Thursday, December 22
Dar si salama - Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi
MAFURIKO YAONGEZA VIFO, MAJERUHI, MADARAJA,NYUMBA ZABOMOKA, BARABARA KUU ZAFUNGWA
Waandishi Wetu WATU 11 wakiwamo watatu wa familia moja, wameripotiwa kufariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia mvua zilizoendelea kunyesha jana katika Jiji la Dar es Salaam na viunga vyake na kuvuruga mfumo wa usafiri na shughuli za kiuchumi.Miondombinu mbalimbali ya Jiji hilo ikiwamo madaraja na nyumba vilivunjwa na kusababisha adha kubwa kwa wakazi ambao wengi wao, walishindwa hata kwenda kazini.
Baadhi ya barabara zikiwamo Morogoro eneo la Jangwani na Ali Hassan Mwinyi eneo la daraja la Salenda zilifungwa kwa muda kutokana na kujaa maji kiasi cha kuhatarisha maisha ya watumiaji wake.
Mvua hiyo ya siku mbili mfululizo kunyesha jijini Dar es Salaam, jana ilifanya maeneo mengi zikiwamo barabara muhimu kama Nyerere kuanzia Uwanja wa Ndege, Kawawa eneo la Kigogo Darajani na Mandela eneo la Tabata Matumbi, kushindwa kupitika kwa saa kadhaa kutokana na kujaa maji.
Katika barabara ya Mandela hali ilikuwa tete baada ya maelfu ya abiria waliokuwa wanasafiri kutoka Buguruni kwenda Ubungo, kukwama katika daraja la Matumbi.
Kwa zaidi ya saa nne tangu saa 1:00 asubuhi abiria walioonekana wakishuka kutoka kwenye magari na kutembea kwa miguu mithili ya maandamano, huku makumi ya magari yakiwa yamezimika barabarani.
Wakati hayo yakitokea, watumiaji wa barabara ya Mandela walikwama kutokana na msururu mrefu wa magari kufuatia baadhi yake kuzima na kufunga barabarani.
Katika barabara hiyo eneo la TIOT, ulionekana moshi mkubwa angani uliotokana na moshi wa gesi baada ya bomba linalopitisha gesi hiyo kupasuka. Moshi huo uliwafanya watu waliokuwa kwenye magari kupatwa na vikohozi.
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetaja mvua zilizonyesha jana na juzi kuwa hazijawahi kutokea katika miaka ya karibuni, na kwamba mara ya mwisho mvua kubwa kama hiyo ilirekodiwa mwaka 1954.
Madaraja yasombwa Baadhi ya madaraja yalisombwa au kuvunjwa na maji hivyo kusababisha shida ya usafiri katika jiji hilo.
Daraja la Mbezi katika barabara ya Morogoro lililoko jirani na kibanda cha mkaa eneo la Tanesco lilivunika na kusababisha kukatika mawasiliano ya safari za kutoka na kwenda katikati ya jiji.
Mawasiliano katika daraja hilo yalikatika saa 11:00 alfajiri, na kusababisha misururu ya magari yaliyokuwa yakisubiri maji yapungue ili yapite.
"Hii leo sio kawaida, heri ya jana, sisi tumekwama tangu saa 10:30 alfajiri na mpaka sasa 1:45 asubuhi hatujui tutaondoka saa ngapi," alisema mmoja wa abiria waliokwama eneo hilo, ambaye alipiga simu ofisi za gazeti hili bila kutaja jina lake.
Vitus Andrew aliyejitambulisha kuwa ni dereva wa gari aina ya Mitsubishi fuso, alisema alifika eneo hilo saa 11.20 alfajiri na kukuta msururu wa magari ukiwa hautembei hivyo kumalazimu kuzima gari na kulala.
“Ndugu yangu, nimefika hapa mapema nikiwa naelekea Tabora, lakini naona safari yangu imeishia hapa kwa leo na kibaya zaidi hakuna kiongozi ama askari yeyote aliyefika kusimamia usalama wa abiria na magari kwani hali ya usalama si nzuri,” alisema Andrew.
Taarifa zilizopatikana baadaye, zilisema magari yalianza kupita kwenye daraja hilo saa 2:20 asubuhi. Daraja la Mbezi Bondeni linalounganisha Mbezi Beach na Mwenge, wilayani Kinondoni limekatika upande mmoja kutokana na mafuriko hivyo kufanya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kikosi cha Lugalo kuweka kambi maalumu kwa ajili ya kulinda usalama. Hatua hiyo imesababisha wananchi wanaotoka Mbezi kuelekea Mwenge, kushindwa kutumia magari na kulazimika kuvuka kwa miguu kutokana na magari yote kuzuiwa kupita eneo hilo.
Daraja lililopo Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lilijaa maji hivyo kulazimisha uongozi wa jeshi kuzuia magari yasipite kwa muda.
Maeneo mengine ya Jiji Usalama wa maisha na mali kwa wananchi katika Bonde la Mto Msimbazi umekuwa hatarini kutokana na mvua hizo.
Mamia ya watu waliyakimbia makazi yao huku wengine wakiwa juu ya mapaa ya nyumba wakisubiri kuokolewa kutokana na nyumba zao kuzingirwa na maji. Wengine walionekana juu ya minazi wakisubiri msaada kutoka kwa wasamaria wema huku helikopta ya polisi ikipita bila kuweza kutoa msaada wowote. Mvua hizo zilisababisha balaa kwa wakazi wa eneo la Ubungo External, ambako maji ya Mto Ubungo yalisambaa kwenye makazi ya watu na kusomba mali zao.
Mwanamke ambaye ni mkazi wa eneo hilo ambaye jina lake halikufahamika mara moja, alisikika akisema tangu kuishi kwake Dar es Salaam miaka 34 iliyopita, hakuwahi kuona mafuriko ya aina hiyo.
Eneo la Mikocheni nako hali haikuwa shwari baada ya nyumba nyingi za wakazi wa eneo hilo kuzolewa na maji yaliyokuwa yanatokea katika bonde la mpunga, lenye mkondo wa maji ya bahari.
Hata hivyo, baadhi ya wakazi walitaja sababu za eneo hilo kujaa maji kuwa ni ujenzi holela wa makazi ya watu hasa maeneo ya My Fair Plaza.
Amos John mkazi wa eneo hilo alisema umefika wakati Serikali ikachukua hatua za makusudi kuhakikisha mkondo huo wa maji unaachwa huru ili kunusuru maisha ya wakazi wa eneo hilo.
Katika eneo la Tandale kwa Tumbo, Mwananchi lilishuhudia watu wakiwa katika hali mbaya huku wakiomba msaada baada ya kuzidiwa na maji.
Hali hiyo ilisababisha baadhi ya nyumba kusombwa na maji, huku baadhi ya wamiliki wake wakionekana katika makundi wakiomba msaada.
Wakizungumza katika eneo hilo jana, walisema hali imezidi kuwa mbaya tofauti na juzi na kwamba sasa ndio wamepoteza mwelekeo wa maisha kabisa kwa kupoteza mali zao na vitu muhimu ambavyo wanavitegemea kwa ajili ya kuendesha maisha yao.
“Sio jambo jepesi kurudi katika hali ambayo nilikuwa nayo kwa sababu nimepoteza mali zangu zote hasa ukizingatia nilikuwa nafanya biashara. Vitu vilivyokuwa dukani kwangu vimechukuliwa na maji na sasa sijui wapi nitakimbilia kupata msaada,” alisema Salum.
Mjumbe wa Serikali ya Mtaa Kwa Tumbo, Zinduna Kimbonaga, alisema: “Hali siyo nzuri, kipindi hiki kunahitajika hatua za dharura ili kuwakomboa wakazi wa eneo hili”.
“Watu hawana makazi wala vyakula. Hali ni mbaya, Serikali inatakiwa kufanya jitihada za kutoa misaada ya chakula na malazi ili kuepusha magonjwa ya milipuko,” alisema Kimbonaga ambaye pia alibainisha kuwa juzi, Mbunge wa Kinondoni Idd Azan, aliwapa misaada ambayo inahitajika kuongezwa. Mbagala, Tabata Kimanga Wakazi wa kata ya Kijichi, jana walilazimika kutembea kwa miguu hadi maeneo ya Mtongani na Misheni kutokana na kukatika ghafla kwa mawasaliano ya usafiri katika daraja la Kijichi.
