza umeme.“Ujenzi wa kituo kimoja (sub-station) gharama zake si chini ya Dola za Marekani milioni 15 (zaidi ya Sh23 bilioni) kwa hiyo piga hesabu kama tunahitaji vituo 30 basi zidisha utapata majibu ni kiasi gani cha fedha kinachohitajika,” alisema mhandisi huyo wa umeme.

Kwa kuzingatia hesabu hizo, Serikali inalazimika kutafuta zaidi ya Sh700 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa vituo hivyo ambavyo hata hivyo, hadi sasa bado mpango wake haujawekwa wazi. Pia italazimika kutafuta kiasi kama hicho kwa ajili ya ujenzi wa njia mpya ya kusafirishia umeme huo.

Habari zaidi zilisema ili kupatikana kwa megawati 3,000 za umeme, kunahitaji pia njia mpya za kusafirishia nishati hiyo ya msongo wa kilovolt 400, tofauti na njia za sasa ambazo uwezo wake ni msongo wa kilovolt 220.“Kama tunataka kuongeza kiasi cha umeme katika njia zetu za sasa, lazima tuongeze uwezo maana njia zetu zinazidiwa ndiyo maana wakati mwingine umeme unakatika ovyo,” alisema mhandisi huyo.Hivi sasa Serikali inajenga njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa Kilovolt 400 kutoka Iringa kupitia Dodoma, Singida hadi Shinyanga, ujenzi ambao utaigharimu kiasi cha Dola za Marekani milioni 500 (karibu Sh800 bilioni) hadi utakapokamilika.

Hata hivyo, njia hiyo ni maandalizi ya umeme unaotarajiwa kuzalishwa kutoka miradi ya makaa ya mawe ya Ngaka mkoani Ruvuma na Mchuchuma Wilaya ya Ludewa mkoani Iringa na siyo kwa ajili ya usafirishaji wa umeme utakaozalishwa kutokana na gesi ya Mnazi Bay kutoka Mtwara.Gharama za UmemeIkiwa ahadi ya Rais Kikwete itashindwa kutekelezwa katika muda wa miezi 18 kama alivyoahidi, inaamanisha kwamba taifa litaendelea kutumia umeme wa gharama kubwa unaozalishwa kwa mafuta.

Tayari gharama hizo zimeanza kuwaelemea watumiaji baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati (Ewura), kuiruhusu Tanesco kupandisha gharama za umeme kuanzia leo kwa asilimia 40.29.Upandishaji huo umezua kilio nchi nzima ambako watu wa kada tofauti wamesema utaongeza gharama za maisha na kuwaathiri wananchi wa kipato cha chini.

Kutumika kwa umeme wa mafuta kunatokana na kutokuwepo kwa maji ya kutosha katika mabwawa ya kuzalisha umeme. Hadi mwishoni mwa wiki iliyopita, uzalishaji ulikuwa ni asilimia 62.9 ya uwezo wa mabwawa hayo.Meneja Uhusiano wa Tanesco, Badra Masoud alisema hadi sasa umeme unaotokana na maji ni megawati 353 kati ya 561 zinazotakiwa na kwamba hali hiyo inatokana na uhaba wa maji.

Mwisho……