Daraja hilo lilifurika maji na hivyo kufanya magari madogo zikiwamo Hiace kushindwa kupita eneo hilo na yale yaliyofanikiwa kupita yaliongeza nauli hadi Sh500 badala ya kati ya Sh300 na Sh400.
Daraja lililopo kati ya eneo la madukani na chama, lilifurika maji hivyo kufanya watu wanaoishi Tabata Kimanga kushindwa kwenda makazini.
Daraja hilo lilianza kufurika maji saa 12:00 asubuhi na kupungua saa 3:00 asubuhi ambapo magari yenye uwezo mkubwa kama Toyota Land Cruiser na Defender yalianza kupita.
Magari mengi ya abiria yalishindwa kuendelea na safari kutokana foleni pamoja na barabara nyingi kujaa maji.
Pia nyumba zilizopo katika bonde hilo zilifurika maji huku nyingine zikibomoka kabisa hali iliyofanya watu walioshindwa kuwahi kuyakimbia maji hayo, kupanda juu ya dari na kubaki kuchungilia nje jinsi mali zao zinavyosombwa na maji.
Hali hiyo pia ilijitokeza eneo la Tabata Msimbazi, ambako taharuki ilijitokeza baada ya maji ya mto Msimbazi kujaa kwenye nyumba za watu.
Maji hayo yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha kuanzia saa 10 alfajiri ya kuamkia jana na yalisababisha wakazi wa eneo la Msimbazi Nyaluhela na Kwa Swai, hususan wanawake na watoto kutimua mbio kwenda maeneo ya Mwinuko kwa ajili ya hifadhi. Cosmas Ndijo kutoka eneo Tabata Bima kwenye mwinuko alisema aliona mto huo ukisomba mizoga ya ng’ombe, mbuzi, kondoo, meza, viti na magodoro. Naye Baraka Bansy alisema Mto Msimbazi ulijaa maji mengi na kusomba miti mingi kutoka mbali na kwamba, nyumba nyingi eneo la Msimbazi zilikuwa zimezingirwa na maji.
“Maji yamefika msikiti wa Msimbazi, wanawake na watoto wanazidi kutimua mbio kuokoa maisha yao,” alisema Baraka. Kadhalika mvua hiyo ya jana ilisababisha barabara ya Umoja kuanzia Bima kwenda kwa Msimbazi kujaa maji na kusababisha watu kuvua viatu kupita eneo hilo.
Usafiri wa daladala na teksi kutoka Tabata kwenda Buguruni ama Ubungo, ulisimama asubuhi ya jana kutokana na maji ya mto Msimbazi kupita juu ya daraja. Matumbi huku eneo la Tabata Relini nalo likijaa maji ambayo yalisababisha kupasuka kwa bomba la gesi. Mabomba ya gesi yalipasuka kwenye eneo la viwanda vilivyopo Kituo cha TOT barabara ya Mandela na kusababisha moshi uliojaa harufu mbaya ambayo ilisababisha watu wengi kufadhaika. Vifo Kinondoni Kamanda wa Polisi mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela alisema maji yalikuwa yamejaa pia kwenye ofisi za Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Taifa (UNDP). Kamanda Kenyela alifafanua kwamba juhudi za uokoaji zilikuwa zikiendelea kwa watu waliokuwa ndani ya ofisi hizo.
Habari kutoka katika Hospitali ya Mwananyamala zinasema, kulipokelewa maiti saba na majeruhi watano katika hosipitali hiyo. Muuguzi wa zamu wa hospitali hiyo Marry Shayo aliliambia gazeti hili kuwa kati ya maiti hao watatu ni wa familia moja. aliwataja kuwa ni Tatu, Sharifa na Amran wote wa ukoo wa Abeid. Maiti wengine ni wanne hawajatambuliwa. Shayo alitaja majeruhi kuwa ni Husna Rashid mkazi wa Kigogo, Amina Rashid, Yonas Maganga, Sharifa Said na Ally Mdowa. Kwa upande wake, diwani wa Kata ya Tabata, Mtumwa Mohamed alisema ameshuhudia miili ya watu sita ikielea katika maji yaliyokuwa yanapita kwa kasi katika Mto Msimbazi eneo la Matumbi, Tabata jijini Dar es Salaam, jana. "Wale ni marehemu, hiyo haina ubishi kwani hakuna hata mmoja ambaye alikuwa anajaribu kujitetea" alisema na kuongeza kuwa watu hao ni tofauti na wengine zaidi ya sita waliokuwa wamepanda juu ya mti aina ya mwarobaini ambao nao ulisombwa na maji na kudondoka nao," alisema na kuongeza:, "Hali si nzuri nafikiri watu wengi zaidi watakuwa wamepoteza maisha.
Pia kuna taarifa za mtu mwingine kuchukuliwa na maji baada ya kurudi nyumbani kwake kwenda kuwaokoa watoto wake." Alisema mwanaume ambaye ni maarufu kwa jina la Bonge wa eneo la Matumbi, alitoka nje kwa madai kwamba anawafuata watoto wake na hakuweza hata kupiga hatua tatu akasombwa na maji. "Nilifika pale muda mfupi baada ya tukio na kuelezwa kuwa kuna mtu kasombwa, alikuwa anairudia familia yake," alisema na kuongeza kuwa hali ni mbaya katika kata yake na watu wengi zaidi huenda wamepotza maisha. Baadhi ya watu wamedai kuwa kundi la watu wanane ambao walishika mikono kuvuka katika eneo la Matumbi ambalo lilijaa maji, lilisombwa na maji wakati wakijaribu kuvuka hali ambayo iliwafanya vijana wa eneo hilo kuzuia mtu yeyote asijaribu kuvuka.
Katika eneo la Kigogo, watoto watano wa familia moja waliripotiwa kupotea na tayari baba yao Issa Rajabu Mkazi wa Kigogo, aliliambia gazeti hili kuwa watoto hao na mama yao, walipotea muda mfupi baada ya maji kujaa kwenye nyumba yao. “Mpaka sasa hivi nimewapata watoto wawili, bado watatu sijui walipo,” alisema Rajabu. Rugimbana Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na Kaimu Mkuu wa Wilaya za Ilala na Temeke, Jordan Rugimbana alisema watu wanne walifariki dunia katika tukio hilo katika wilaya ya Kinondoni. Alisema kutokana na janga hilo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick ameagiza kuundwa vikosi kazi maalumu kwa ajili ya kuhakikisha wanatoa msaada kwa wananchi walioathirika hasa katika Bonde la Msimbazi ambalo lilionekana kuathirika sana. Alisema vikosi kazi hivyo vitafanya kazi kutambua maeneo yaliyoathirika kwa kiasi kikubwa kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi na Msalaba Mwekundu, kutenga maeneo maalumu ya kupokelea wananchi. Alitaja maeneo hayo kuwa ni Shule ya Sekondari Kibasila katika Wilaya ya Temeke, Shule ya Msingi Kilimani Rutihinda (Kinondoni) na Msimbazi katika Manispaa ya Ilala. Hosipitalini Muhimbili Ofisa Uhusiano Msaidizi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Jeza Waziri alisema wamepokea majeruhi wawili na maiti moja. Aliwataja majeruhi hao kuwa ni Deo Joseph (24) kutoka Tandale na Ibrahim Batazani (30) anayetokea Ilala na kwamba walifikishwa hospitalini hapo saa 9.30 mchana. “Tumepokea majeruhi wawili na wametambulika na maiti moja ya mwanamke ambayo hadi hivi sasa haijatambulika, hawa majeruhi wanafanyiwa uchunguzi haijajulikana kama watalazwa au wataruhusiwa,”alisema Waziri
Mbowe asitisha ziara Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amelazimika kukatisha ziara jimboni kwake Hai kutokana na maafa yaliyowapata wananchi wa Dares Salaam. Mbowe alifafanua kwamba amelazimika kusitisha shughuli hizo jimboni na nyingine kitaifa katika kipindi hiki kigumu, ambacho taifa kimeingia. Mwenyekiti huyo ambaye pia ni kiongozi wa Upinzani Bungeni, aliwapa pole wote walioguswa na maafa hayo kwa namna moja au nyingine, ikiwa ni pamoja na kupoteza mali na ndugu.
Zitto Kabwe atoa change moto
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amewapa pole watu wote wa Dar es Salaam kutokana na madhara ya mvua.
“Ninawapa pole watu wote wa Dar es Salaam, pia tujitokeze kwa wingi kusaidia Watanzania wenzetu waweze kurejea katika maisha ya kawaida. Pia kwa upande wa Serikali hii ni changamoto ya kuboresha mipango miji ya Jiji la Dar es Salaam,” alisema
Zitto alisema kwamba viongozi waache kukaa ofisini katika kipindi hiki na badala yake watembee makazi ya watu ambao wamepata maafa haya. “Nimepita maeneo mbalimbali, hali ya maisha ya hawa Watanzania wenzetu inatisha. Tushirikiane na tuwe wamoja kipindi hiki kigumu,” alisema
Habari hii imeandaliwa na Fredy Azzah, Hadija Zuberi, Ibrahim Yamola, Boniface Meena, Aidan Mhando, Lauden Mwambona, Joseph Zablon, Keneth Goliama na Pamela Chilongola
Waandishi Wetu WATU 11 wakiwamo watatu wa familia moja, wameripotiwa kufariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia mvua zilizoendelea kunyesha jana katika Jiji la Dar es Salaam na viunga vyake na kuvuruga mfumo wa usafiri na shughuli za kiuchumi.Miondombinu mbalimbali ya Jiji hilo ikiwamo madaraja na nyumba vilivunjwa na kusababisha adha kubwa kwa wakazi ambao wengi wao, walishindwa hata kwenda kazini.
Baadhi ya barabara zikiwamo Morogoro eneo la Jangwani na Ali Hassan Mwinyi eneo la daraja la Salenda zilifungwa kwa muda kutokana na kujaa maji kiasi cha kuhatarisha maisha ya watumiaji wake.
Mvua hiyo ya siku mbili mfululizo kunyesha jijini Dar es Salaam, jana ilifanya maeneo mengi zikiwamo barabara muhimu kama Nyerere kuanzia Uwanja wa Ndege, Kawawa eneo la Kigogo Darajani na Mandela eneo la Tabata Matumbi, kushindwa kupitika kwa saa kadhaa kutokana na kujaa maji.
Katika barabara ya Mandela hali ilikuwa tete baada ya maelfu ya abiria waliokuwa wanasafiri kutoka Buguruni kwenda Ubungo, kukwama katika daraja la Matumbi.
Kwa zaidi ya saa nne tangu saa 1:00 asubuhi abiria walioonekana wakishuka kutoka kwenye magari na kutembea kwa miguu mithili ya maandamano, huku makumi ya magari yakiwa yamezimika barabarani.
Wakati hayo yakitokea, watumiaji wa barabara ya Mandela walikwama kutokana na msururu mrefu wa magari kufuatia baadhi yake kuzima na kufunga barabarani.
Katika barabara hiyo eneo la TIOT, ulionekana moshi mkubwa angani uliotokana na moshi wa gesi baada ya bomba linalopitisha gesi hiyo kupasuka. Moshi huo uliwafanya watu waliokuwa kwenye magari kupatwa na vikohozi.
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetaja mvua zilizonyesha jana na juzi kuwa hazijawahi kutokea katika miaka ya karibuni, na kwamba mara ya mwisho mvua kubwa kama hiyo ilirekodiwa mwaka 1954.
Madaraja yasombwa Baadhi ya madaraja yalisombwa au kuvunjwa na maji hivyo kusababisha shida ya usafiri katika jiji hilo.
Daraja la Mbezi katika barabara ya Morogoro lililoko jirani na kibanda cha mkaa eneo la Tanesco lilivunika na kusababisha kukatika mawasiliano ya safari za kutoka na kwenda katikati ya jiji.
Mawasiliano katika daraja hilo yalikatika saa 11:00 alfajiri, na kusababisha misururu ya magari yaliyokuwa yakisubiri maji yapungue ili yapite.
"Hii leo sio kawaida, heri ya jana, sisi tumekwama tangu saa 10:30 alfajiri na mpaka sasa 1:45 asubuhi hatujui tutaondoka saa ngapi," alisema mmoja wa abiria waliokwama eneo hilo, ambaye alipiga simu ofisi za gazeti hili bila kutaja jina lake.
Vitus Andrew aliyejitambulisha kuwa ni dereva wa gari aina ya Mitsubishi fuso, alisema alifika eneo hilo saa 11.20 alfajiri na kukuta msururu wa magari ukiwa hautembei hivyo kumalazimu kuzima gari na kulala.
“Ndugu yangu, nimefika hapa mapema nikiwa naelekea Tabora, lakini naona safari yangu imeishia hapa kwa leo na kibaya zaidi hakuna kiongozi ama askari yeyote aliyefika kusimamia usalama wa abiria na magari kwani hali ya usalama si nzuri,” alisema Andrew.
Taarifa zilizopatikana baadaye, zilisema magari yalianza kupita kwenye daraja hilo saa 2:20 asubuhi. Daraja la Mbezi Bondeni linalounganisha Mbezi Beach na Mwenge, wilayani Kinondoni limekatika upande mmoja kutokana na mafuriko hivyo kufanya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kikosi cha Lugalo kuweka kambi maalumu kwa ajili ya kulinda usalama. Hatua hiyo imesababisha wananchi wanaotoka Mbezi kuelekea Mwenge, kushindwa kutumia magari na kulazimika kuvuka kwa miguu kutokana na magari yote kuzuiwa kupita eneo hilo.
Daraja lililopo Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lilijaa maji hivyo kulazimisha uongozi wa jeshi kuzuia magari yasipite kwa muda.
Maeneo mengine ya Jiji Usalama wa maisha na mali kwa wananchi katika Bonde la Mto Msimbazi umekuwa hatarini kutokana na mvua hizo.
Mamia ya watu waliyakimbia makazi yao huku wengine wakiwa juu ya mapaa ya nyumba wakisubiri kuokolewa kutokana na nyumba zao kuzingirwa na maji. Wengine walionekana juu ya minazi wakisubiri msaada kutoka kwa wasamaria wema huku helikopta ya polisi ikipita bila kuweza kutoa msaada wowote. Mvua hizo zilisababisha balaa kwa wakazi wa eneo la Ubungo External, ambako maji ya Mto Ubungo yalisambaa kwenye makazi ya watu na kusomba mali zao.
Mwanamke ambaye ni mkazi wa eneo hilo ambaye jina lake halikufahamika mara moja, alisikika akisema tangu kuishi kwake Dar es Salaam miaka 34 iliyopita, hakuwahi kuona mafuriko ya aina hiyo.
Eneo la Mikocheni nako hali haikuwa shwari baada ya nyumba nyingi za wakazi wa eneo hilo kuzolewa na maji yaliyokuwa yanatokea katika bonde la mpunga, lenye mkondo wa maji ya bahari.
Hata hivyo, baadhi ya wakazi walitaja sababu za eneo hilo kujaa maji kuwa ni ujenzi holela wa makazi ya watu hasa maeneo ya My Fair Plaza.
Amos John mkazi wa eneo hilo alisema umefika wakati Serikali ikachukua hatua za makusudi kuhakikisha mkondo huo wa maji unaachwa huru ili kunusuru maisha ya wakazi wa eneo hilo.
Katika eneo la Tandale kwa Tumbo, Mwananchi lilishuhudia watu wakiwa katika hali mbaya huku wakiomba msaada baada ya kuzidiwa na maji.
Hali hiyo ilisababisha baadhi ya nyumba kusombwa na maji, huku baadhi ya wamiliki wake wakionekana katika makundi wakiomba msaada.
Wakizungumza katika eneo hilo jana, walisema hali imezidi kuwa mbaya tofauti na juzi na kwamba sasa ndio wamepoteza mwelekeo wa maisha kabisa kwa kupoteza mali zao na vitu muhimu ambavyo wanavitegemea kwa ajili ya kuendesha maisha yao.
“Sio jambo jepesi kurudi katika hali ambayo nilikuwa nayo kwa sababu nimepoteza mali zangu zote hasa ukizingatia nilikuwa nafanya biashara. Vitu vilivyokuwa dukani kwangu vimechukuliwa na maji na sasa sijui wapi nitakimbilia kupata msaada,” alisema Salum.
Mjumbe wa Serikali ya Mtaa Kwa Tumbo, Zinduna Kimbonaga, alisema: “Hali siyo nzuri, kipindi hiki kunahitajika hatua za dharura ili kuwakomboa wakazi wa eneo hili”.
“Watu hawana makazi wala vyakula. Hali ni mbaya, Serikali inatakiwa kufanya jitihada za kutoa misaada ya chakula na malazi ili kuepusha magonjwa ya milipuko,” alisema Kimbonaga ambaye pia alibainisha kuwa juzi, Mbunge wa Kinondoni Idd Azan, aliwapa misaada ambayo inahitajika kuongezwa. Mbagala, Tabata Kimanga Wakazi wa kata ya Kijichi, jana walilazimika kutembea kwa miguu hadi maeneo ya Mtongani na Misheni kutokana na kukatika ghafla kwa mawasaliano ya usafiri katika daraja la Kijichi.
Daraja hilo lilifurika maji na hivyo kufanya magari madogo zikiwamo Hiace kushindwa kupita eneo hilo na yale yaliyofanikiwa kupita yaliongeza nauli hadi Sh500 badala ya kati ya Sh300 na Sh400.
Daraja lililopo kati ya eneo la madukani na chama, lilifurika maji hivyo kufanya watu wanaoishi Tabata Kimanga kushindwa kwenda makazini.
Daraja hilo lilianza kufurika maji saa 12:00 asubuhi na kupungua saa 3:00 asubuhi ambapo magari yenye uwezo mkubwa kama Toyota Land Cruiser na Defender yalianza kupita.
Magari mengi ya abiria yalishindwa kuendelea na safari kutokana foleni pamoja na barabara nyingi kujaa maji.
Pia nyumba zilizopo katika bonde hilo zilifurika maji huku nyingine zikibomoka kabisa hali iliyofanya watu walioshindwa kuwahi kuyakimbia maji hayo, kupanda juu ya dari na kubaki kuchungilia nje jinsi mali zao zinavyosombwa na maji.
Hali hiyo pia ilijitokeza eneo la Tabata Msimbazi, ambako taharuki ilijitokeza baada ya maji ya mto Msimbazi kujaa kwenye nyumba za watu.
Maji hayo yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha kuanzia saa 10 alfajiri ya kuamkia jana na yalisababisha wakazi wa eneo la Msimbazi Nyaluhela na Kwa Swai, hususan wanawake na watoto kutimua mbio kwenda maeneo ya Mwinuko kwa ajili ya hifadhi. Cosmas Ndijo kutoka eneo Tabata Bima kwenye mwinuko alisema aliona mto huo ukisomba mizoga ya ng’ombe, mbuzi, kondoo, meza, viti na magodoro. Naye Baraka Bansy alisema Mto Msimbazi ulijaa maji mengi na kusomba miti mingi kutoka mbali na kwamba, nyumba nyingi eneo la Msimbazi zilikuwa zimezingirwa na maji.
“Maji yamefika msikiti wa Msimbazi, wanawake na watoto wanazidi kutimua mbio kuokoa maisha yao,” alisema Baraka. Kadhalika mvua hiyo ya jana ilisababisha barabara ya Umoja kuanzia Bima kwenda kwa Msimbazi kujaa maji na kusababisha watu kuvua viatu kupita eneo hilo.
Usafiri wa daladala na teksi kutoka Tabata kwenda Buguruni ama Ubungo, ulisimama asubuhi ya jana kutokana na maji ya mto Msimbazi kupita juu ya daraja. Matumbi huku eneo la Tabata Relini nalo likijaa maji ambayo yalisababisha kupasuka kwa bomba la gesi. Mabomba ya gesi yalipasuka kwenye eneo la viwanda vilivyopo Kituo cha TOT barabara ya Mandela na kusababisha moshi uliojaa harufu mbaya ambayo ilisababisha watu wengi kufadhaika. Vifo Kinondoni Kamanda wa Polisi mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela alisema maji yalikuwa yamejaa pia kwenye ofisi za Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Taifa (UNDP). Kamanda Kenyela alifafanua kwamba juhudi za uokoaji zilikuwa zikiendelea kwa watu waliokuwa ndani ya ofisi hizo.
Habari kutoka katika Hospitali ya Mwananyamala zinasema, kulipokelewa maiti saba na majeruhi watano katika hosipitali hiyo. Muuguzi wa zamu wa hospitali hiyo Marry Shayo aliliambia gazeti hili kuwa kati ya maiti hao watatu ni wa familia moja. aliwataja kuwa ni Tatu, Sharifa na Amran wote wa ukoo wa Abeid. Maiti wengine ni wanne hawajatambuliwa. Shayo alitaja majeruhi kuwa ni Husna Rashid mkazi wa Kigogo, Amina Rashid, Yonas Maganga, Sharifa Said na Ally Mdowa. Kwa upande wake, diwani wa Kata ya Tabata, Mtumwa Mohamed alisema ameshuhudia miili ya watu sita ikielea katika maji yaliyokuwa yanapita kwa kasi katika Mto Msimbazi eneo la Matumbi, Tabata jijini Dar es Salaam, jana. "Wale ni marehemu, hiyo haina ubishi kwani hakuna hata mmoja ambaye alikuwa anajaribu kujitetea" alisema na kuongeza kuwa watu hao ni tofauti na wengine zaidi ya sita waliokuwa wamepanda juu ya mti aina ya mwarobaini ambao nao ulisombwa na maji na kudondoka nao," alisema na kuongeza:, "Hali si nzuri nafikiri watu wengi zaidi watakuwa wamepoteza maisha.
Pia kuna taarifa za mtu mwingine kuchukuliwa na maji baada ya kurudi nyumbani kwake kwenda kuwaokoa watoto wake." Alisema mwanaume ambaye ni maarufu kwa jina la Bonge wa eneo la Matumbi, alitoka nje kwa madai kwamba anawafuata watoto wake na hakuweza hata kupiga hatua tatu akasombwa na maji. "Nilifika pale muda mfupi baada ya tukio na kuelezwa kuwa kuna mtu kasombwa, alikuwa anairudia familia yake," alisema na kuongeza kuwa hali ni mbaya katika kata yake na watu wengi zaidi huenda wamepotza maisha. Baadhi ya watu wamedai kuwa kundi la watu wanane ambao walishika mikono kuvuka katika eneo la Matumbi ambalo lilijaa maji, lilisombwa na maji wakati wakijaribu kuvuka hali ambayo iliwafanya vijana wa eneo hilo kuzuia mtu yeyote asijaribu kuvuka.
Katika eneo la Kigogo, watoto watano wa familia moja waliripotiwa kupotea na tayari baba yao Issa Rajabu Mkazi wa Kigogo, aliliambia gazeti hili kuwa watoto hao na mama yao, walipotea muda mfupi baada ya maji kujaa kwenye nyumba yao. “Mpaka sasa hivi nimewapata watoto wawili, bado watatu sijui walipo,” alisema Rajabu. Rugimbana Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na Kaimu Mkuu wa Wilaya za Ilala na Temeke, Jordan Rugimbana alisema watu wanne walifariki dunia katika tukio hilo katika wilaya ya Kinondoni. Alisema kutokana na janga hilo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick ameagiza kuundwa vikosi kazi maalumu kwa ajili ya kuhakikisha wanatoa msaada kwa wananchi walioathirika hasa katika Bonde la Msimbazi ambalo lilionekana kuathirika sana. Alisema vikosi kazi hivyo vitafanya kazi kutambua maeneo yaliyoathirika kwa kiasi kikubwa kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi na Msalaba Mwekundu, kutenga maeneo maalumu ya kupokelea wananchi. Alitaja maeneo hayo kuwa ni Shule ya Sekondari Kibasila katika Wilaya ya Temeke, Shule ya Msingi Kilimani Rutihinda (Kinondoni) na Msimbazi katika Manispaa ya Ilala. Hosipitalini Muhimbili Ofisa Uhusiano Msaidizi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Jeza Waziri alisema wamepokea majeruhi wawili na maiti moja. Aliwataja majeruhi hao kuwa ni Deo Joseph (24) kutoka Tandale na Ibrahim Batazani (30) anayetokea Ilala na kwamba walifikishwa hospitalini hapo saa 9.30 mchana. “Tumepokea majeruhi wawili na wametambulika na maiti moja ya mwanamke ambayo hadi hivi sasa haijatambulika, hawa majeruhi wanafanyiwa uchunguzi haijajulikana kama watalazwa au wataruhusiwa,”alisema Waziri
Mbowe asitisha ziara Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amelazimika kukatisha ziara jimboni kwake Hai kutokana na maafa yaliyowapata wananchi wa Dares Salaam. Mbowe alifafanua kwamba amelazimika kusitisha shughuli hizo jimboni na nyingine kitaifa katika kipindi hiki kigumu, ambacho taifa kimeingia. Mwenyekiti huyo ambaye pia ni kiongozi wa Upinzani Bungeni, aliwapa pole wote walioguswa na maafa hayo kwa namna moja au nyingine, ikiwa ni pamoja na kupoteza mali na ndugu.
Wednesday, December 21
Nyumba zachomwa moto kwa imani za kishirikina. Na Fredy Bakalemwa, Mbeya.
Wakazi wa mtaa wa Igoma A kata ya Isanga jijini Mbeya wamezizoma moto nyumba mbili, moja ikiwa ya mwenyekiti wa mtaa huo Bwana Juma Kahawa.
Nyumba nyingine iliyoteketezwa kwa moto na watu walioamua kujichukuliwa sheria mkononi ni ya Bwana Herman Tonji naye ni mkazi wa mtaa huo.
Imedaiwa na baadhi ya wakazi wa mtaa huo kuwa hatua hiyo imefikiwa kutokana na kuwatuhumu watu hao kuwa ni washirikiana kwa madai kuwa baadhi ya watoto katika mtaa huo wamepotea na kukutwa wakiwa wamekufa katika mazingira tatanishi.
Tukio la Jumatano jioni katika mtaa wa Igoma kata ya Isanga lilinaswa na kamera ya Star Tv ambapo umati wa watu walitoka mkutanoni baada ya kushindwa kupata mwafaka hasira zikawaelekeza kujichukulia sheria mkononi.
Wakati tukio likiendelea kikosi cha zima moto kilifika eneo la tukio ili kuokoamalizilizokuwa zimesalia lakini hata hivyo sehemu kubwa yamalizilikuwa zimeteketea.
Kwa kuwa watekelezaji wa hatua hiyo walitambua kuwa wanavunja sharia, baada ya kuona askari polisi wakiwa na silaha hakuna aliyesalia bali walihamia katika nyumba nyingine ya Bwana Herman Tonji.
Polisi walipofika wakachukua hatua za kuokoa baadhi yamalikabla ya kuteketea, lakini siyo kila kitu kiliguswa.
Kamanda wa polisi mkoani Mbeya ACP Advocate Nyombi alitoa tamko, kuthibitisha tukiohilokwa kuwataka wananchi kutojichukulia sheria mkononi.
Mwisho.
Nyumba nyingine iliyoteketezwa kwa moto na watu walioamua kujichukuliwa sheria mkononi ni ya Bwana Herman Tonji naye ni mkazi wa mtaa huo.
Imedaiwa na baadhi ya wakazi wa mtaa huo kuwa hatua hiyo imefikiwa kutokana na kuwatuhumu watu hao kuwa ni washirikiana kwa madai kuwa baadhi ya watoto katika mtaa huo wamepotea na kukutwa wakiwa wamekufa katika mazingira tatanishi.
Tukio la Jumatano jioni katika mtaa wa Igoma kata ya Isanga lilinaswa na kamera ya Star Tv ambapo umati wa watu walitoka mkutanoni baada ya kushindwa kupata mwafaka hasira zikawaelekeza kujichukulia sheria mkononi.
Wakati tukio likiendelea kikosi cha zima moto kilifika eneo la tukio ili kuokoamalizilizokuwa zimesalia lakini hata hivyo sehemu kubwa yamalizilikuwa zimeteketea.
Kwa kuwa watekelezaji wa hatua hiyo walitambua kuwa wanavunja sharia, baada ya kuona askari polisi wakiwa na silaha hakuna aliyesalia bali walihamia katika nyumba nyingine ya Bwana Herman Tonji.
Polisi walipofika wakachukua hatua za kuokoa baadhi yamalikabla ya kuteketea, lakini siyo kila kitu kiliguswa.
Kamanda wa polisi mkoani Mbeya ACP Advocate Nyombi alitoa tamko, kuthibitisha tukiohilokwa kuwataka wananchi kutojichukulia sheria mkononi.
Mwisho.
Mafuriko yaleta maafa Dar • Watu kumi wahofiwa kufa, 2,000 wakosa makazi
MVUA kubwa iliyoambatana na upepo mkali na radi iliyonyesha usiku wa kuamkia jana jijini Dar es Salaam, imesababisha vifo vya watu zaidi ya kumi pamoja na kusababisha uharibifu wa miundombinu, huku zaidi ya watu 2,000 wakikosa makazi.
Miongoni mwa maeneo yaliyokumbwa na maafa hayo kwa kiasi kikubwa ni Kigogo Mburahati, Ubungo Msewe, Bonde la Mkwajuni, Bonde la Msimbazi na mengine ambako nyumba za watu zilizama na kusababisha baadhi ya wananchi kutojulikana waliko.
Akizungumza na Tanzania Daima Jumatano, mmoja wa wahanga hao kutoka eneo la Kigogo Mburahati, Grace Anthony alisema watoto wadogo wawili wanasaidikiwa kufa katika eneo hilo baada ya kusombwa na maji wakati wakiwa katika harakati za kujiokoa.
Mzee mwingine anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 60 anadaiwa kufa maji baada ya mwili wake kukutwa katika Mto Msewe eneo la Ubungo Msewe, wakati mtoto mwingine wa miaka minane anadaiwa kufariki dunia katika eneo la Kiwalani, baada ya kushika waya wa umeme ulioanguka kutokana na mvua hizo.
Aliyataja maeneo yaliyokumbwa na mafuriko hayo ni kutoka eneo la Festini hadi kituo cha Saluni, yote yakiwa Kigogo Mburahati ambako baadhi ya nyumba zilizamishwa chini huku watu wakihangaika kuokoa maisha yao.
“Maji yametapakaa eneo lote kama unavyoona na baadhi ya nyumba zimeezuliwa, mali zetu zimesombwa pamoja na gari za watu, hapa hatuna jinsi, kilichopo kwa sasa ni kuiomba serikali itusaidie,” alisema Anthony.
Alisema chanzo cha mafuriko hayo ni mkondo wa maji ya mvua yanayotoka maeneo ya Mabibo na Kigogo kushindwa kupita katika daraja la Kigogo, hali inayosababisha maji hayo kupwa na kusambaa ndani ya makazi ya watu.
Aliyafananisha mafuriko hayo na gharika kwani awali liliwahi kutokea mwaka 1997 na kusababisha watu kadhaa kupoteza maisha yao.
“Mafuriko ya leo ni ya pili kutokea, tukio kama hili tulikumbana nalo mwaka 1997 na chanzo kikubwa ni ufinyu wa daraja pamoja na msongamano wa kaya za watu hasa kwa wale wanaoishi mabondeni.
“Awali mwaka huu mwezi Machi mafuriko yalitokea lakini yalisababisha kaya zilizokumbwa na mafuruko hayo kukosa mahali pa kuishi kutokana na maji kujaa ndani, huku baadhi ya kaya zikitakiwa kubomolewa ili kupisha upanuzi wa barabara sanjari na daraja,” alifafanua Anthony.
Vyanzo vya uhakikika vililiambia Tanzania Daima Jumatano kwamba maeneo ya Bonde la Mkwajuni pia na Kigogo kuna nyumba zimezama, hivyo kusababisha baadhi ya watu kutoonekana.
“Nyumba nyingi zimezama; watu wanahaha kwa kushindwa kujua la kufanya badala yake wengi wao wamelazimika kukaa juu ya mabati ya nyumba zao wakiwa na magodoro… suala hili limetokea katika eneo la Bonde la Mkwajuni na Kigogo,” kilisema chanzo hicho cha habari.
Habari nyingine zinaeleza kwamba katika eneo la Magomeni Mwembechai nyumba zilijaa maji hadi eneo la dirishani, hivyo kuwalazimu wanaoishi kuzihama kwa muda.
Kwa mujibu wa habari, hadi saa 7:19 mchana jana wananchi hao bado walikuwa hawajapatiwa msaada wowote zaidi ya kuhaha.
Taarifa kutoka kwa mashuhuda zinapasha kwamba maafa mengine yametokea katika eneo la Kigogo kutokana na nyumba nyingi kujaa maji hivyo kuwakosesha wananchi wake mahala pa kuishi.
Katika maeneo ya Mbagala, Wilaya ya Temeke iliripotiwa kwamba mvua hizo zilizoambatana na radi zimesababisha kupigwa shoti ya umeme hivyo kubomoka.
Mvua hizo zilisababisha pia tafrani baada barabara nyingi kujaa maji na kusababisha misafara ya magari kukwama kwenye foleni kwa muda mrefu.
Baadhi ya abiria waliokuwa wakisafiri kwa daladala kwa nyakati tofauti walisema kwamba mvua hizo zimewafanya washindwe kufika katika sehemu zao za kazi kwa wakati.
Walisema kulikuwa na madimbwi ya maji katika barabara mbalimbali likiwamo eneo sugu la Akiba, hali iliyowafanya madereva kushindwa kupitisha magari yao katika hali ya kawaida.
Mmoja wa abiria hao, Shaban Issa alisema ukiachilia mbali madimbwi ya maji, kulikuwa na ukiukwaji wa sheria za barabarani uliofanywa na madereva walipofika kwenye makutano ya barabara kutokana na kutokuwepo askari wa kuongoza magari.
Alisema kutokana na kutokuwepo askari wa kuongoza magari katika makutano hayo ya barabara kutokana na mvua hiyo, baadhi ya madereva walikuwa wakipitisha magari yao bila kutii taa za barabarani, hali iliyosababisha msongamano na kuzusha foleni zisizo za lazima.
Naye Maggy Mdoe, alisema maeneo mengine yalioathirika na msongamano huo ni pamoja na Ubungo mataa, Usalama, Tazara, Morocco na Fire.
“Tumechukua muda mrefu kwa sababu ya uzembe wa madereva kushindana kupita kwenye mataa kutokana na kujifanya wana haraka wakati hata hawajaruhusiwa na taa za upande wao,” alilalamika Mdoe.
Alitoa wito kwa madereva kuheshimu sheria za usalama barabarani, na si lazima kila mara wasimamiwe na mtu kwani huo si utaratibu mzuri.
Mafuriko hayo pia yamewakosesha makazi baadhi ya wananchi wa eneo la Tabata Relini kutokana na nyumba pamoja na vyombo vyao kusombwa na maji.
Mmoja wa wakazi wa eneo hilo, Alli Khatib aliliambia Tanzania Daima Jumatano kwamba mafuriko yanasababishwa na serikali kwa kutojenga miundombinu imara kwa ajili ya kuzuia majanaga ya mafuriko.
Aliitaka serikali kuwatengenezea mkondo wa kupitisha maji ili kuweza kuzuia mafuriko hayo ambayo yanawafanya kukosa makazi ya kuishi.
Alisema kuwa mvua iliyonyesha kwa siku moja imesababisha watu kukosa makazi, na kwamba kama ikinyesha kwa siku mbili serikali itegemee maafa makubwa kwa wananchi wanaoishi katika mikondo ya mifereji midogo.
“Mvua hii imekosesha wananchi sehemu ya kukaa kutokana na nyumba kujaa maji ya mafuriko pia daraja la Ubungo Msewe kuzolewa na maji,” alisema Khatib.
Mvua hizo zimesababisha pia mawasiliano kuharibika katika eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam pamoja na watu waishio Kimara na Mbezi kushindwa kupita katika barabara yenye daraja hilo.
Katika hatua nyingine, Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azan, amesema atachukua hatua za haraka kuimarisha miundombinu ya maeneo mbalimbali ili kukabiliana na hali ya mafuriko makubwa kama ilivyopata kutokea mwaka 1998 na jana kwenye maeneo ya Tandale kwa Mtogole, bonde la Kigogo na Magomeni.
Azan ambaye alikuwa akitembelea maeneo yaliyoathirika zaidi na mvua hizo, alisema wakazi wa Tandale na maeneo yake, wanakabiliwa na changamoto ya miundombinu kwani ndio chanzo cha mafuriko.
“Suala hili la mafuriko kwa wakazi wa Jimbo la Kinondoni, lipatiwe ufumbuzi ikiwemo kujenga mitaro mikubwa maeneo korofi ya Tandale ili kuzuia ama kukabiliana na hali hiyo,” alisema Azan.
Tanzania Daima lilikuwa kwenye eneo la tukio tangu alfajiri, ili shuhudia foleni kubwa kwa magari yaliyokuwa yakipita Barabara ya Shekilango, yakisubiri kupungua kwa maji.
Katika eneo hilo gari aina ya Escudo lilisombwa na maji na kutumbukia mtoni huku baadhi ya fremu za muda za eneo la mto huo zikiwa zimejaa maji na zingine kuharibika kabisa.
Kwa upande wa abiria waliokuwa wakitumia barabara ya Tandale, walikwama kupita baada ya maji kutanda barabarani.
Aidha, katika hali ya kusikitisha, mtoto mchanga wa siku moja aliokotwa akielea kwenye maji na kuopolewa na askari wa Kikosi cha Zimamoto akiwa amekufa.
Habari hii imeandaliwa na Hellen Ngoromera, Efracia Massawe, Shehe Semtawa, Chalila Kibuda na Andrew Chale.
Tuesday, December 20
Jesus (Isa) A.S. in Islam, and his Second Coming by Mufti A.H. Elias I. Jesus (A.S.)
In Islam
Muslims do believe that Isa (A.S.) was sent down as a Prophet of Allah (God), but he (Jesus) is not God or Lord, nor the son of God. Muslims do not believe that Isa (A.S.), also known as Jesus by Christians and others, is dead or was ever crucified. We believe that he was raised to heaven and is there, and will descend at the appointed time, end all wars, and bring peace to the world. Like Jesus (A.S.), Muhammad (Peace be upon him) is also a Prophet and Messenger. Muhammed (P.B.U.H.) is the last Prophet, though, and there is none after him. Hence, Islam is the last religion, complete, with the Holy Qur'an as the unchanged and perfect word of God for over 1400 years, as God promised to preserve it till the last day for all of humankind, unlike sacred texts of other religions which have mulitple versions and are "revised" periodically. God, or Allah in Arabic, is Divine and Supreme Being and Creator.
What the Holy Qur'an says about Jesus:
They slew him not, nor did they crucify him but it was made dubious to them. (Holy Qur'an, Surah Nisaa, Verse 157)
Hadhrat Isa (A.S.) himself told of the coming of Prophet Muhammad (Peace be upon him). In the Bible, Jesus (A.S.) says, If you love me, Keep my commandments. And I will pray to the Father and He shall give you another comforter that he may abide with you forever. (Bible, John 14-15/16)
But when the comforter is come, whom I will send unto you from the Father, even the spirit of Truth, which proceedeth from the Father, he shall testify of me, and he also shall bear witness, because ye have been with me from the beginning. (Bible, John 15-26/27)
I have yet many things to say unto you, but you cannot bear them now. How be it when he, the spirit of Truth will come, he will guide you into all truth, for he shall speak not of himself, but whatsoever he shall hear, that he shall speak, and he will show you things to come. He shall glorify me, for he shall receive of mine, and he shall show it unto you. (Bible, John 16-12/14)
Ulema (learned scholars in Islam) have said that the person who is described by Hadhrat Isa (A.S.) to come after him - in the above verse - does not comply with any other person but Prophet Muhammad (Peace be upon him).
In this case, the "comforter" he mentions is none other than Prophet Muhammad (Peace be upon him) and his laws and way of life (Shariah) and Book (Holy Qur'an) are those that Hadhrat Isa (A.S.) asks his followers to abide by.
The "person" whom Jesus (A.S.) prophecised will come after him, is called Pargaleeta in the Bible . This word was deleted by interpreters and translators and changed at times to "Spirit of Truth" and at other times, to "comforter" and sometimes "Holy Spirit." The original Greek and its meaning is "one whom people praise exceedingly." The sense of the word, then, is applicable to the word Muhammad in Arabic, since Muhammad means "the praised one." Jesus (A.S.) also says in the Bible, ... and a little while and you shall not see me; and again a little while, you shall see me because I go to the Father. (Bible, John 16:16) ... and the Holy Qur'an says, And surely they slew him not. But Allah (God) raised him unto Himself. (Holy Qur'an, Surah Nisaa, Verse 157-158)
As such, Muslims believe that Hadhrat Isa (A.S.) was raised to heaven. According to Hadith, he is on the second heaven. Rasulullah (Sallallaahu Alayhi Wasallam=Peace be upon him) mentioned, "During the Meraj (Ascension), I met Hadhrat Isa (A.S.) on the second heaven. I found him of medium stature, reddish white. His body was so clean and clear, that it appeared as though he had just performed ghusal (ablution, cleansing of the entire body) and come." In another Hadith, Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam) mentioned to the Jews that, " Hadhrat Isa (A.S.) is not dead, he will most surely return to you before Qiyamat (the Day of Judgement)."
May Allah Guide all people to the Truth. Aameen.
II. Hadhrat Isa's (A.S.) Descension The Physical Features of Hadhrat Isa (A.S.)
He will resemble the famous Sahabi (A.S.) Hadhrat Urwa bin Masoodi (R.A.). He will be of average height and red and white in colour. His hair spread to the shoulders, straight, neat and shining as after a bath. On bending his head, it will seem as if pearls are falling. He will have an armour on his body. He will be wearing two pieces of cloth light yellow in color.
His Descension
He will descend on a Jamaat (group) that will be righteous at the time and comprising of 800 men and 400 women. The people will be preparing for war at the time against Dajjal (the anti-Christ). It will be time for Fajr prayers, and Imam Mahdi will be the Amir (leader). From the darkness of the dawn, a sound will suddenly be heard that "one who listens to your pleas has come" -- the righteous people will look everywhere and their eyes will fall on Isa (A.S.). Briefly, at the time of Fajr, Isa (A.S.) will descend. When descending, Isa (A.S.)'s hands will be on the shoulders of two angels (according to another source (Kab Abrar), a cloud will carry him). On their insistence Hadhrat Isa will introduce himself. He will inquire about their enthusiasm and thoughts on Jihad against Dajjal. Hadhrat Isa (A.S.) will descend on the eastern side near the Minaret in Damascus (or in Baitul-Muqaddus by Imam Mahdi). At the time Imam Mahdi will have proceeded forward to lead the Fajr Salaat. The Iqamat of the Salaat would have been said (already recited) and Imam Mahdi will call Hadhrat Isa (A.S.) for Imamat (to lead the prayer), but he (Hadhrat Isa (A.S.)) will instead tell Imam Mahdi to lead the prayer since the Iqamat of that Salaat has already been said for him. Thus Imam Mahdi will lead the prayer, and Hadhrat Isa (A.S.) will follow him. After the ruku, he will make this statement: "Allah has killed Dajjal and the Muslims have appeared."
The Killing of Dajjal (anti-Christ) and the Victory of the Muslims
After the completion of Fajr Salaat (congregational dawn prayers), Hadhrat Isa (A.S.) will open the door behind him where Dajjal accompanied by 70,000 Yahudis (Jews) will be. He will indicate with his hand to move away between him (Hadhrat Isa (A.S.)) and Dajjal. Dajjal will then see Hadhrat Isa (A.S.). At that time every Kafir on whom the breath of Hadhrat Isa (A.S.) will reach, will die. His breath will reach up to the distance of his eyesight. The Muslims will then come down from the mountains and break loose on the army of Dajjal. There will be war, Dajjal will retreat, and Hadhrat Isa (A.S.) will pursue Dajjal. Hadhrat Isa (A.S.) will have two flexible swords and one shield with him and with these he will kill Dajjal at the Gate of Hudd. He willl show the Muslims the blood of Dajjal which will get on his shield. Eventually the Yahudis will be selected and killed. The swine will be killed and the cross broken. People will revert to Islam. Wars will end, and people will return to their respective countries. One Jamaat (group) of Muslims will remain in his service and companionship.
Hadhrat Isa (A.S.) will go to Fajr Rawha and perform Haj or Umrah (or both) from there. He will also go to the grave of Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam) and present his greetings and Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam) will reply. People will live comfortable lives. The wall of Yajooj and Majooj (Gog and Magog) will then break.
III. The Blessings of Hadhrat Isa (Jesus) (A.S.)
1 Hadhrat Isa (A.S.) will descend and stay on earth.
2 His descension will be in the last era of the Ummat.
3 He will be a just ruler and a fair judge.
4 His ummat will be the Khalifa (deputies) of Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam).
5 He will act himself and instruct others on the Qur'an and Hadith (Shariat/Tradition of Islam).
6 He will lead people in Salaat (Prayer).
7 He will stay on earth for a period of 40 years after descending. The will be the best era of the Ummat after the first era of Islam.
8 Allah will protect his companions from Jahannam.
9 Those who will save the Deen of Islam by associating themselves with Hadhrat Isa (A.S.) will be amongst the most loved by Allah Ta'ala.
10 During this period all other religions and mazhabs besides Islam will perish, hence there will be no kuffaars (non-believers) in the world.
11 Jihad will be stopped.
12 No Khiraaj will be taken.
13 Nor Jizya (protection tax) money from the kafirs (non-believers)
14 Wealth and property will be in surplus to such an extent that there will be no one to accept the wealth of the other (everyone will be independent).
15 Receiving Zakaat (Alms-giving, Charity to poor) and Saadaqa will be discarded (as there will be no poor to receive them!).
16 The people will love the sajda (prostration to God) more than the world and what it consists of.
17 All types of Deeni (religious) and worldly blessings will descend on earth (many halaal (lawful) things will be created).
18 There will be peace, harmony and tranquility during the time of Hadhrat Isa (A.S.)'s stay in the world.
19 There will be no animosity for a period of seven years, even between two persons.
20 All hearts will be free from miserliness, envy, hatred, malice and jealousy.
21 For a period of forty years no one will fall ill or die.
22 Venom will be taken out of all venomous animals.
23 Snakes and scorpions will not harm anyone to the extent that if a child put his hand in its mouth, he will not be harmed.
24 Will animals will not harm anyone.
25 If a man will pass a lion, he will not be troubled or harmed, or even if any girl will open its mouth to test if it will do anything.
26 The camels will graze among lions, cheetahs with cattle and the jackals with goats.
27 The fertility of the land will increase to such an extent that even if a seed is planted in a hard rock, it will sprout.
28 A pomegranate will be so huge that a jamaat will be able to eat it and the people will use its peel as shade.
29 There will be so much barakaat (blessing) in milk that a camel will suffice for a huge jamaat, a cow for a tribe and a goat for a family.
30 In short, life will be most pleasant after the descension of Jesus (A.S.).
His Marriage, Death and Deputies
After his descension on earth, Hadhrat Isa (A.S.) will marry. He will have children, and he will remain on earth 19 years after marriage. He will pass away and Muslims will perform his Janaza Salaat and bury him net to Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam). (Tirmidhi)
from: Hadhrat Esa (Alaihis Salaam): The Truth Revealed and Major Signs of Qiyamat by Mufti Afzal Hoosein Elias (May Allah reward him for his work in producing these kitaabs, aameen.) from the original (with references): "Aalalaat-e-Qiyyamat aur Nuzul-e-Eesa."
Muslims do believe that Isa (A.S.) was sent down as a Prophet of Allah (God), but he (Jesus) is not God or Lord, nor the son of God. Muslims do not believe that Isa (A.S.), also known as Jesus by Christians and others, is dead or was ever crucified. We believe that he was raised to heaven and is there, and will descend at the appointed time, end all wars, and bring peace to the world. Like Jesus (A.S.), Muhammad (Peace be upon him) is also a Prophet and Messenger. Muhammed (P.B.U.H.) is the last Prophet, though, and there is none after him. Hence, Islam is the last religion, complete, with the Holy Qur'an as the unchanged and perfect word of God for over 1400 years, as God promised to preserve it till the last day for all of humankind, unlike sacred texts of other religions which have mulitple versions and are "revised" periodically. God, or Allah in Arabic, is Divine and Supreme Being and Creator.
What the Holy Qur'an says about Jesus:
They slew him not, nor did they crucify him but it was made dubious to them. (Holy Qur'an, Surah Nisaa, Verse 157)
Hadhrat Isa (A.S.) himself told of the coming of Prophet Muhammad (Peace be upon him). In the Bible, Jesus (A.S.) says, If you love me, Keep my commandments. And I will pray to the Father and He shall give you another comforter that he may abide with you forever. (Bible, John 14-15/16)
But when the comforter is come, whom I will send unto you from the Father, even the spirit of Truth, which proceedeth from the Father, he shall testify of me, and he also shall bear witness, because ye have been with me from the beginning. (Bible, John 15-26/27)
I have yet many things to say unto you, but you cannot bear them now. How be it when he, the spirit of Truth will come, he will guide you into all truth, for he shall speak not of himself, but whatsoever he shall hear, that he shall speak, and he will show you things to come. He shall glorify me, for he shall receive of mine, and he shall show it unto you. (Bible, John 16-12/14)
Ulema (learned scholars in Islam) have said that the person who is described by Hadhrat Isa (A.S.) to come after him - in the above verse - does not comply with any other person but Prophet Muhammad (Peace be upon him).
In this case, the "comforter" he mentions is none other than Prophet Muhammad (Peace be upon him) and his laws and way of life (Shariah) and Book (Holy Qur'an) are those that Hadhrat Isa (A.S.) asks his followers to abide by.
The "person" whom Jesus (A.S.) prophecised will come after him, is called Pargaleeta in the Bible . This word was deleted by interpreters and translators and changed at times to "Spirit of Truth" and at other times, to "comforter" and sometimes "Holy Spirit." The original Greek and its meaning is "one whom people praise exceedingly." The sense of the word, then, is applicable to the word Muhammad in Arabic, since Muhammad means "the praised one." Jesus (A.S.) also says in the Bible, ... and a little while and you shall not see me; and again a little while, you shall see me because I go to the Father. (Bible, John 16:16) ... and the Holy Qur'an says, And surely they slew him not. But Allah (God) raised him unto Himself. (Holy Qur'an, Surah Nisaa, Verse 157-158)
As such, Muslims believe that Hadhrat Isa (A.S.) was raised to heaven. According to Hadith, he is on the second heaven. Rasulullah (Sallallaahu Alayhi Wasallam=Peace be upon him) mentioned, "During the Meraj (Ascension), I met Hadhrat Isa (A.S.) on the second heaven. I found him of medium stature, reddish white. His body was so clean and clear, that it appeared as though he had just performed ghusal (ablution, cleansing of the entire body) and come." In another Hadith, Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam) mentioned to the Jews that, " Hadhrat Isa (A.S.) is not dead, he will most surely return to you before Qiyamat (the Day of Judgement)."
May Allah Guide all people to the Truth. Aameen.
II. Hadhrat Isa's (A.S.) Descension The Physical Features of Hadhrat Isa (A.S.)
He will resemble the famous Sahabi (A.S.) Hadhrat Urwa bin Masoodi (R.A.). He will be of average height and red and white in colour. His hair spread to the shoulders, straight, neat and shining as after a bath. On bending his head, it will seem as if pearls are falling. He will have an armour on his body. He will be wearing two pieces of cloth light yellow in color.
His Descension
He will descend on a Jamaat (group) that will be righteous at the time and comprising of 800 men and 400 women. The people will be preparing for war at the time against Dajjal (the anti-Christ). It will be time for Fajr prayers, and Imam Mahdi will be the Amir (leader). From the darkness of the dawn, a sound will suddenly be heard that "one who listens to your pleas has come" -- the righteous people will look everywhere and their eyes will fall on Isa (A.S.). Briefly, at the time of Fajr, Isa (A.S.) will descend. When descending, Isa (A.S.)'s hands will be on the shoulders of two angels (according to another source (Kab Abrar), a cloud will carry him). On their insistence Hadhrat Isa will introduce himself. He will inquire about their enthusiasm and thoughts on Jihad against Dajjal. Hadhrat Isa (A.S.) will descend on the eastern side near the Minaret in Damascus (or in Baitul-Muqaddus by Imam Mahdi). At the time Imam Mahdi will have proceeded forward to lead the Fajr Salaat. The Iqamat of the Salaat would have been said (already recited) and Imam Mahdi will call Hadhrat Isa (A.S.) for Imamat (to lead the prayer), but he (Hadhrat Isa (A.S.)) will instead tell Imam Mahdi to lead the prayer since the Iqamat of that Salaat has already been said for him. Thus Imam Mahdi will lead the prayer, and Hadhrat Isa (A.S.) will follow him. After the ruku, he will make this statement: "Allah has killed Dajjal and the Muslims have appeared."
The Killing of Dajjal (anti-Christ) and the Victory of the Muslims
After the completion of Fajr Salaat (congregational dawn prayers), Hadhrat Isa (A.S.) will open the door behind him where Dajjal accompanied by 70,000 Yahudis (Jews) will be. He will indicate with his hand to move away between him (Hadhrat Isa (A.S.)) and Dajjal. Dajjal will then see Hadhrat Isa (A.S.). At that time every Kafir on whom the breath of Hadhrat Isa (A.S.) will reach, will die. His breath will reach up to the distance of his eyesight. The Muslims will then come down from the mountains and break loose on the army of Dajjal. There will be war, Dajjal will retreat, and Hadhrat Isa (A.S.) will pursue Dajjal. Hadhrat Isa (A.S.) will have two flexible swords and one shield with him and with these he will kill Dajjal at the Gate of Hudd. He willl show the Muslims the blood of Dajjal which will get on his shield. Eventually the Yahudis will be selected and killed. The swine will be killed and the cross broken. People will revert to Islam. Wars will end, and people will return to their respective countries. One Jamaat (group) of Muslims will remain in his service and companionship.
Hadhrat Isa (A.S.) will go to Fajr Rawha and perform Haj or Umrah (or both) from there. He will also go to the grave of Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam) and present his greetings and Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam) will reply. People will live comfortable lives. The wall of Yajooj and Majooj (Gog and Magog) will then break.
III. The Blessings of Hadhrat Isa (Jesus) (A.S.)
1 Hadhrat Isa (A.S.) will descend and stay on earth.
2 His descension will be in the last era of the Ummat.
3 He will be a just ruler and a fair judge.
4 His ummat will be the Khalifa (deputies) of Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam).
5 He will act himself and instruct others on the Qur'an and Hadith (Shariat/Tradition of Islam).
6 He will lead people in Salaat (Prayer).
7 He will stay on earth for a period of 40 years after descending. The will be the best era of the Ummat after the first era of Islam.
8 Allah will protect his companions from Jahannam.
9 Those who will save the Deen of Islam by associating themselves with Hadhrat Isa (A.S.) will be amongst the most loved by Allah Ta'ala.
10 During this period all other religions and mazhabs besides Islam will perish, hence there will be no kuffaars (non-believers) in the world.
11 Jihad will be stopped.
12 No Khiraaj will be taken.
13 Nor Jizya (protection tax) money from the kafirs (non-believers)
14 Wealth and property will be in surplus to such an extent that there will be no one to accept the wealth of the other (everyone will be independent).
15 Receiving Zakaat (Alms-giving, Charity to poor) and Saadaqa will be discarded (as there will be no poor to receive them!).
16 The people will love the sajda (prostration to God) more than the world and what it consists of.
17 All types of Deeni (religious) and worldly blessings will descend on earth (many halaal (lawful) things will be created).
18 There will be peace, harmony and tranquility during the time of Hadhrat Isa (A.S.)'s stay in the world.
19 There will be no animosity for a period of seven years, even between two persons.
20 All hearts will be free from miserliness, envy, hatred, malice and jealousy.
21 For a period of forty years no one will fall ill or die.
22 Venom will be taken out of all venomous animals.
23 Snakes and scorpions will not harm anyone to the extent that if a child put his hand in its mouth, he will not be harmed.
24 Will animals will not harm anyone.
25 If a man will pass a lion, he will not be troubled or harmed, or even if any girl will open its mouth to test if it will do anything.
26 The camels will graze among lions, cheetahs with cattle and the jackals with goats.
27 The fertility of the land will increase to such an extent that even if a seed is planted in a hard rock, it will sprout.
28 A pomegranate will be so huge that a jamaat will be able to eat it and the people will use its peel as shade.
29 There will be so much barakaat (blessing) in milk that a camel will suffice for a huge jamaat, a cow for a tribe and a goat for a family.
30 In short, life will be most pleasant after the descension of Jesus (A.S.).
His Marriage, Death and Deputies
After his descension on earth, Hadhrat Isa (A.S.) will marry. He will have children, and he will remain on earth 19 years after marriage. He will pass away and Muslims will perform his Janaza Salaat and bury him net to Rasulullah (Sallallahu Alayhi Wasallam). (Tirmidhi)
from: Hadhrat Esa (Alaihis Salaam): The Truth Revealed and Major Signs of Qiyamat by Mufti Afzal Hoosein Elias (May Allah reward him for his work in producing these kitaabs, aameen.) from the original (with references): "Aalalaat-e-Qiyyamat aur Nuzul-e-Eesa."
Subscribe to:
Posts (Atom)





















